Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

am begging you tanzanians... please please shift from Socialism/Communism to Capitalism like us, if you want to be rich like us... take note tht we were at par during independence, our shilling were at par.. lakini sahizi.. mnatuonea Viusasa..
ona, US, Japan, South korea, Britain, France, Germany are all Capitalists.. that's why they are very rich. but Russia which was once a superpower even ahead of US, Ujamaa pulled it down to 3rd world
What is your level of education?
 
Njaa ile ya mombasa awe house girl kama wakunya walivyokua huku TZ house girls,gardener!nikija huko nafikia ratna au nyali we mama mkaa kwenye maslum
hela yenyu haina dhamana hata kidogo.. mnaweza mlipa mkenya wowote kweli?, kama mapolisi na walimu mnawalipwa $90!! tu. bei ya mkenya mtawezana!. yaya kwetu analipwa a thresthold of atleast $150 na watchmen $250.. and thats thru the Act of parliament.
$1=Ksh 107.
($1=Tsh2,399 😝😝😝)
 
Huyu na yule kifuto James ndiii sijui hawa jombi wana maneno ya fyongo
Huyu ni miongoni mwa Wakunya wanaopambana kuharibu image ya Tanzania duniani, hapa ameingia airport tu ameanza majungu tayari, ilitakiwa arudishwe kwao chap, Kagame huwa hacheki na Nyani. Unanyea debe kama wiki hivi halafu unarudishwa kwenu ukajifunze adabu.
 
The best 007;
Screenshot_20210527-073938.jpg

Man Useless 😂😂😂
 
This is the Nairobi version of dream houses:





















People in DAR ni to dream big!! This issue of building 3 bedroom bungalows that do not even cost more than KShs 3m and calling it dream houses is a big joke. That is a dream that can be achieved by age 28. What the hell are you doing with the rest of your life ... 🙄 🙄

Jana sijui nini kilinifanya niangalie citizen tv nikakutana na news halafu JF live kwanza nikaona mkokoteni wa punda na madumu mengi sijui ndio wanaenda kuchota maji (fetching water) hii ni wajir country . Halafu nikawa naangalia nyumba ndio nikajua kwa nini mna prefer kuweka nyumba za kufanana a.k.a kota wenyewe mnaita estate. Halafu nimeona mama lucy kibaki hospital , kuna mwaliku wamepeleka mwili wa mwanafunzi kashafiriki without informing are parents. Kubwa zaidi kuna muhuni alivamia msafara wa rais hadi walinzi wakaanza tumia nguvu. Haya majengo mnayopost humu ni tofauti na majengo wanayoishi majorities of Kunyan. Hivi mama lucy kibaki na mama ngina halafu kuna mama nani tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro acha kujiongopea ndugu, ijue kwanza dunia alaf ndio useme kitu .. okay okay, Mimi leo ntakuletea the third tier City in China that u have never heard of, it's bigger and more modern than many of US biggest cities u know.. mchongo unaitwa foshan city huu ni moja kati ya majiji 100+ in china and it has about 7m peaple 👇. . Alaf nataka kukwambia kwamba CHINA mfumo wao wa kiutawala ni Communism/socialism .. capitalism ni mfumo wa kiutawala uliofeli, China nowdays inaitetemesha dunia kwenye kila sekta.. unajua Siri ni nini.? Siri ni mifumo ya kiutawala.. nchi hazijengwi kwa mikutano na malumbano ya hoja bali kwa nguvu na jasho ..

hao socialist/communist Chinese wanaifinya capitalist Kunyaland kila siku!
 
Huku nilipo na jamaa wa kikunya najuana nao,miaka ya nyuma baadhi walikua wakirudi kunyan lazima waje dar kutembea,watafika kwangu hata kama nipo huku,wengine ufikia hapo kabisa,msa kuna aunt yangu yupo huko miaka na miaka kuna macousin wangu nrb,msa,mpaka lamu huko,sasa mimi nikawa kila nikienda msa wale wakunya wanaokujaga dar na kufikia kwangu hata kama mimi sipo dar nikiwa msa wananikwepa 🤣,wengine kama zali wanakua hapo hapo msa lakini tunakutana town au waje nilipofikia kwa ndugu zangu,aunt yangu akanishtua hao kwao kuko ovyo tofauti na unavyowadhania hawawezi kukuonyesha kwao 🤣🤣
Hawapendi ujue maisha yao wao kitu muhimu wanapenda kusifia uongo waonekane wako vzr kumbe wananyea ndoo🤣 alaf sijui wanalaana gani hvi dunia ya leo unaeza danganya mtu kua unacho wakat huna kweli dunia hii ya leo hata sokwe ukimpa simu anatumia😂😂😂 alaf wako hpa kujisofia uongo wakienda twitter huko wanalia na mapovu juu
 
Huyu jamaa ni mjinga sana. Eti Karen kuna forest, na anasisitiza tu! Ameshangaa kuona ukubwa wa Karen ni mara sita zaidi ya ule mtaa wao bora zaidi ya apartments Masaki
🤣🤣🤣👇👇👇 hakuna forest hata mm naona nakwambia naona hata density naiona alaf unafananisha na masaki munaota ndoto za mchana kabisa
55905038-AC32-4856-B7E6-D8FE48B37D10.jpeg
 
Wewe ni wa kupuuzwa tu. Ushaletewa hadi picha za nyuma zikiuzwa bado unabishana tu. Ukiulizwa ni watanzania wananunua hizo nyumba pia hutaki kujibu. Sasa unatakaje bongolala?
So zikiletwa picha za nyumba ndio inakuaje 🤣🤣🤣 watanzania wanajenga nyumba zao sio wanajengewa na mtu mmoja alaf wao waende kurent hakuna kitu kama hicho huku ardhi inakilikiwa na mtanzania yoyote mpaka mtu wa chini na bei za ujenzi gharama zake ni ndogo kuliko nchi yoyote ukanda huu na kama unabisha niambie 🤣🤣🤣🤣
 
Unataka kipimo ya TBC? Weka source yako inayoweka Tanzania mbele ya Kenya tuone
Acha upuuzi wewe tafuta reliable source zinazoelewa kimataifa upost hapa 🤣🤣 unaongea ushuzi wakat 70% wakazi wa wanirobi wako kwenye slums then who will buy estates rather than rent?? Mtu aki rent bedsitter kwenu anahesabika middle income hehehe kweli aliwalaani hawezi kua hai
 
in whatever angle, just like the failed states of south sudan, chad, liberia, libya, zimbabwe, somalia, burundi or DRcongo,..
tanzania sucks😝😝😝😝😝.
a poverty striken country..
D949C294-2C1E-48BC-9EB7-C7148AC4E196.jpeg
D8E47597-289E-42F1-8D28-9C36D93E367D.jpeg
 
Jana sijui nini kilinifanya niangalie citizen tv nikakutana na news halafu JF live kwanza nikaona mkokoteni wa punda na madumu mengi sijui ndio wanaenda kuchota maji (fetching water) hii ni wajir country . Halafu nikawa naangalia nyumba ndio nikajua kwa nini mna prefer kuweka nyumba za kufanana a.k.a kota wenyewe mnaita estate. Halafu nimeona mama lucy kibaki hospital , kuna mwaliku wamepeleka mwili wa mwanafunzi kashafiriki without informing are parents. Kubwa zaidi kuna muhuni alivamia msafara wa rais hadi walinzi wakaanza tumia nguvu. Haya majengo mnayopost humu ni tofauti na majengo wanayoishi majorities of Kunyan. Hivi mama lucy kibaki na mama ngina halafu kuna mama nani tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
Dude you are so idle. Mpaka local news za Kenya unafwatilia sasa. Sijui nani amefariki wapi!!!! Tafuta shughuli!!
 
🤣🤣🤣👇👇👇 hakuna forest hata mm naona nakwambia naona hata density naiona alaf unafananisha na masaki munaota ndoto za mchana kabisa View attachment 1799048
Bongolala, nimekuambia utaje jina ya hiyo forest umeshindwa. Sasa mbona unasisitiza kitu hujui?

Secondly, rich neighbourhoods are not supposed to have high density. Tafuta picha za Beverley Hills ujionee. Density inawachiwa sehemu za low-income areas and middle-income areas kama Mswaki wenu. Nenda Beverley Hills uone kama kuna population density. Utarevuka lini?
 
Acha upuuzi wewe tafuta reliable source zinazoelewa kimataifa upost hapa 🤣🤣 unaongea ushuzi wakat 70% wakazi wa wanirobi wako kwenye slums then who will buy estates rather than rent?? Mtu aki rent bedsitter kwenu anahesabika middle income hehehe kweli aliwalaani hawezi kua hai
Ndio maana nakuambia ulete reliable source yako tuone mahali Tanzania imewekwa mbele ya Kenya. Mbona kitu rahisi tu!
 
Ndio maana nakuambia ulete reliable source yako tuone mahali Tanzania imewekwa mbele ya Kenya. Mbona kitu rahisi tu!
Niletee mm au utafute wewe uliepost?? Yani upost ww uzhuzi alaf uniambie mm nilete, kama unavotafuta ushuzi google na hio utafute pia, sina muda huo kwa sasa😁😁
 
Bongolala, nimekuambia utaje jina ya hiyo forest umeshindwa. Sasa mbona unasisitiza kitu hujui?

Secondly, rich neighbourhoods are not supposed to have high density. Tafuta picha za Beverley Hills ujionee. Density inawachiwa sehemu za low-income areas and middle-income areas kama Mswaki wenu. Nenda Beverley Hills uone kama kuna population density. Utarevuka lini?
👇👇👇👇👇👇 ni yule yule mzungu hii ndio density munafananisha na masaki mutasubiri miaka 20
88AB6DCE-2BAD-4406-9BD0-48845EEA7C11.jpeg
 
Back
Top Bottom