Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar bado sana mazee[emoji1787][emoji1787]
Nairobi imegawanyika mara 17 nyie wapuuzi, yani kiufupi nairobi county ina wabunge takriban 17..

Watueee, kujeni huku muone vile kwnm umaskini dar umetapakaa..mji watu milioni 7 una wilaya tano pekee[emoji1787][emoji1787]

Ikiwa mombasa tu zipo sita
Kwahiyo unavyodhani wilaya ndio inatoa mbunge, we kweli fala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Is it Kajiado au Nairobi? [emoji28][emoji28][emoji28]

Kajiado unaijua wewe? [emoji23][emoji23][emoji23]


View attachment 1794843



Kajiado ni hii hapa Buda [emoji28][emoji28][emoji28]
Got turkana vibes

View attachment 1794844


Watanzania Muwe macho sana, hapa unapakiwa kwenye kapu bila kujua [emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa kaumia kaenda kuleta picha za google[emoji1787][emoji1787]
Ukiletewa video si utalia
 
Zile kelele zote kumbe dar ina maeneo bunge matano tu usione zile kelele zote[emoji1787][emoji1787]
Alafu anatokea mtu eti anakuja kuilinganisha na nairobi
Nilijua utasema hivyo jimama la kukurupuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio upande wa east imepakana na mikocheni eastside, kijitonyama south- west
Are they separated by several kilometers say ten or are they just in the same place? Am asking this because in that picture you posted early, I could see a few buildings that I have always known to be in Kijitonyama
 
Are they separated by several kilometers say ten or are they just in the same place? Am asking this because in that picture you posted early, I could see a few buildings that I have always known to be in Kijitonyama
Zinapakana
 
Nairobi ilikuwa hadi Ulaya ya watanzania enzi za Nyerere hadi leo wa leo mwebdo ni huo huo 😂 😂
Hii kweli ulaya 😅😅😅

images - 2021-05-23T110018.285.jpeg
 
Which one ??🤣🤣🤣
Hebu nioneshe majumba ya kifakhari yanayomilikiwa na matajiri Nairobi ambayo wamejenga wao wenyewe kwa ndoto zao alaf nikufundishe kitu
Sasa nikikuletea utadhibitishaje kwamba mwenyewe ndio kajenga na kulingana na taste yake? Unataka nikuletee pamoja na house plan, quantity surveyor, contractor na number ya simu ya mwenye nyumba ama? Your reasoning leaves nothing to desire about you.
 
Imejengeka juu ya misitu au[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ikiwa 696km sq ukitoa nairobi national park 200km sq unabaki na ngapi ukitoa misitu inabaki ngapi ??? [emoji1][emoji1][emoji1] akili haikai kwenye kipumulio

dar imejengeka na nikubwa mara tatu ya nairobi ulie usilie haitabadilisha [emoji28][emoji28][emoji28]
Uchambuzi huu huwa hawaupendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huku bunge ni moja tu hakuna eneo linaitwa bunge hakuna na hutalipata mpka dunia inasmama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anamaanisha eti Dar inawakilishwa na wabunge wa5 tu chizi kweli uyo, mwambie tuna majimbo mangapi kwanza hapa Dar.
 
Hebu tufanye hesabu rahisi tu [emoji116][emoji116][emoji16]
Dar city is 1690km sq tukumbuke dar hakuna national parks bali kuna marine reserves [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Nairobi is 696km

Haya tuanze kwa pamoja 696km sq minus 117km sq nairobi national park = 579km sq

Hapo hatujatoa misitu isiohesabika ni over 150km sq


tukitoa tena tunapata 429km sq ambayo ni sawa na kinondoni district alone [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 1794513
View attachment 1794517
Hawapendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbezi Juu-njia ya Goba iyo Masana

Hawa jamaa wakisikia dream house sijui wanaduwaa na nnView attachment 1794857View attachment 1794858View attachment 1794859
Dar nzima ingekuwa inafanana hivyo hiyo kelele yenu ya dreamhouses ingesikika. Unfortunately, that's not the case. More than half of Dar looks like this image below and that's why we refer to thse shanties as your dreamhouses coz these are the type of houses that majoritybof dar residents live in (the so called dreamhouses) including many of you who make noise in here
Screenshot_20210515-100453~2.png


And have we forgotten that Mbezi you posted is one of the affluent neighborhooslds in Dar? One of the areas where the rich live? 😂 😂 😂 The equivalent of Rundas, Lower Kabetes, Gigiris and Kyunas of Nairobi?
 
Back
Top Bottom