Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Umefinywa kende manina 😂😂😂Jamaa unapata tabu sana yn mpk unaokota picha za mtandaoni, Nicxie hizo picha co za Tz usifosi tuwe km nyie mkuu unajiumiza bure, hakuna mazingira km hayo Tz![]()
Umefinywa kende manina 😂😂😂Jamaa unapata tabu sana yn mpk unaokota picha za mtandaoni, Nicxie hizo picha co za Tz usifosi tuwe km nyie mkuu unajiumiza bure, hakuna mazingira km hayo Tz![]()
Kupost vinyumba moja moja ni upumbavu, tupatie jina la eneo tukaigoogle tuione.
Nipe mfanoKwani hujui kusoma
Nyumba zinalocation zote izo
Mwehu uache kua ww niwe mm 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇👇Kwa hivyo hata Johannesburg pia haijajengwa?
View attachment 1795634View attachment 1795636View attachment 1795670
Wewe na yule kilaza mwenzako ni mwehu tu
Soma swali vzr na ujibu kwa ufasaha nimekwambia niletee nyumba zilizojengwa na matajiri wa kenya tofaut tofaut nyumba za dream zao ukipata unitag sasa nianze kukupa soma vzr kwa utulivu 🤣🤣🤣🤣Nilikuuliza unataka nikuletee picha ya nyumba, quantity surveyor, contractor pamoja na jina ya mwenye nyumba hadi na number zake za simu ndio ujue kajenga kulingna na ndito zake hukunijibu. Wewe akili yako huwa inapiga laps kidogo
Umekiri kwamba nusu ya nairobi ni msitu sasa usishnagae kuskia kibera alone ina 2.5m people yani ni simple mathematics 🤣🤣Nusu ya Nairobi ni misitu kwa sababu zaidi ya nusu ya Dar ni uswazi
🤣🤣🤣🤣🤣 mm niwe na chuki na ww eenhhh Mungu nisaidieKuwa na chuki na mtu km wewe hyo itachukuliwa km upungufu wa akili
Magomeni kagera after zooming🤣👇👇Najua jinsi unavyoumia. Hapo Ridgeways huwezimiliki hata kuku. Unakejeli nyumba ya mamilioni wakati wewe unaishi uswazini hapa hata pesa ya kupaka rangi au kubadilisha paa ya dreamhouse yako ndio huna
View attachment 1795673View attachment 1795674View attachment 1795676
Yani leo Nicxie awe na akili ya kumshinda mzungu 🤣🤣🤣🤣 na huyo huyo mzungu kaona slum dunia nzima hakuona darNajua jinsi unavyoumia. Hapo Ridgeways huwezimiliki hata kuku. Unakejeli nyumba ya mamilioni wakati wewe unaishi uswazini hapa hata pesa ya kupaka rangi au kubadilisha paa ya dreamhouse yako ndio huna
View attachment 1795673View attachment 1795674View attachment 1795676
🤣🤣🤣🤣 tena wenyewe wanajulikana mbonaNilichogundua ni kwamba misitu ya Nairobi ina wenyewe![]()
Huyu mzungu humtaki mbona😂😂😂😂Magomeni kagera after zooming🤣👇👇
Bandari college after zooming 👇👇👇
Yani kilaza ww uwe na akili ya kumsinda alietengebeza simu unayotumia ww na internet yake🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1795889View attachment 1795891
Ilala iko wapiHapa Dar haijaisha. A million pics imagine! 😂 View attachment 1795686
2021 pic 🤣🤣🤣👇👇👇 unatuletea pic ya 30 yrs ago kisa unahasiraHapa Dar haijaisha. A million pics imagine! 😂 View attachment 1795686
Naomba nisiharibu mood yako plz🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇Hapa Dar haijaisha. A million pics imagine! 😂 View attachment 1795686
Jamani tusave hizi picha kwa matumizi ya baadae😂😂😂 0.5% developmentNaomba nisiharibu mood yako plz🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇
View attachment 1795897View attachment 1795898View attachment 1795899
Rudi hapa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇Dreamhouses katikati ubora wao 😂 😂 😂
Eti ooh...sisi tunamiliki dreamhouses zetu Dar. Unamiliki dream house ama shanty?
View attachment 1795690View attachment 1795691View attachment 1795692View attachment 1795694View attachment 1795695View attachment 1795697View attachment 1795698View attachment 1795699View attachment 1795700
Alafu unasikia kilaza fulani akikejeli sehemu kama Ridgeways wakati yeye anaishi sehemu kama hizi!
Magomeni kagera after zooming🤣👇👇
Bandari college after zooming 👇👇👇
Yani kilaza ww uwe na akili ya kumsinda alietengebeza simu unayotumia ww na internet yake🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1795889View attachment 1795891
Yani leo Nicxie awe na akili ya kumshinda mzungu 🤣🤣🤣🤣 na huyo huyo mzungu kaona slum dunia nzima hakuona dar
yani mtu anaforce tufanane😅😅😅
Hebu tuzoom kwa pamoja👇👇👇👇View attachment 1795892
Yani leo Nicxie awe na akili ya kumshinda mzungu 🤣🤣🤣🤣 na huyo huyo mzungu kaona slum dunia nzima hakuona dar
yani mtu anaforce tufanane😅😅😅
Hebu tuzoom kwa pamoja👇👇👇👇View attachment 1795892
According to who? nani alikuja kupima ??🤣🤣 raila odinga au mama nginaJamani tusave hizi picha kwa matumizi ya baadae😂😂😂 0.5% development
Green space wakat ardhi za watu 🤣🤣 unaongelea green space wakat nusu ya nairobi ni misitu alaf ukiambiwa kibera ina 2.5m people unakasirika 😀😀😀😀Tunaongelea green spaces bongolala. Fatilia thread. Unazoom ndio tuone nyasi au miti?
Tupeleke kwa wakenya over 3m wanapoishi sasa 🤣🤣🤣👇👇👇 unatuonesha za wenyewe ambayo mtu akipanga bedaitter nae ashakua middle class, eti nye nye nye kwann mzungu kaona slum za dunia nzima hakuona dar😀😀 dunia hii nani haijui kibera slum au mathareHii kuzoom yako haikusaidii chochote bongolala. Linganisha hiyo zoom yako ni hizi mitaa za kawaida nairobi kisha niambie nafuu iko wapi?
View attachment 1795722View attachment 1795724View attachment 1795725View attachment 1795726View attachment 1795727View attachment 1795728
Anza tu na mpangilio wa makazi kisha malizia na aina ya nyumba kati ya hizi sehemu mbili