Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakiwa humu, wanasema mji wao ni msafi


kuna watu wamevaa barakoa hapo.. msiseme picha ni za zaman
 
Ukisoma comments kwenye hizi video za diaspora utaona wakenya na wenyewe wanashangaa prices za Tanzania

Hawajui dream houses Tanzania zipo nyingi sana so demand ni ndogo thus lower prices tofauti na kwao huko majalalani, nyumba za maana hakuna so lazima rent iwe mara 10 ya decent mansions za Tanzania
 
No CBD in East and Central Africa can match this. Nairobi
20210523_214506.jpg
 
Wamarekani wameshaanza kufanyiana udalali kwenye mansions za bongo 😅😅😅

Wameona demands ya wamarekani wenzao kuja kupanga Tanzania ni kubwa sasa they're taking advantage of being the first to enter 😅😅😅

Saivi mitaa mingi Dar wamarekani ndio Madalali

Screenshot_20210524-210722.png
Screenshot_20210524-210740.png
 
Hizi apartments ni chache??!?
View attachment 1796374View attachment 1796375
Na zinafanya nini kwenye mtaa wenu wa kifahari kama si za mabwenyenye wenu kuishi? Sasa kama mabwenyenye wenu ndio wanaishi kwenye apartment kule Masaki sasa wewe mkazi wa Gongo la Mboto uswazini unatoa wapi nguvu ya kudiss apartment?
Hebu tuoneshe hzo appartment za mikocheni manake mm sizioni ?? Alaf nani alikwambia hapo ni mikocheni au umeshaanza kuchanganya dawa 🤣🤣🤣🤣
 
Wamarekani wenyewe waliozaliwa kwenye huge mansions huko New York LA

Wanachanganyikiwa wakija Tanzania kutokana na mijumba ya kifahari na kwa bei cheap ilivyo sheheni

Saivi Tanzania inapokea thousands of black Americans wanaohamia Africa in a catastrophic frequency


















Sasa waulize matajiri wao wanaishi wapi watakuoneaha runda estate 🤣 uliza nani anamiliki runda utaskia ni watu watatu wako jv🤣🤣🤣
 
Hawa tumbili huku juu ndio middle incomers wa Kenya 😅😅😅

Ndio maana uchumi wenu upo kuzimu

E2FnUkzWYAQcwtN.jpeg
 
Mimi 'huenda' ninakaa kwenye moja ya hizi mabweni hapaView attachment 1796422View attachment 1796423

Utanilinganishaje na wewe unayeishi kwenye moja ya hizi six bedroom dream houses with jacuzi and basemen parking with air-conditioning?View attachment 1796419
Nothing to show us rather than estate hakuna utatuonesha ukiulizwa nani anamiliki utaskia majina mawili matatu ya familia za politicians 🤣🤣🤣 na wanafanya nn pale utaskia wamerent nao ni middle class
Aliewaroga nyinyi hawezi kuwepo ulimwenguni
 
Back
Top Bottom