Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jalala City in the slum, nmecheka sn
JamiiForums-1019219579.jpg
JamiiForums1656061973.jpg
JamiiForums-1218030871.jpg
 
I had a Nigerian friend over a few months ago and he was impressed at the greenery in Nairobi and wished they had replicated the same in Nigeria. In fact, any time someone visits Nairobi for the first time, it is the greenery that impresses them.
Na uchafu mnamuachia nani?!greenery greenery Miji mingi mikubwa duniani iko kwa fukwe!!!! Rivers and Lakes....ndo maana mnahangaika kila kukicha sijui nini sijui nini mara greenery mara Mbuga ya wanyama.. nonsense,si sisi tuliowataka mdevelop Nairobi over Mombasa ambayo ilikuwa na port kubwa kitambo!!!Ukabila umewajaa ,mmewanyonya sana watu wa pwani katika harakati za kuindeleza Nairobi... maana Nairobi hamna kitu pale cha kushika, Mombasa hamjaitendea haki kbs,haki yake mmepelekea watu wa Nairobi..those Cartel.
 
Na uchafu mnamuachia nani?!greenery greenery Miji mingi mikubwa duniani iko kwa fukwe!!!! Rivers and Lakes....ndo maana mnahangaika kila kukicha sijui nini sijui nini mara greenery mara Mbuga ya wanyama.. nonsense,si sisi tuliowataka mdevelop Nairobi over Mombasa ambayo ilikuwa na port kubwa kitambo!!!Ukabila umewajaa ,mmewanyonya sana watu wa pwani katika harakati za kuindeleza Nairobi... maana Nairobi hamna kitu pale cha kushika, Mombasa hamjaitendea haki kbs,haki yake mmepelekea watu wa Nairobi..those Cartel.
Hii povu yote ni ya nini sasa? Nairobi imekuosea nini? Kama kuna watu wanafaa kucomplain ni watu wa Machakos, not Mombasa. Niulize ni kwa nini
 
Dreamhouses katikati ubora wao 😂 😂 😂
Eti ooh...sisi tunamiliki dreamhouses zetu Dar. Unamiliki dream house ama shanty?
images(97).jpg
images(105).jpg
images(93).jpg
images(101).jpg
images(103).jpg
images(102).jpg
images(95).jpg
images(96).jpg
images(98).jpg

Alafu unasikia kilaza fulani akikejeli sehemu kama Ridgeways wakati yeye anaishi sehemu kama hizi!
 
Hii povu yote ni ya nini sasa? Nairobi imekuosea nini? Kama kuna watu wanafaa kucomplain ni watu wa Machakos, not Mombasa. Niulize ni kwa nini
Sina tatizo na Nairobi ila mmezidi sana kuipamba,too much talk about greenery ya kwny miji mikubwa ni parks na miti inayopandwa pembezoni mwa barabara na pengine michache katika majengo ili kuleta vivuli plus kwenye rivers ili kuzuia soil erosion na sio machaka ya vibaka tofauti na hapo ni forest zinazopatikana nje kbs ya mji ili pia mji upate kubreath.
 
Sina tatizo na Nairobi ila mmezidi sana kuipamba,too much talk about greenery ya kwny miji mikubwa ni parks na miti inayopandwa pembezoni mwa barabara na pengine michache katika majengo ili kuleta vivuli plus kwenye rivers ili kuzuia soil erosion na sio machaka ya vibaka tofauti na hapo ni forest zinazopatikana nje kbs ya mji ili pia mji upate kubreath.
Angalia kwanza machaka ya Johannesburg ndio uje utoe povu ndoo nzima
images(70).jpg
images(77).jpg
images(78).jpg
images(73).jpg

Sisi tunajivunia greenery ya nairobi, and many other people do. Nyinyi pia mjivunie tu uswazi wenu, hatuna shida na hilo. Kila mtu anavuna tu alichopanda.
 
Nicxie narudia kukuuliza nioneshe dream house za matajiri wa nairobi waliojenga kwa dream zao wao wenyewe alaf kupitia hilo swali kuna kitu utajifunza 🤣🤣🤣🤣🤣








Kuja Nairobi utalii Runda, Muthaiga, Karen, Lower Kabete, Spring Valley, Kyuna, Loresho, Lavington na sehemu zingine nyingi utaziona hadi uchoke. Tumezipost humu hadi tujachoka, sema tu unapenda ubishi
 
Nicxie unatuonesha estates alaf unatuamhia ndio sehemu matajiri wanaishi hvi nyinyi wakenya muko serious 😀😀😀 hata tukifatilia hzi estates wanazoishi watu wenye uwezo utakuta still wame rent au munabisha 🤣🤣🤣🤣
Wamerent, na watanzania ndio wamiliki wa hizo nyumba
 
Back
Top Bottom