Mutaitina
JF-Expert Member
- Mar 6, 2021
- 798
- 1,451
If you say so. When did you do the census, maybe you can share the dataThe rest what, all Kenyans know that Magufuli was genius even u and ur president.
If you say so. When did you do the census, maybe you can share the dataThe rest what, all Kenyans know that Magufuli was genius even u and ur president.
hii ndo inafanya SGR kuwachelewa ikifike kituo cha Dar mwezi November?.. nasikia Kadogosa kasema Pugu wataanza August ila kule kituoni 0km wataanza November.. anasema design ya zile nguzo mbili zimewasumbua.. sasa sijui inarelate na hii bridge
Treasure Victoria 18flrView attachment 1794345
Bado moja mkuu.
Nimeskia rumors za ajabu about that place sitaki kuamimi kama ndo zinachelewesha
Mi labda unambie DUMA hyo ndio namtambua kwa sana kuliko huo upupu wa kumilaDumila ni mji uliopo mkoa wa Morogoro.
Nimekupatia location kwenye maps.


Ziko wapi? Kwn unapoambiwa county unalewa niniAmbulance kila county!????..tz kuna ambulance kila kata(ward)..


Kilaza katika ubora wake
Dar bado sana mazeeWakenya
Kwanza mnatakiwa kujua Dar es salaam imegawanywa katika wilaya 5:-
1. Ilala
2. Kinondoni
3. Temeke
4. Ubungo
5. Kigamboni.
Wilaya zimegawanywa katika Kata.
Kata zimegawanywa katika mitaa.
Sasa nitaanza wilaya kwa wilaya ili mkome.




Zile kelele zote kumbe dar ina maeneo bunge matano tu usione zile kelele zoteJuju haikufanya kazi but almost![]()


County ni tofauti na Kata(ward)..huku bongo tunaanza naZiko wapi? Kwn unapoambiwa county unalewa nini
Alafu nataka hzo ambulance na chapa zake
Mji ungejaa mate,bora walivyotolewa mikiaDah jamaa wametolewa ila wametisha sana, ilikuwa kdg tu tusilale leo mana yule mpumbavu Manara sijui tungembebea wapi aisee, kwakweli Simba hongera zao cz hii inamaanisha Tz kwenye ngazi ya vilabu tuko vzr sn kwa sasa.
👇👇👇👇👇 kiambu ni county au sio county naomba jibu bila hasiraNairobi metro, ruaka (kiambu)View attachment 1794502View attachment 1794503View attachment 1794505View attachment 1794507