Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haya sasa, kazi inaendelea
View attachment 1797277

nyie huu mradi ukizinduliwa... lazima uzungumzwe bara zima.. na wakenya watamponda uhunye kwa kuwaletea garimoshi
Unadhani Magufuli ni chizi? Yule mzee alishamaliza kila kitu tushindwe cc tu.

Kwa wasiomjua Magu vzr ni kwamba Magu ni tozi, na mpango wake ulikuwa kujenga reli ya mfano hapa Afrika ili kuwaonesha waafrika kwamba wasijidharau tunaweza, ngj waone aina ya treni alizotaka Magu zi operate Tz ndo watazimia kabisa labda wabadilishe kwa uoga wa viongozi
 
Mtakua mnanunua uranium kwetu safi sana
we can as well source it from botswana, namibia or even SA.. our geography teacher once tought as tht, whr there is gold and diamond.., uranium can also be found! you dont have diamonds
 
Karibu mgeni, karibu sana, ila omba muongozo toka kwa wakunya wenzio wakuambie kwamba hii ni Tz mpya co ile ya 90

Hapa tunaongelea Tz iliyochukua nafasi yake ya kuwa hub of EA in everything dhidi ya Kenya iliyojifia kifo cha mende

Soon utanyooka tu
 
Unadhani Magufuli ni chizi? Yule mzee alishamaliza kila kitu tushindwe cc tu.

Kwa wasiomjua Magu vzr ni kwamba Magu ni tozi, na mpango wake ulikuwa kujenga reli ya mfano hapa Afrika ili kuwaonesha waafrika kwamba wasijidharau tunaweza, ngj waone aina ya treni alizotaka Magu zi operate Tz ndo watazimia kabisa labda wabadilishe kwa uoga wa viongozi

kazi kazi mkuu.. nilichopenda.. hizo pole/zege zimejengwa hukuhuku bongo.. kenya zingekuwa imported from china
 
Bado unataka aendelee kupiga tena sasa hivi ndio atawaumiza kabisa.yani mtu mmoja awekeze nyanja zote hzo
Asante sana kenyatta kw kumfukuza dangote kijanja, nchi yetu heri tuitafune wenyewe kuliko kuja kumpa mpigaji kw jina la muwekezaji
Sauti ya maumivu makali baada ya kuona investors have changed their motion

Kila kitu nowadays ni Tz

Mmeharibu nchi yenu kwa tamaa za vitu vidogo now investors wamekimbia, kazi hamna mnakula mawe, investors wote wanahamia mahali resources ziko, zamani walikuwa wanaenda kwa mawakala lkn Magu kabadilisha gemu investors wameujua ukweli

Mfanyabiashara gn atakubali kuweka rehani mali zake kwenye nchi iliyojaa rushwa, wizi, utapeli, uchawi, njaa, ukame, magonjwa na kila aina ya uozo? Ingekuwa ni wewe ungekubali upuuzi huo? Yn usiwekeze Tz ukawekeze Kenya?
 
hahaa hapa tu.. tayar tushawapiga tatu bila kama za simba vs kaizer chief.. bado kipindi cha pili
IMG_1621967551.195474.jpg
 
Update, Chang'ombe flyover, Wakenya Tz ni construction site, haya mambo yakiisha mkae mkijua hii battle tunaifunga rasmi, mtabaki na Gezaulole pekeake mana yeye ndio huwa anaweza kuwavumilia cc wengine wote tunahamia kwenye battle na nchi zinazojielewa
IMG_20210525_074929_467.jpg
IMG_20210525_074901_486.jpg
IMG_20210525_074858_589.jpg
IMG_20210525_074834_573.jpg
IMG_20210525_074821_554.jpg
IMG_20210525_074823_063.jpg
 
Shinzo Abe, japanese president strikes another multi billion dollar deal with uhuru kenyatta in nairobi, towards the just newly opened LAPSSET port project in Lamu, kenya
shinzo abe.jpg
 
Sauti ya maumivu makali baada ya kuona investors have changed their motion

Kila kitu nowadays ni Tz

Mmeharibu nchi yenu kwa tamaa za vitu vidogo now investors wamekimbia, kazi hamna mnakula mawe, investors wote wanahamia mahali resources ziko, zamani walikuwa wanaenda kwa mawakala lkn Magu kabadilisha gemu investors wameujua ukweli

Mfanyabiashara gn atakubali kuweka rehani mali zake kwenye nchi iliyojaa rushwa, wizi, utapeli, uchawi, njaa, ukame, magonjwa na kila aina ya uozo? Ingekuwa ni wewe ungekubali upuuzi huo? Yn usiwekeze Tz ukawekeze Kenya?
Mataga si mnapenda kujikosha jamani
 
Back
Top Bottom