Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikisema mm munanitukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
Nicxie
Sasa wanasimamisha kende kubisha nn wkt ndo tunakesha kila siku tukiwaambia vitu wanavyovijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hawa ndio real investors.
Sio makampuni 500 halafu investment ni 1.7 [emoji23][emoji23][emoji23]
Yn muwekezaji mmoja tu ni sawa na uwekezaji wa makampuni 500, Wakenya kweli wababaishaji, btw cku hz hatusikii kelele zao za kusema wamewekeza Tz [emoji3][emoji3]

Waache wafanyabishara wetu waingie kwao bila kizuizi waone maana ya investment [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
haya sasa, kazi inaendelea
View attachment 1797277

nyie huu mradi ukizinduliwa... lazima uzungumzwe bara zima[emoji1][emoji1].. na wakenya watamponda uhunye kwa kuwaletea garimoshi
Unadhani Magufuli ni chizi? Yule mzee alishamaliza kila kitu tushindwe cc tu.

Kwa wasiomjua Magu vzr ni kwamba Magu ni tozi, na mpango wake ulikuwa kujenga reli ya mfano hapa Afrika ili kuwaonesha waafrika kwamba wasijidharau tunaweza, ngj waone aina ya treni alizotaka Magu zi operate Tz ndo watazimia kabisa labda wabadilishe kwa uoga wa viongozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtakua mnanunua uranium kwetu safi sana
we can as well source it from botswana, namibia or even SA.. our geography teacher once tought as tht, whr there is gold and diamond.., uranium can also be found! you dont have diamonds
 
Karibu mgeni, karibu sana, ila omba muongozo toka kwa wakunya wenzio wakuambie kwamba hii ni Tz mpya co ile ya 90[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapa tunaongelea Tz iliyochukua nafasi yake ya kuwa hub of EA in everything dhidi ya Kenya iliyojifia kifo cha mende [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Soon utanyooka tu [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
 
Unadhani Magufuli ni chizi? Yule mzee alishamaliza kila kitu tushindwe cc tu.

Kwa wasiomjua Magu vzr ni kwamba Magu ni tozi, na mpango wake ulikuwa kujenga reli ya mfano hapa Afrika ili kuwaonesha waafrika kwamba wasijidharau tunaweza, ngj waone aina ya treni alizotaka Magu zi operate Tz ndo watazimia kabisa labda wabadilishe kwa uoga wa viongozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kazi kazi mkuu.. nilichopenda.. hizo pole/zege zimejengwa hukuhuku bongo.. kenya zingekuwa imported from china
 
Bado unataka aendelee kupiga tena sasa hivi ndio atawaumiza kabisa.yani mtu mmoja awekeze nyanja zote hzo[emoji1787]
Asante sana kenyatta kw kumfukuza dangote kijanja, nchi yetu heri tuitafune wenyewe kuliko kuja kumpa mpigaji kw jina la muwekezaji
Sauti ya maumivu makali baada ya kuona investors have changed their motion [emoji1787][emoji1787]

Kila kitu nowadays ni Tz [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]

Mmeharibu nchi yenu kwa tamaa za vitu vidogo now investors wamekimbia, kazi hamna mnakula mawe, investors wote wanahamia mahali resources ziko, zamani walikuwa wanaenda kwa mawakala lkn Magu kabadilisha gemu investors wameujua ukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mfanyabiashara gn atakubali kuweka rehani mali zake kwenye nchi iliyojaa rushwa, wizi, utapeli, uchawi, njaa, ukame, magonjwa na kila aina ya uozo? Ingekuwa ni wewe ungekubali upuuzi huo? Yn usiwekeze Tz ukawekeze Kenya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hahaa hapa tu.. tayar tushawapiga tatu bila kama za simba vs kaizer chief.. bado kipindi cha pili [emoji91]
IMG_1621967551.195474.jpg
 
Wakenya ona elimu ilivyotusaidia Watz now tunai fence hii reli bora na ya mfano hapa Afrika na duniani kwa ujumla, onaa

[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji2781][emoji706][emoji90][emoji117][emoji1664][emoji86][emoji529]
JamiiForums-1186023759.jpg
 
Update, Chang'ombe flyover, Wakenya Tz ni construction site, haya mambo yakiisha mkae mkijua hii battle tunaifunga rasmi, mtabaki na Gezaulole pekeake mana yeye ndio huwa anaweza kuwavumilia cc wengine wote tunahamia kwenye battle na nchi zinazojielewa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji1664][emoji117][emoji529][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545]
IMG_20210525_074929_467.jpg
IMG_20210525_074901_486.jpg
IMG_20210525_074858_589.jpg
IMG_20210525_074834_573.jpg
IMG_20210525_074821_554.jpg
IMG_20210525_074823_063.jpg
 
Shinzo Abe, japanese president strikes another multi billion dollar deal with uhuru kenyatta in nairobi, towards the just newly opened LAPSSET port project in Lamu, kenya
shinzo abe.jpg
 
Sauti ya maumivu makali baada ya kuona investors have changed their motion [emoji1787][emoji1787]

Kila kitu nowadays ni Tz [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]

Mmeharibu nchi yenu kwa tamaa za vitu vidogo now investors wamekimbia, kazi hamna mnakula mawe, investors wote wanahamia mahali resources ziko, zamani walikuwa wanaenda kwa mawakala lkn Magu kabadilisha gemu investors wameujua ukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mfanyabiashara gn atakubali kuweka rehani mali zake kwenye nchi iliyojaa rushwa, wizi, utapeli, uchawi, njaa, ukame, magonjwa na kila aina ya uozo? Ingekuwa ni wewe ungekubali upuuzi huo? Yn usiwekeze Tz ukawekeze Kenya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mataga si mnapenda kujikosha jamani[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom