Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

How is Westlands part of Nairobi cbd? You can clearly see cbd and upperhil in the background. Mbona unapenda ubishi hivi?

Back to that picture, tulishakuambia kwamba Nairobi tunazingatia zaidi utunzaji wa gree spaces, just like many other cities around the world. Usiforce tufanane nanyi kijana.
Angalia Johannesburg ilivyo na iko hapa hapa Africa.
View attachment 1795251View attachment 1795252View attachment 1795253View attachment 1795254View attachment 1795255View attachment 1795257View attachment 1795258View attachment 1795259View attachment 1795260

Unaonaje hizo 'Misitu'? Is Dar better than Jo'burg in anything just because Dar doesn't have green spaces but Jo'burg has? Anzeni kupanda miti Dar kijana na muache kelele usiku na mchana. Sitachoka kuwaelimisha
Nikuulize swali kwann nusu ya nairobu ni misitu ??? Unaeza nijibu hilo swali kwa umakini wa hali ya juu??🤣🤣🤣🤣
 




MY TAKE
Kwann serikali (TAMISEMI) isiruhusu kuwe na UDART wengi hata wawili au watatu? Kama miundombinu ya mwendokasi ipo chini ya DART monopply ya nn!? Au basi UDART menegement iondolewe?


Tutapiga makelele hapa ila Dart ina management mbovu na ndo wanao cost mwendokasi inabidi company ziwe mbili kuwe na competion
 
Naomba tuzoom sasa muda umefika 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇



B3E10614-CB43-44D8-876D-4202D138F554.png
 
Alafu tukija tena katika idadi ya wealthy suburbs tumewabaka aisee, middle class areas tumewalawiti nyumba za wakenya wa kawaida mashinani tumewaua kabisa..

Si nyie wenyewe wanapopost akina tanga mnajionea uswazi tu, yani nchi nzima tz wananchi wa kawaida hawana zaidi ya dream house
Zikwapi nyumba za wakenya mashishani ambao hawana dream ya kumiliki nyumba nairobi hata kwenye ndoto zao 🤣🤣🤣
 
Tutaona estates za kurent na sio nyumba ya dream ya mtu mmoja mmoja hio haitakaa kutokea 🤣🤣🤣🤣 nimekuuliza swali langu limekua la moto

huna chakutuonesha sisi zaidi ya estates za investors and politicians wachache ambao wamewekeza kwenye ardhi kubwa kubwa ili nyinyi wapuuzi musio na dream za plot maisha yenu mubaki kuwaza nyumba za urithi ushagoo😁😁😁
 
Hapa ndio pazuri, Wakenya leteni picha wanapoishi Wakenya wa maisha ya kawaida tofauti na hizi[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1795552View attachment 1795553View attachment 1795554View attachment 1795555View attachment 1795556View attachment 1795557View attachment 1795559View attachment 1795560View attachment 1795561
Hajannam ya duniani hio waambie wakuoneshe nyumba za maboss wao waliojenga kwa dream zao akipata tu nitag 🤣🤣🤣🤣
 
Nicxie before zooming newyork and after zooming 🤣🤣🤣🤣 mzungu hawezi kua mjinga aone slum za dunia nzima asione ya dar 👇👇👇👇 subiri dunia iumbwe tena alaf utapata slum dar 😄😄😄😄😄
24D9D016-F9FD-4597-896B-797C284FE581.png
F88FDD70-99A3-4139-AC08-565E96F20FE3.png
 
Nicxie narudia kukuuliza nioneshe dream house za matajiri wa nairobi waliojenga kwa dream zao wao wenyewe alaf kupitia hilo swali kuna kitu utajifunza 🤣🤣🤣🤣🤣







 
Nicxie unatuonesha estates alaf unatuamhia ndio sehemu matajiri wanaishi hvi nyinyi wakenya muko serious 😀😀😀 hata tukifatilia hzi estates wanazoishi watu wenye uwezo utakuta still wame rent au munabisha 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom