ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hehehehehe ushaanza kuchanganyikiwa 🤣Victoria ni tofauti na Kijitonyama?
Hehehehehe ushaanza kuchanganyikiwa 🤣Victoria ni tofauti na Kijitonyama?
Which one ??🤣🤣🤣The kind of houses that hide under those leafy areas that they ignorantly call forest Dar can only dream to have
Ndio upande wa east imepakana na mikocheni eastside, kijitonyama south- westVictoria ni tofauti na Kijitonyama?
Si tulikubaliana tanzania hatutumii lugha ya mkoloni, hivi imekuaje tena
Ulikubaliana na naniSi tulikubaliana tanzania hatutumii lugha ya mkoloni, hivi imekuaje tena
Achana naye mzee huyo, jamaa kaamua kujitia utahira iki tu avuruge mada..yani analazimisha metro ifanane na county mazee..Yaani wee jamaa kilaza wa aina gani!? Hata kama unawehu!? Sasa una compare nini!? County na Metropolitan area!? Tuseme we hujaenda shule ama tu walivyosema, unaconfirm tu kwamba watanzania ni vilaza 99%?
Huyu ndio yule msee wa computer science wa hko aisee, sasa angalia ulichokiandika maskini..mpka nakuonea huruma mzee, yani sehemu kuwa na metro inatokana na wahusika kubadili jina[emoji849]Pamoja na kubadili majina Nairobi population ni 4m [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
View attachment 1794807
Mzee si umeamua kuwakaangaThey don't know anything leafy in their cities so they think those leafy places are forests.
Let me show them how this places look like on the ground
View attachment 1794796
View attachment 1794816
Jamaa eti wanaita hapo msitu jamani, inatia huruma mazee..
Don't act stupid just because you don't know a thing or two about photography. Don't you know it's possible to capture images that are even 100kms away kwa picha? Hizo sehemu tatu zote ziko Nairobi and they are separated by just a few kilometers sasa unataka picha ikipigwa zisionekane? How do you even reason?Hii picha hua inakamilisha karibu kila kitu asante bro🤣🤣🤣 mukiwmbiwa nairobi nusu ni msitu munaanza kusingizia green spaces hamutaki kusema ukweli kua ardhi zote zishachukuliwa na wakubwa au munaona aibu 😅😅😅😅😅😅
View attachment 1794832
Is it Kajiado au Nairobi? 😅😅😅Nairobi metro, Rongai (kajiado)
A decade ago this were masaai grazing fields..
View attachment 1794490View attachment 1794497View attachment 1794498View attachment 1794501
Unataka Nairobi pafanane hivi ndio tuwe sawa nanyi?Hii picha hua inakamilisha karibu kila kitu asante bro🤣🤣🤣 mukiwmbiwa nairobi nusu ni msitu munaanza kusingizia green spaces hamutaki kusema ukweli kua ardhi zote zishachukuliwa na wakubwa au munaona aibu 😅😅😅😅😅😅
View attachment 1794832
Thanks man!!Your swahili is polished man, for a Kenyan , Kudos
Ndio maana tunasema kanairobi ni finyu sana, hakawezi kabisa kukidhi mahitaji, nje kidogo tu one step umeshakiacha miles away 😅😅😅Nairobi metro, ruaka (kiambu)View attachment 1794502View attachment 1794503View attachment 1794505View attachment 1794507
Sasa wewe uko Gongo la mboto na unajifanya unajua Nairobi kuliko wenyeji. Picha alizoleta ni za Rongai, which is only a few kilometers from the famous Karen estate. Kwa ufupi ni kwamba Rongai iko Kajiado county. Rongai is not kajiado and Kajiado is not Rongai. Kajiado town iko mbali sana na Nairobi cbd on your way to Namanga borderIs it Kajiado au Nairobi? 😅😅😅
Kajiado unaijua wewe? 😂😂😂
View attachment 1794843
Kajiado ni hii hapa Buda 😅😅😅
Got turkana vibes
View attachment 1794844
Watanzania Muwe macho sana, hapa unapakiwa kwenye kapu bila kujua 😅😅😅
Dar inawakilishwa na wabunge watano bungeni, nyie kweli hamjielewi ndio manake umaskini umekithiri tanzania..Huku bunge ni moja tu hakuna eneo linaitwa bunge hakuna na hutalipata mpka dunia inasmama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nairobi ilikuwa hadi Ulaya ya watanzania enzi za Nyerere hadi leo wa leo mwebdo ni huo huo 😂 😂Ndio maana tunasema kanairobi ni finyu sana, hakawezi kabisa kukidhi mahitaji, nje kidogo tu one step umeshakiacha miles away 😅😅😅
2030 Nairobi itakua one street na hii ni sababu mnazaliana kama panya na Kenya nzima Nairobi ndio last hope, ndio ulaya yenu hiyo 😅😅😅
Kisa dar haina metro sio[emoji1787][emoji1787]pole sana. Nyie levels zenu bujumburaNdio maana tunasema kanairobi ni finyu sana, hakawezi kabisa kukidhi mahitaji, nje kidogo tu one step umeshakiacha miles away [emoji28][emoji28][emoji28]
2030 Nairobi itakua one street na hii ni sababu mnazaliana kama panya na Kenya nzima Nairobi ndio last hope, ndio ulaya yenu hiyo [emoji28][emoji28][emoji28]
Zuka hilo achana nalo[emoji1787][emoji1787]ni sawa na kusema naivasha ni nakuru eti kisa ipo nakuru county..Sasa wewe uko Gongo la mboto na unajifanya unajua Nairobi kuliko wenyeji. Picha alizoleta ni za Rongai, which is only a few kilometers from the famous Karen estate. Kwa ufupi ni kwamba Rongai iko Kajiado county. Rongai is not kajiado and Kajiado is not Rongai. Kajiado town iko mbali sana na Nairobi cbd on your way to Namanga border