Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaona mahotel au sio ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ masaki mzee ni kubwa ina density kubwa chukua sana yani ione hvi hvo
Pinga masaki hakuna mahoteli kama wewe ni dume๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 


Duuh hvi wadau kuna maeneo bongo yanashuka adi nyuz 6ยฐ
Wewe kweli umezaliwa na kukulia hapo Dar,come July Mbeya,Njombe,Mafinga,Makete na Sumbawanga joto linashuka hadi chini ya 0..

Usiombe hiyo Makete,Njombe na Mbeya ni hatari kuliko kawaida.Makete theluji ilikuwa inaanguka kabisaa na unaweza Lima viazi au ngano ukala hasara ya Karne ukajuta kuzaliwa maana Mazao yanaungua kwa theluji.
 
Your reasoning is too pedestrian and obviously fallacious ,yaani an outright fallacy! Wewe usifikirie kwa vile kuna nchi yenye currency hafifu with strong economy ndio ufananishe na Tanzania, nimejaribu kukuelimisha ili uelewe. Najua akilini mwako utafikiria kwa Tanzania kukua na weak currency sio issue, ila elewa sababu yenyu na Kenya kukua na weak currency against the majors ukilinganisha na sababu ya Japan na China.
Kenya iko na almost same characteristics na Tanzania on how the currency lost its value against major currencies, utapata Kenya ilikua ufisadi na struggle for multi party during Moi era which led to sunctions kibao, kwa Tanzania ni uvivuu inayo sababisha ufukara na ujamaa ya Nyerere ilichangia pakubwa, plus western machinations against socialism, lakini licha ya hayoKenya iko afadhali ukilinganisha na Tz , Kenya with a relatively strong currency is advantageous ikija kwa export business, and with a bigger economic output, nyie uchumi ndogo watu wengi, nchi kubwa! Balaa, itawachukua mda kutoka kule chini, solution ni industrialization tu, but as things are in Tz, pengine muujiza ufanyike, fortunately I believe in miracles.
Currency ya Kenya ni managed sio free floating hence iko overvalued by more than 30% Hii huwasaidia wakenya kulipa foreign loans cheaply lakini inaweka Kenya economy kwenye shaky grounds siku ikija ku drop it will be a major drop significantly affecting the economy. On the sidelines the Government is trying to overvalue the GDP so as to create a space for more borrowing while loan to GDP ratio is almost 100% the fall of Ksh to its true value will start when the ability to borrow more has been curtailed
 
Macron is in Rwanda, i won't be surpriseed if FID for EACOP is to be announced this week!
 
Hizi speech za huyu jamaa haswa mifano yake, sijui kama zitamuacha salama maana naona bado yuko anatembelea nyota ya awamu ya 5! Mifano ya JPM kuuwawa na Mama inaweka sintofahamu na haikai vizuri kwa heshima ya mamlaka unayoitumikia!
 
Back
Top Bottom