Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👇👇👇👇👇👇 umepost mwenyeweView attachment 1796055View attachment 1796056
Pinga hapa si zanzibar kama wewe dume 😂😂 leo utalia sana manina, nenda kaseme umetukanwa.😂😂
images (7).jpeg
 
Kazi imeisha kwa kutoa matusi, mm mtu akianza kutukana hua sijibizani nae nakwambia kabisa ww kama unataka kutukana mm sio mtu wa sampuli hio
Naona maji yamekukalia kooni mzee, kwhyo we kaba tu haina haja ujitie huzuni na wakati dunia tamu tu mbona
 
Amezoea kubembelezwa kwao hii jf si ya mamake
Kisha jamaa anajisifia kiswahiki kumbe hawezi kukisoma na akakielewa..yeye ywafikiria kiswahili ni lugha ya kuichukulia juu juu tu, si basi ataumia sana km atakua ywasoma vitu na kujijazia mwnywe
 
We unayajua matusi mzee, hehe!!mzee umepanic sio kw ubaya..
We unajua kusoma na kuandika kweli!! maudhui yangu na yako unafikiria yatafanana!! au unafikiria ninachokiandika mie basi lazima kifanane na vile unavyofikiria wewe..
Hapo umefeli. We sema hukuelewa namaanisha nini wala sio eti ukurupuke useme umetukanwa
Huyo mnenguaji amepanic 😂😂😂 mwache avute pumzi kidogo.
 
Back
Top Bottom