Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Currency ya Kenya ni managed sio free floating hence iko overvalued by more than 30% Hii huwasaidia wakenya kulipa foreign loans cheaply lakini inaweka Kenya economy kwenye shaky grounds siku ikija ku drop it will be a major drop significantly affecting the economy. On the sidelines the Government is trying to overvalue the GDP so as to create a space for more borrowing while loan to GDP ratio is almost 100% the fall of Ksh to its true value will start when the ability to borrow more has been curtailed
first, the value of all world currencies are regulated and supervised by worldBank and IMF, hence no space for a country to dictate the value of its currency if not thru trade and other commercial factors that would otherwise make it stronger. secondly, a gdp of a country is ranked by WorldBank, IMF, CIA and UN. hence a country has got no control to dictate the size of its economy!
look at it in this angle; if that was the case, zimbabwe wouln't have accepted to print Z$20,000,000Notes!.. but it was due to hyper-inflation under a keen watch by Worldbank!
 
Umaskini umetufunga wakat watu wana ndoto za ardhi na nyumba kwenu itabaki historia 🤣🤣🤣 alaf mkiwa twitter munalia mpaka mishipa ya shavu inawatoka ila mkija hapa muna pretend kwamba nyinyi mko europe wakat ushuzi wa ngamia
Mama kawakazia mpaka leo kuhusu free work permit,nimewaona twitter wanalalamika hao hatari
 
University of Dar es Salaam
20210527_160438.jpg
 
first, the value of all world currencies are regulated and managed by worldBank and IMF, hence no space for a country to manage, it's currency if not thru trade and other commercial factors to strengthen it. secondly, a gdp of a country is ranked by world Bank, IMF and UN. hence a country has got no control to dictate the size of its economy
Naona umemjibu vizuri sana hyo mpuuzi
 
Huku nilipo na jamaa wa kikunya najuana nao,miaka ya nyuma baadhi walikua wakirudi kunyan lazima waje dar kutembea,watafika kwangu hata kama nipo huku,wengine ufikia hapo kabisa,msa kuna aunt yangu yupo huko miaka na miaka kuna macousin wangu nrb,msa,mpaka lamu huko,sasa mimi nikawa kila nikienda msa wale wakunya wanaokujaga dar na kufikia kwangu hata kama mimi sipo dar nikiwa msa wananikwepa ,wengine kama zali wanakua hapo hapo msa lakini tunakutana town au waje nilipofikia kwa ndugu zangu,aunt yangu akanishtua hao kwao kuko ovyo tofauti na unavyowadhania hawawezi kukuonyesha kwao
Wakenya hatuna tabia hzo, urafiki nje nje hko..unakuja nyumbani kwn unafaida gani katika maisha yangu zaidi ya urafiki..

Kila mtu kwao kwao, ndio manake duniani kukawa na sehemu za public
 
Wakenya hatuna tabia hzo, urafiki nje nje hko..unakuja nyumbani kwn unafaida gani katika maisha yangu zaidi ya urafiki..

Kila mtu kwao kwao, ndio manake duniani kukawa na sehemu za public
Kama ni hivyo mbona wakija TZ wanafikia kwangu 🤣🤣,acheni kujiweka matawi nyie while pangu pakavu
 
Back
Top Bottom