Nani kilaza mm au wewe🤣🤣🤣 nimekwambia narudia hili swali ww huwezi kujibu mark my words niletee nyumba za dream ambazo matajiri wenu wamejenga wenyewe ukipata nitagHuyu hata yenye mwenyewe hajielewi sasa sisi tutamwelewaje? Jamaa anasisitiza eti nimletee nyumba za watu wanamiliki nyumba nairobi. Eti nyumba zilizojengwa kwa ndoto zao. Sasa nashangaa anataka nimletee picha ya nyumba niweke hadi number ya simu ya contractor na mwenye nyumba ndio apige simu aulize kama nyumba ilijengwa kulingana na ndoto za mwenyewe. Kama kuna mtu amechanganyikiwa kwenye huu Uzi ni huyu kilaza
Kwa uelewa wangu mm hii ndio maana ya estate ma ndio ukweli 🤣🤣👇👇👇Kwani uelewa wako wa neno estate ni nini jamani? Mbona hamueleweki?
Kumbe unajua sasa ulipokua unafananisha na newyork ulijua ni nn ??🤣🤣🤣🤣Enyewe sisi Africa bado sana. Nimeona hiyo ya New York nikashangaa! We still have a long way to go as a continent
Halafu hizo dream houses zake ni kama za lower middle class huku wenye wanastruggle kujenga. Yani mtu badala ya kuangalia quality ya nyumba anaangalia Nani kajenga. Hajui top economies mostly people buy houses. Na hapa Nairobi kuna options, ukitaka ya kununua ipo, ukitaka kujenga, unaweza.Huyu hata yenye mwenyewe hajielewi sasa sisi tutamwelewaje? Jamaa anasisitiza eti nimletee nyumba za watu wanamiliki nyumba nairobi. Eti nyumba zilizojengwa kwa ndoto zao. Sasa nashangaa anataka nimletee picha ya nyumba niweke hadi number ya simu ya contractor na mwenye nyumba ndio apige simu aulize kama nyumba ilijengwa kulingana na ndoto za mwenyewe. Kama kuna mtu amechanganyikiwa kwenye huu Uzi ni huyu kilaza
Kumbe hawafai? 😂 😂 😂Kabla ya kujenga BRT lazma uwe na sababu ya kujenga 😁😁😁
Mzee iyo inaitwa strengthening bilateral relations.
kwisha kazi ushauwa kunguni wa kikenya maana imemaliza kila kituKwa uelewa wangu mm hii ndio maana ya estate ma ndio ukweli
estate nyingi nilisema toka mwanzo zinamilikiwa na wachache sana na wao wamefanya investment hio kwa ajili ya biashara ndio maana dream ya kupata plot kwa wakenya wengi haipo kwasababu ardhi iko mikononi mwa wachache
sasa wao wanafanya biashara kwa kujenga majumba na kupangisha kwasababu ni biashara endelevu, house is part of basic need
ndio maana nilikwambia hutakiwi kushangaa kwann kibera alone ina 2.5m people hata hio misitu ya nairobi ina wenyewe dont think ni misitu kuna watu wamehodhi hio ardhi wakisubiri muda tu
View attachment 1796194


Pole kaka kwa maumivu. Nipe aerial view yo mtaa kama huu hapa Tanzania nzima.kama utapata. Hizi ni ndoto za alinacha kwenusasa wewe chokoraah unataka tutembee sehemu ambayo ukiangalia nyumba moja haina haja ya kuangalia nyumba nyingine....
sasa hapo ninakuwa nimetalii nini ,si mtu unaonekana chizi zaidi na zaidi mtu ataangalia nyumba mbili tatu na ataona mifanano houses kisha atakuambia nirudishe niliko toka
sababu hiyo nyumba moja ukiiangalia unapata taswira ya nyumba zote zilizozunguka nairobi
Hzo lower middle class ziko wapi 🤣🤣🤣 au zile bedsitter za kurent ndio wanaitwa middle class🤣🤣🤣🤣 acheni upupu kabisa nani anastruggle kujenga zaidi ya wale wale politicians, taasisi za serekali na wafanya biashara wakubwa bila kuwasahau investorsHalafu hizo dream houses zake ni kama za lower middle class huku wenye wanastruggle kujenga. Yani mtu badala ya kuangalia quality ya nyumba anaangalia Nani kajenga. Hajui top economies mostly people buy houses. Na hapa Nairobi kuna options, ukitaka ya kununua ipo, ukitaka kujenga, unaweza.
halafu wanakuja wafanyabiashara uchwala wenye idadi ya kampuni 500 na kitu wanakuambia kuwa wamewekeza tanzania billion 2....






You see again owner wa hio runda estate ni watu watatu wanamiliki estate yote hio wengine kazi yao ni kurent na utakua wanaorent ni matajiri wenu 🤣🤣🤣Pole kaka kwa maumivu. Nipe aerial view yo mtaa kama huu hapa Tanzania nzima.kama utapata. Hizi ni ndoto za alinacha kwenu
View attachment 1796209
Ground level
View attachment 1796211View attachment 1796212View attachment 1796213View attachment 1796214View attachment 1796215View attachment 1796216
View attachment 1796158