Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilikuuliza unataka nikuletee picha ya nyumba, quantity surveyor, contractor pamoja na jina ya mwenye nyumba hadi na number zake za simu ndio ujue kajenga kulingna na ndito zake hukunijibu. Wewe akili yako huwa inapiga laps kidogo
Soma swali vzr na ujibu kwa ufasaha nimekwambia niletee nyumba zilizojengwa na matajiri wa kenya tofaut tofaut nyumba za dream zao ukipata unitag sasa nianze kukupa soma vzr kwa utulivu 🤣🤣🤣🤣
 
Nusu ya Nairobi ni misitu kwa sababu zaidi ya nusu ya Dar ni uswazi
Umekiri kwamba nusu ya nairobi ni msitu sasa usishnagae kuskia kibera alone ina 2.5m people yani ni simple mathematics 🤣🤣

uswazi sio slum na ndani ya uswazi kuna nyumba za heshika kama bilivokupitisha tandale 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Najua jinsi unavyoumia. Hapo Ridgeways huwezimiliki hata kuku. Unakejeli nyumba ya mamilioni wakati wewe unaishi uswazini hapa hata pesa ya kupaka rangi au kubadilisha paa ya dreamhouse yako ndio huna
View attachment 1795673View attachment 1795674View attachment 1795676
Magomeni kagera after zooming🤣👇👇
Bandari college after zooming 👇👇👇
Yani kilaza ww uwe na akili ya kumsinda alietengebeza simu unayotumia ww na internet yake🤣🤣🤣🤣🤣
DB21EE78-84C6-40CF-A332-5FCE9626FEC4.png
AC90DDD8-B71B-40BD-ACE9-62B07EEBB767.png
 
Najua jinsi unavyoumia. Hapo Ridgeways huwezimiliki hata kuku. Unakejeli nyumba ya mamilioni wakati wewe unaishi uswazini hapa hata pesa ya kupaka rangi au kubadilisha paa ya dreamhouse yako ndio huna
View attachment 1795673View attachment 1795674View attachment 1795676
Yani leo Nicxie awe na akili ya kumshinda mzungu 🤣🤣🤣🤣 na huyo huyo mzungu kaona slum dunia nzima hakuona dar

yani mtu anaforce tufanane😅😅😅
Hebu tuzoom kwa pamoja👇👇👇👇
C4B0A65F-5B01-448A-8BD8-4FB9C9CB1AC8.png
 
Hapa Dar haijaisha. A million pics imagine! 😂 View attachment 1795686
Ilala iko wapi
Kijitonyama iko wapi
Masaki and oyesterbay iko wapi
Upanga iko wapi??
Mbezi iko wapi
Ubungo iko wapi?
Pspsf and mnf and TPA tower ziko wapi
Rita tower iko wapi

picha hii ni ya miaka 30 iliopita 🤣🤣🤣🤣
Na kama ww mwanaume una kende bisha
 
Dreamhouses katikati ubora wao 😂 😂 😂
Eti ooh...sisi tunamiliki dreamhouses zetu Dar. Unamiliki dream house ama shanty?
View attachment 1795690View attachment 1795691View attachment 1795692View attachment 1795694View attachment 1795695View attachment 1795697View attachment 1795698View attachment 1795699View attachment 1795700
Alafu unasikia kilaza fulani akikejeli sehemu kama Ridgeways wakati yeye anaishi sehemu kama hizi!
Rudi hapa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
Magomeni kagera after zooming🤣👇👇
Bandari college after zooming 👇👇👇
Yani kilaza ww uwe na akili ya kumsinda alietengebeza simu unayotumia ww na internet yake🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1795889View attachment 1795891
Yani leo Nicxie awe na akili ya kumshinda mzungu 🤣🤣🤣🤣 na huyo huyo mzungu kaona slum dunia nzima hakuona dar

yani mtu anaforce tufanane😅😅😅
Hebu tuzoom kwa pamoja👇👇👇👇View attachment 1795892
Yani leo Nicxie awe na akili ya kumshinda mzungu 🤣🤣🤣🤣 na huyo huyo mzungu kaona slum dunia nzima hakuona dar

yani mtu anaforce tufanane😅😅😅
Hebu tuzoom kwa pamoja👇👇👇👇View attachment 1795892
 
Tunaongelea green spaces bongolala. Fatilia thread. Unazoom ndio tuone nyasi au miti?
Green space wakat ardhi za watu 🤣🤣 unaongelea green space wakat nusu ya nairobi ni misitu alaf ukiambiwa kibera ina 2.5m people unakasirika 😀😀😀😀
 
Hii kuzoom yako haikusaidii chochote bongolala. Linganisha hiyo zoom yako ni hizi mitaa za kawaida nairobi kisha niambie nafuu iko wapi?
View attachment 1795722View attachment 1795724View attachment 1795725View attachment 1795726View attachment 1795727View attachment 1795728
Anza tu na mpangilio wa makazi kisha malizia na aina ya nyumba kati ya hizi sehemu mbili
Tupeleke kwa wakenya over 3m wanapoishi sasa 🤣🤣🤣👇👇👇 unatuonesha za wenyewe ambayo mtu akipanga bedaitter nae ashakua middle class, eti nye nye nye kwann mzungu kaona slum za dunia nzima hakuona dar😀😀 dunia hii nani haijui kibera slum au mathare

5C4E1503-0B47-4C57-8B01-0074704618E8.png
74A6B5E2-BF32-4DE3-9356-BC5AEF80EA00.png
 
Back
Top Bottom