Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanaumia snaa, eti mji wa watu milion 7 suburban areas kuna kaa kifala hvo, yani km kijiji kikubwa vile
For the a millionth time, washaataa hizo sio picha za Dar 😂 😂 😂
Yani hata wao hawana cha kujivunia kuona jiji lao limekabwa koo na uswazi aka dreamhouses kushoto kulia😂 😂 😂 😂 😂
 
Sasa unajifanya hujaona hayo majina yameandikwa chini ya hizo picha ama leo umekuwa kipofu?
Leta maeneo kua hapa ni tandale au mwananyamala kama ulivokua ukifanya jana alaf nakuumbua sasa fanya hvo uvo 🤣🤣
 
Wewe ni kilaza tu. Uelewa wako wa neno estate ni nini? Na iweje leo nyumba za kupangisha zinapatikana Dar wakati kila siku hapa tunaambiwa kila mtu anamiliki nyumba Dar? Hao wanaopangisha ni wakenya?

Tuzijaze server but Garden estate kuna better versions of what you call dreamhouses
View attachment 1795918View attachment 1795919View attachment 1795921View attachment 1795922

View attachment 1795917

Jomba mm nmekuleta Nyumba za kawaida tuu za bei nafuu ambazo ukienda sehemu yoyote Dar utazikuta na hapo zipo zinazouzwa au kupangishwa na sio estate izo na hazikujengwa kwa minajli ya kupangishwa au kuuzwa
 
Umekula jibu murwa mpka umechnaganyikiwa, kila mji unataratibu zake na hakuna kitu km nyumba za ndoto zako hku..
Fuata utaratibu wa sehemu km huwezi kajenge kwenu kijijini hyo dream house yako
Jibu gani na la nani 🤣🤣🤣 umekuja kumsaidia ndugu yako kaishiwa pumzi 😅😅
 
Hii ni zanzibar culture tena iko ushagooo 🤣🤣🤣🤣 kama vile lamu culture 👇👇👇
View attachment 1796003
Manina, culture ya zanzibar ni punda sio canter👇👇👇😂😂😂
images (7).jpeg
 
Wanaumia snaa, eti mji wa watu milion 7 suburban areas kuna kaa kifala hvo, yani km kijiji kikubwa vile
Million 6 sio saba usiforcw sana 🤣🤣
Hushangai mji una 5.5m halaf nusu ya 696km sq ni misitu hawa wengine wanaishi wapi???😁😁 ukiambiwa kibera ina 2.5m kwann ukatae
 
Jomba mm nmekuleta Nyumba za kawaida tuu za bei nafuu ambazo ukienda sehemu yoyote Dar utazikuta na hapo zipo zinazouzwa au kupangishwa na sio estate izo na hazikujengwa kwa minajli ya kupangishwa au kuuzwa
Kwn estate nin nn mzee
Wajua nikisoma comments zako mpka nimeingiwa na wasi wasi ikanibidi nije nikuulize hili swali..manake huenda ikawa unageresha geresha tu maneno lkn kumbe hta neno estate hulijulii maana
 
Million 6 sio saba usiforcw sana
Hushangai mji una 5.5m halaf nusu ya 696km sq ni misitu hawa wengine wanaishi wapi??? ukiambiwa kibera ina 2.5m kwann ukatae
Ukiambiwa na nani? Kumbe we unaambiwa hutumii akili zako mwnywe..pole sana kilaza
 
For the a millionth time, washaataa hizo sio picha za Dar
Yani hata wao hawana cha kujivunia kuona jiji lao limekabwa koo na uswazi aka dreamhouses kushoto kulia
Ukitaka kumuweza mtanzania we mwambie tu akuletee maeneo ya wengi dar au middle class areas..basi hapo itakua umemchanganya kabisa hata heri uachane naye ukalishe mabata wako mtama..
Suburban kw city ya watu milion 7 kunakaa hvo
 
Back
Top Bottom