Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sina mda huo wa kuwaza ili eti nikaishi nairobi[emoji23][emoji23]
We kwn wataka kuishi nairobi?
Huna muda wa kubishana au huna ndoto ya kumiliki plot nairobi mbona kama unajitekenya hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwhyo unakataa km sai watu wanavaa barakoa[emoji1787][emoji1787]kw lile kongamano je, nako kulikua na wageni wa kutokea wapi?
Kwan kikwete alikua havai barakoa🤣🤣 sasa waganda wanata muvae barakoa na ndio wageni wenu, utawafkuza ama???
 
Hii ndoto ipo toka arap moi 🤣🤣🤣 40yrs ago wala mm hua sishangai kabisa asante kwa matuamini ubarikiwe😀😀😀
Jinyonge ni Mombasa na sio Nairobi Wala Mwanza😂😂😂😂😂😂
 
That's where you wrong in kenya they have started kenya power is on the progress to build charging stations in all major highways, we already have several guys who have bought electric cars and we have a taxy company similar to uber which all their cars are electric Kenya Power to rollout electric car charging stations
🤣🤣🤣🤣🤣 narudia kukwambia hvi ndoto ya kuitoa mafuta kwenye soko la africa subiri miaka 200 mbele, mumeshindwa ku electrify white elephant mutaweza electric cars au munafkiri ni kama kula githeri
 
Alafu mwishowe wakajenga estate, baada ya kuanza na ksh100 na kuendelea😂😂😂😂😂., Nyumba zipo hazipo?😂😂😂😂., bado unalilia kwa choo😂😂😂😂.,
Wakajenga wapi nairobi sindio ??🤣🤣🤣 hio ndoto waliokuanayo walijengea nairobi ama tofaut na nairobi
Sijui hua muna pretend nn kwamba munaisha mazuri kumbe zizi la nguruwe 😅😅😅😅😅
 
Nikusonga mbele tu, wenye wivu wajinyonge😂😂.,
Screenshot_20210521-071204.png

Screenshot_20210521-071004.png

Screenshot_20210521-070149.png

Screenshot_20210521-070648.png
 
Wakajenga wapi nairobi sindio ??🤣🤣🤣 hio ndoto waliokuanayo walijengea nairobi ama tofaut na nairobi
Sijui hua muna pretend nn kwamba munaisha mazuri kumbe zizi la nguruwe 😅😅😅😅😅
Lia hadi basi😂😂😂.,, hakuna middle class na lower Dar sasa ni kuteseka tu unateseka😂😂😂😂., unatia huruma😂😂😂😂., kajinyonge semi illiterate 😂😂😂., unajianikaga kishenzi😂😂😂., asubuhi njema leo😂😂.,
 
Lia hadi basi😂😂😂.,, hakuna middle class na lower Dar sasa ni kuteseka tu unateseka😂😂😂😂., unatia huruma😂😂😂😂., kajinyonge semi illiterate 😂😂😂., unajianikaga kishenzi😂😂😂., asubuhi njema leo😂😂.,
Narudia wakajenga nakuru au nairobi ??🤣🤣 nijibu sasa mbona hasira na bado mapema sana 😅😅😅😅
 
Lia hadi basi😂😂😂.,, hakuna middle class na lower Dar sasa ni kuteseka tu unateseka😂😂😂😂., unatia huruma😂😂😂😂., kajinyonge semi illiterate 😂😂😂., unajianikaga kishenzi😂😂😂., asubuhi njema leo😂😂.,
Kwekwekwewkwewkwr hakuna middle class na lower class dar uhehehehehhehehehehehehgehehehe
Akili zile zile ukirent besitter unakua middle class akili hazibadiliki😅😅😅😅😅😅😅
 
Karibuni Sana Kisumu the king of lake Victoria,,👏👏😋
View attachment 1792404
Kuna mtu anasikia kukupiga eti umewajuza vya Kenya😂😂😂😂.,vanatamani haungepost hii taarifa😂😂😂 Maendeleo left right n centre with covid challenges.., wengine hawakufunga lakini wapi!!😂😂😂😂.,
 
Kuna mtu anasikia kukupiga eti umewajuza vya Kenya😂😂😂😂.,vanatamani haungepost hii taarifa😂😂😂 Maendeleo left right n centre with covid challenges.., wengine hawakufunga lakini wapi!!😂😂😂😂.,
Subiri wajenge alaf ongea sasa 🤣🤣🤣 munaji race sana tulieni leo tanzania inawapeleka mputa mputa 😆😆😆😆😆 miaka 10 iliopita sio nyinyi mulikua munaitukana tanzania leo kimyaaaa
 
Narudia wakajenga nakuru au nairobi ??🤣🤣 nijibu sasa mbona hasira na bado mapema sana 😅😅😅😅
Unateseka sana, mada yangu ilikua inasema nini? Rudi nyuma semi illiterate ukajisomee, usilazimishe upungifu wako kwangu akili punguani😂😂😂😂., mbona inajitesa hivi? Leta vya Tanzania..,😂😂😂
 
The kenya north rising 10 years ago kabla ya ugatuzi the area ilikua jangwa lakini just 8 years later the area is rising very quickly more than 30 small towns have emerged due to this


Mambo ya kawaida hayo ukuu nyie mmeanza kujenga barabara turkana juzi mnaanza kutamba umu

FB_IMG_1621578718958.jpg


FB_IMG_1621578715088.jpg


FB_IMG_1621578712247.jpg


FB_IMG_1621578709486.jpg


FB_IMG_1621578706651.jpg


FB_IMG_1621578703206.jpg


FB_IMG_1621578699892.jpg
 
Unateseka sana, mada yangu ilikua inasema nini? Rudi nyuma semi illiterate ukajisomee, usilazimishe upungifu wako kwangu akili punguani😂😂😂😂., mbona inajitesa hivi? Leta vya Tanzania..,😂😂😂
Tulia basi walijenga wapi nakuru au nairobi??????🤣🤣🤣🤣 akili zile zile ukirent bedsitter ushakua middle income lakini dream ya kumiliki ardhi na nyumba nairobi achieni politicians and few of them
 
Back
Top Bottom