Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani wanataka tukae kama wao. Wanachukia greenery ya nairobi just because they have uswazi everywhere. They don't understand that Nairobi si lazima iwe kama Dar and Dar si lazima iwe kama Nairobi. These are two different cities with different concepts, ideologies and priorities. They have their uswazis, we have our greenery. Let's move on!
Precisely
 
Nilishakujibu kwamba matajiri hawapo Nairobi. Ama hiyo si jibu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hasiraaaaa weeeeeeeh
 
Majumba gani hayo yaliyojengwa kw ndoto dar
We mzee si ni wa kupuuzwa, wanaochora plans si ni architect alafu wapanga miji wakisema hapa tunataka formular we nanai wa kupinga..
We wajua sai mombasa kuna sehemu huwezi jenga unavyotaka wewe mpka ufuate protocals za wapanga miji
Rudi page 5 za nyuma ukasome alaf uje unijibu vzr bila hasira 🤣🤣🤣🤣
 
Watu wanachezea KCZ na KDA KDB sai, usikasirike lkn
images.jpeg-20.jpg
images.jpeg-19.jpg
 
Hebu tuambie hayo maeneo yanaitwaje sisi tukusaidie kuleta picha nzuri na bora kwakukusaidia ww na kuwasaidia wakenya wenzio ukipata majina naomba unitag mm
Sasa unajifanya hujaona hayo majina yameandikwa chini ya hizo picha ama leo umekuwa kipofu?
 
Rudi page 5 za nyuma ukasome alaf uje unijibu vzr bila hasira
Umekula jibu murwa mpka umechnaganyikiwa, kila mji unataratibu zake na hakuna kitu km nyumba za ndoto zako hku..
Fuata utaratibu wa sehemu km huwezi kajenge kwenu kijijini hyo dream house yako
 
Hii Dar yenu mlianza kuikana mwaka juzi na bado mnaikana hadi wa leo. Hamchoki? Aren't you people proud of the city you live in and your so-called dreamhouses? Uzuri ni kwamba the internet never forgets
View attachment 1795943View attachment 1795944View attachment 1795945View attachment 1795946View attachment 1795947View attachment 1795948View attachment 1795949
Be proud of what you sow
Wanaumia snaa, eti mji wa watu milion 7 suburban areas kuna kaa kifala hvo, yani km kijiji kikubwa vile
 
Back
Top Bottom