Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najua kiingereza huelewi lakini niambie ni wapi pameandikwa kwamba they own Runda estate. The keyword is 'own'. Leta tuone
Hvi mm nikiwnzisha kampuni hio kampuni inakua ni ya nani ??😀😀😀
 
A sick head😂😂😂😂😂., wacha atuburudishe na hizo fikra zake😂😂😂 abunuasi la kutoka keko Dar.,
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona hunijibu sasa unaogopa? Nikisema mm kwann munanichukia kwa reason gan??
 
Pole kaka kwa maumivu. Nipe aerial view yo mtaa kama huu hapa Tanzania nzima.kama utapata. Hizi ni ndoto za alinacha kwenu
View attachment 1796209

Ground level
View attachment 1796211View attachment 1796212View attachment 1796213View attachment 1796214View attachment 1796215View attachment 1796216

View attachment 1796158
je mbali na estate unaweza jaribu kupost individual houses kama hizi...?,,

tunahitaji utuonyeshe tuweze kuziona kea huko nairobi ikoje
images (6).jpg
 
Zile zimepostiwa huko juu, sio individual, ni za bure sio au za serikali???
siku ukiacha bange hakika kichwa chako kitakuwa timamu,,,,,,

aliyekuambia kuwa estate inachange ni nani ,,wacha akili za konokono,,,

estate hibaki kuwa estate tu
 
Sawa umeanzisha ni yako, ila ukiuza shares zako zote za hiyo kampuni, bado kampuni ni yako??? 😂
Aliza shares kwa nani labda politicians wao kwa wao ndio wanafanya biashara hzo manake wanajua namna gani kula na vipofu 🤣🤣🤣🤣 najua Nicxie yuko google anachambua kama nikweli
 
Making Mtwara port Great Again..



Alistair unloads in Mtwara​

6 April 2021
In cooperation with Tanzania Port Authority (TPA), CJ ICM and BEME VOF, Alistair Group has offloaded 16,000 cu m of oversized cargo at Mtwara port.



The cargoes arrived at the Tanzanian port onboard a Spliethoff vessel at the end of February. The shipment was offloaded in five days and will eventually be barged to a project site in Afungi, Mozambique.
www.alistairgroup.com


 
🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 sio mm unanilaumu bure tu mkiambiwa ukweli munakasirika sijui munataka kusifiwa kwa vitu hamuna
View attachment 1796229


😂😂😂😂😂😂idiot😂😂😂😂😂.,
 
Aliza shares kwa nani labda politicians wao kwa wao ndio wanafanya biashara hzo manake wanajua namna gani kula na vipofu 🤣🤣🤣🤣 najua Nicxie yuko google anachambua kama nikweli
Ni mfano huo, wacha kuwa hivyo. Yaani hata huelewi! 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom