I always say that ujamaa ulilemaza hawa watu big time. Yani they believe that mtu hawezi akajituma aboreshe maisha yake kivyake. Yani wenzako wakiwa maskini, wewe pia utakuwa tu moja wao coz huwezijituma. Wao wanashangaa kuona such big real estates being owned by individuals jambo ambalo ujamaa haikuruhusu. Charles Njinjo is a renowned businessman. Sasa akijituma aongeze angalau shilingi mia kwenye kapu lake kuna shida gani? Why must somebody take offence for his reaches wakati hakuzuia mtu yeyote kujituma na kujiendeleza?