Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hauna muda kwa sababu unajua hautapata mahali Tanzania imetajwa mbele ya Kenya
Sina muda kwa mada ulioanzisha mwenyewe 🤣🤣🤣 kama umeanzisha mada leta ushahidi wewe kama ww sio unitume hujaniajiri wewe mzee
 
Eti anataja density. Huyu kilaza atashtuka lini? Hajui kwamba maeneo ya kitajiri kote duniani ni exclusive neighborhoods na hayafai kuwe na population ya juu? Ama unataka Karen iwe na apartment kama mswaki wao?
Hakuna misitu sindio 🤣🤣🤣 yani ndio munafananisha na masaki nyinyi mumerogwa nakwambia 👇👇👇👇
 
Unalingamisha Mswaki wenu wa apartments na Karen mta a tajika duniani? Hivi una akili kweli? Karen inacheza ligi ya daraja la kwanza




Mswaki linganisha labda na Lavington japo nahisi hata Lavington iko mbele yake
View attachment 1799718
View attachment 1799718
Cheza na bunju kwanza alaf baadae iwaze masaki👇👇👇😂😂


hakuna estates hapo kila mmoja na geti lake 🤣🤣🤣 sio estate moja inanyumba 20 inamilikiwa na mtu mmoja au familia moja alaf waliobakia wengine ni kurent 🤣🤣🤣🤣
 
Tunaambiwa eti hizo maghorofa si apartments za watu kuishi. Eti hizo ni UN offices 😂 😂 😂 😂
Hutaki au ?? Unataka ziwe nn ?? Hebu tueleze sasa🤣🤣👇👇👇
8DD317CF-C420-4D11-BCA6-007BBF707853.jpeg
 
Nadhani hii ndio mara ya kwanza Bunju kutajwa humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna sehemu kibao za Dar sijawahi ona zikitajwa humu.
Sasa ngoja wakuletee appartments na estates zinazomilikiwa na wachache usikie kelele 🤣🤣🤣 alaf biashara ya nyumba ni biashara kubwa sana kenya kwasababu wengi hawana makazi wala ndoto ya ardhi 😁😁 sasa wale wachache ndio wanatumia kama biashara kwa wengi kwasababu nyumba ni hitaji la basic need 😅😅😅😅
 
Sasa ngoja wakuletee appartments na estates zinazomilikiwa na wachache usikie kelele [emoji1787][emoji1787][emoji1787] alaf biashara ya nyumba ni biashara kubwa sana kenya kwasababu wengi hawana makazi wala ndoto ya ardhi [emoji16][emoji16] sasa wale wachache ndio wanatumia kama biashara kwa wengi kwasababu nyumba ni hitaji la basic need [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Uki-rent bedisita unaitwa middle income kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku tanzania nyumba unauziwa from 15m to 25m depending on size alaf unapewa period time yakulipa about 25yrs 🤣🤣

sasa wenzetu mshahara wenyewe tia maji kazi hazieleweki nyumba inauzwa 15m ksh alaf anapewa period ya 7yrs hebu nambie mm nani atanunua 🤣🤣🤣 tena kuna riba juu ya 1.25%


ndio maana huwezi sikia wana ndoto ya kua na nyumba wala plot 😂😂😂😂
058C3480-F211-40C0-B18C-4B37899EBBBC.jpeg
 
Umeona paa la "Kisumu international Stadium"? Nalo litakuja kuporomoka center of gravity ipo so raised upepo kidogo utanyanyuka nalo!
Alaf ukiskia cost yake sasa utacheka 🤣🤣🤣 tukisema kenya inamilikiwa na wale wale wanakasirika bure tu
 
Ukiulizia cost yake ndio utajua kwann kenya inamilikiwa na wachache 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom