Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Semi illiterate kajianika😂😂😂😂 eti Runda is owned by three people,😂😂😂😂 , reading his idiotic thoughts into an article 😂😂😂, reasoning uchwara., Karen sasa itakua ya mtu mmoja aliejulikana kama Karen Blixen😂😂😂., so since they turned Runda into real estate they own it?😂😂😂😂Yaani bado unatapatapa tu tangu nikufumanie na upungufu wako wa kifikra?😂😂😂 Unahara maneno tu😝😝😝😝,😝😂😂😂😂😂😂 .,
Wacha kuangalia Kenya kupitia darubini ya umasikini wa Tanzania, hatufanani, wa pwani wa Tanzania ni masikini zaidi, afadhali wa bara😂😂😂😂., ona sasa😂 ,
Mkipewa facts za ukwei hamutaki munataka musifiwe upupu 🤣🤣🤣🤣 lini ww umenifungua mm macho ?? Lini na wapi? Utanifundisha nn kitu labda tuanzie hapo😀

wanamiliki estate wachache wakiwemo politicians alaf stress zenu mutuletee humu ndani 😁😁😁😁😁
 
Hajui wale jamaa ni waanzilishi tu, lakini nyumba ziliuzwa kwa watu binafsi na organizations. Pale ndani za ku rent ni kidogo sana especially za NGOs and other international branches.
Kwanza mpeni mafunzo kidogo ajue neno Runda ilikujaje. Anajua chimbuko la hilo jina Runda?
 
Hajui wale jamaa ni waanzilishi tu, lakini nyumba ziliuzwa kwa watu binafsi na organizations. Pale ndani za ku rent ni kidogo sana especially za NGOs and other international branches.
Ziliuzwa na nani leta ushahid kua zimeuzwa ukipata nitag mm 🤣🤣🤣🤣 hao hao waanzilishi ndio familia zao zinamiliki mpaka kiyama kwani nani asiejua kua ardhi nairobi inakilikiwa nawachache 😁😁😁 alaf munasifia kuona misitu wakat misitu yenyewe ina wenyewe na wanasubiri wakat ufike🤣🤣🤣
 
Pole kaka kwa maumivu. Nipe aerial view yo mtaa kama huu hapa Tanzania nzima.kama utapata. Hizi ni ndoto za alinacha kwenu
View attachment 1796209

Ground level
View attachment 1796211View attachment 1796212View attachment 1796213View attachment 1796214View attachment 1796215View attachment 1796216

View attachment 1796158
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee wa kupost estate only
inabidi mjifunze kitu kutoka Tz
images (4).jpg
 
Mkipewa facts za ukwei hamutaki munataka musifiwe upupu 🤣🤣🤣🤣 lini ww umenifungua mm macho ?? Lini na wapi? Utanifundisha nn kitu labda tuanzie hapo😀

wanamiliki estate wachache wakiwemo politicians alaf stress zenu mutuletee humu ndani 😁😁😁😁😁
Watu wanamiliki majumba ndani ya Estates, watu wote hawawezi kumiliki Estate. Uko sawa kweli, au umepiga bapa la K-vant? 😂
 
Hawa ujamaa iliwaponza kabisa. Anadhani wanavyojenga dreamhouses hapo Dar then sehemu zote duniani hali ni hivyo hivyo. Hajui kwamba established economies watu hununua nyumba. Anasema nairobi watu hawamiliki nyumba tukimletea picha za nyumba zinaouzwa na bei zao anasema eti mkenya atoe shilingi milion ishirini wapi ya kununua nyumba! Sasa Mimi hushangaa hizi nyumba zinauzwa almost everywhere Nairobi ni watanzania wanazinunua?

Then he keeps mentioning estate. Eti huku nyumba yingi za kuuza ni za estates za investors wakenya ni wapangaji tu hawamiliki nyumba. Yani anaforce tufanane nao sana
Mostly they are driven by hate, jealousy and ignorance, wamelishwa propaganda kuhusu Kenya wakiona evidence wanapinga tu without any substance kwa ajili it does not agree with their skewed reasoning and corrupted mind., especially ichoboy01, jama ako na schizophrenia and he is likely suffering from bipolar, read his reasoning and argument, nimeanza kumuelewa huyu, he can't accept Tz is way below Kenya in many fronts., screaming facts atapinga so long as they don't agree with his skewed mindset, anashikwa na hamaki, signs of bipolar 😂 and blind patriotism tu. Most Tanzanians ata kwa YouTube ni haters, they must have been hoodwinked by their politicians and clueless leaders.
 
You see again owner wa hio runda estate ni watu watatu wanamiliki estate yote hio wengine kazi yao ni kurent na utakua wanaorent ni matajiri wenu 🤣🤣🤣
Mm nikikwambia kitu ujue nakijua vzr ndani
View attachment 1796218







na njia ni zile zile najua unazijua 🤣🤣🤣
View attachment 1796219
Najua kiingereza huelewi lakini niambie ni wapi pameandikwa kwamba they own Runda estate. The keyword is 'own'. Leta tuone
 
Mostly they are driven by hate, jealousy and ignorance, wamelishwa propaganda kuhusu Kenya wakiona evidence wanapinga tu without any substance kwa ajili it does not agree with their skewed reasoning and corrupted mind., especially ichoboy01, jama ako na schizophrenia and he is likely suffering from bipolar, read his reasoning and argument, nimeanza kumuelewa huyu, he can't accept Tz is way below Kenya in many fronts., screaming facts atapinga so long as they don't agree with his skewed mindset, anashikwa na hamaki, signs of bipolar 😂 and blind patriotism tu. Most Tanzanians ata kwa YouTube ni haters, they must have been hoodwinked by their politicians and clueless leaders.
Ukisema ujamaa kwanza hate unaiweka pembeni kabisa maana ya ujamaa maana yake ni kuishi maisha ya pamoja kusaidiana kwa pamoja ndio maana ya ujamaa, chuki inaanza kwenye kupishana kwa vipato na hate iko kenya kwasababu majority ni maskini alaf wachache ndio wameshika mpini

na mlivo wajinga hua munapenda kusifiwa kwa vitu hamuna ili muonekane muko mbali kumbe mambo kwa ground ni ushuzi wa popo bawa 😄😄😄

Mm nikisema hapa munanichukia kwasababu natoa siri zenu wengi walikua hawajui na mbaya zaidi chuki zenu zitanisaidia nn ??🤣
 
Watu wanamiliki majumba ndani ya Estates, watu wote hawawezi kumiliki Estate. Uko sawa kweli, au umepiga bapa la K-vant? 😂
A sick head😂😂😂😂😂., wacha atuburudishe na hizo fikra zake😂😂😂 abunuasi la kutoka keko Dar.,
 
Back
Top Bottom