ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Imejengeka juu ya misitu au🤣🤣🤣Dar bado sana mazee[emoji1787][emoji1787]
Nairobi imegawanyika mara 17 nyie wapuuzi, yani kiufupi nairobi county ina wabunge takriban 17..
Watueee, kujeni huku muone vile kwnm umaskini dar umetapakaa..mji watu milioni 7 una wilaya tano pekee[emoji1787][emoji1787]
Ikiwa mombasa tu zipo sita
Ikiwa 696km sq ukitoa nairobi national park 200km sq unabaki na ngapi ukitoa misitu inabaki ngapi ??? 😄😄😄 akili haikai kwenye kipumulio
dar imejengeka na nikubwa mara tatu ya nairobi ulie usilie haitabadilisha 😅😅😅