Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona umechange gear angani


Kama wakenya hawana pesa hizo estates zisingejaa kila kona ya nchi
Hapo sasa, manake sai wanadaisha hzo estates wananua matajori hku kenya...sasa kinachoshangaza zimejaa km uchufu hku kenya
 
Middle class ya Dar, Kuna nyingine tena?😂😂😂😂 , next time usiogope kuweka hizi picha za mido class., be proud of your city😂😂😂😂.,
Ya nairobi iko wapi ile ya kurent bedsitter ndio middle 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa najua uwelewa ushakuingia, yule mwenzako mwenye plot nairobi yuko wapi??🤣🤣🤣🤣
 
Hapo sasa, manake sai wanadaisha hzo estates wananua matajori hku kenya...sasa kinachoshangaza zimejaa km uchufu hku kenya
Wananunua kina nani?? Kwa mshahara upi na kwa maisha yapi?? 🤣🤣🤣🤣🤣
Masharti ya mkopo ndio haya hata apewe miaka 1000 👇👇👇👇
7CF29291-4D35-42E3-8AE5-624073052091.jpeg
 
How a Kenyan has exported sacco ideology globally
View attachment 1790361
View attachment 1790365
View attachment 1790363
View attachment 1790364

Learn something watani, this sacco thing helps a lot, mkitegemea tu serikali ya CCM wengi wenyu mtabakia tu kuishi kwa dream houses na low life miaka nenda miaka rudi.., in Kenya ni bidii ya mtu binafsi , ubepari.,

Walimu sacco ndio usiseme ata, walimu wanajijenga sana!!., They build rentals and homes kwa wingi! Wake ni wengi na mchango wao ni mabillioni!
Jubilee ndio ilivowandanganya sasa hii link ya uongo 🤣🤣🤣🤣 na owners wa ardhi wengi ni politicians na investers pamoja na gvt institution pia unakataa 😀😀😀😀


Naomba uniletee sehemu matajiri wa nairobi au high class wa nairobi wamejenga nyumba zao za design wanazopenda wao ukipata naomba mm unitag🤣🤣🤣 alaf nikufundishe kitu
 
ichoboy01 njoo hapa nikufunze umuhimu wa SACCO na vile inabadilisha Maisha ya watu wa kiwango cha chini siku nyingine usiletee Tanzania aibu, kwani wewe ndio msomi mkubwa hapa😂😂.,

Watani ubabe, kiburi na wivu wekeni kando leo, jifunzeni kutoka Kenya., Mifano ya vile SACCO inafanya watu wajijenge., Harambee spirit. Ndio maana Kenyan towns have relatively developed residential estates despite the negatives., Hapa ni mfano wa wale watubwa kipati chavchini sana, boda boda operators, bado Kuna sacco za walimu, stima, Wanarangi, matatu, etc., Ndio maana pia Nairobi Kuna many estates and still mashrooming., zimefanya mji ukakua metro kwa vile yalivuka mipaka ma kumwagika kwa county majirani.,
Haya ni examples outside Nairobi;
NAKURU;

View attachment 1790330
View attachment 1790331View attachment 1790332
View attachment 1790341
In NANYUKI town.,
View attachment 1790339View attachment 1790338
View attachment 1790340
View attachment 1790343
KITENGELA boda boda kitemoto sacco
View attachment 1790347

Haya ni mifano tu ya low income groups., ndio maana mnalia lia kila mara eti Kenya ni uchumi wa kwenye makaratasi, bidii iko kwa raiya zaidi kuliko serikali.,
In Nairobi Eastlands most of the gated estates ni za SACCO za different working class groups, wanakuja pamoja na kujenga kama areas za Donholm; Harambee sacco housing units(google ujionee)., Greenspan, Jacaranda, etc
Mzee utadanganya wengine lakini sio mm na hilo unajua huwezi na hutaweza kunidanganya mm mpaka kiyama 🤣🤣🤣

hebu tizama hii statement kutoka kwenye link yako mwenyewe from 100ksh saving to 1000ksh 😅😅😅 ni boda boda gani huyo?? Hvi nyinyi nani anawaroga
C6ABBA0C-C499-444E-80E4-06919EC68F28.jpeg




hata tukichukua mifano halisi mulivokaririshwa kimaisha kua ardhi ni ya wakubwa hio ni dream iko kwenye ubongo wenu sasa leo boda boda aweke saving ya 1000 kwa maisha gani hayo ??? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
ichoboy01 njoo hapa nikufunze umuhimu wa SACCO na vile inabadilisha Maisha ya watu wa kiwango cha chini siku nyingine usiletee Tanzania aibu, kwani wewe ndio msomi mkubwa hapa😂😂.,

Watani ubabe, kiburi na wivu wekeni kando leo, jifunzeni kutoka Kenya., Mifano ya vile SACCO inafanya watu wajijenge., Harambee spirit. Ndio maana Kenyan towns have relatively developed residential estates despite the negatives., Hapa ni mfano wa wale watubwa kipati chavchini sana, boda boda operators, bado Kuna sacco za walimu, stima, Wanarangi, matatu, etc., Ndio maana pia Nairobi Kuna many estates and still mashrooming., zimefanya mji ukakua metro kwa vile yalivuka mipaka ma kumwagika kwa county majirani.,
Haya ni examples outside Nairobi;
NAKURU;

View attachment 1790330
View attachment 1790331View attachment 1790332
View attachment 1790341
In NANYUKI town.,
View attachment 1790339View attachment 1790338
View attachment 1790340
View attachment 1790343
KITENGELA boda boda kitemoto sacco
View attachment 1790347

Haya ni mifano tu ya low income groups., ndio maana mnalia lia kila mara eti Kenya ni uchumi wa kwenye makaratasi, bidii iko kwa raiya zaidi kuliko serikali.,
In Nairobi Eastlands most of the gated estates ni za SACCO za different working class groups, wanakuja pamoja na kujenga kama areas za Donholm; Harambee sacco housing units(google ujionee)., Greenspan, Jacaranda, etc
Naendelea kuichambua link yako taratibu 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
7F34587E-29A3-4FBE-A4D8-505EB119A2F1.jpeg
 
Ya nairobi iko wapi ile ya kurent bedsitter ndio middle sasa najua uwelewa ushakuingia, yule mwenzako mwenye plot nairobi yuko wapi??
wakenya ni wapuuzi sana,,wanadhani kuwa middle class ni kuishi kwenye estate,,,

wanasahau kuwa account kwa mfuko ndiyo inayopimika ...
 
That thing has refused to go away, lol. I have given up
Check engine light huwa ni tatizo la emission control (mfumo wa Kupunguza gesi chafu). Baadhi ya matatizo hayo unaweza kuyatambua kwa ku run OBD II scanner.

Tatizo lolote la vacuum leak, dirty air filter, dirty mass air flow sensor (MAF), dirty injectors, dirty HVAC plenum, bad oxygen sensor au bad catalytic convertor itaifanya computer ya gari (Engine Control Unit au ECU) ku-throw check engine light error code.

Kutataua hili tataizo anza na vitu rahisi;

1. Badilisha/safisha air cleaner
2. Angalia kama kuna mipira (vacuum hose) iliyokatika/chomoka/pwaya, halafu ibadilishe.

Hizi namba 1 na 2 ECU huwa haitoi error code hivyo kama ume-run OBD II scanner huwezi kupata error zake.

3. Safisha mass air flow sensor kwa kutumia MAF cleaner, Kama ulipata error code ya MAF kwenye OBD II scanner, ifanyie uchunguzi zaidi au ibadilishe.

4. Safisha plenum, kwa kuhakikisha hakuna sehemu zilizozibwa na oil iliyoganda (gunk).
5. Kama namba 1- 4 havijasaidia badilisha o2 sensor
 
ichoboy01 njoo hapa nikufunze umuhimu wa SACCO na vile inabadilisha Maisha ya watu wa kiwango cha chini siku nyingine usiletee Tanzania aibu, kwani wewe ndio msomi mkubwa hapa😂😂.,

Watani ubabe, kiburi na wivu wekeni kando leo, jifunzeni kutoka Kenya., Mifano ya vile SACCO inafanya watu wajijenge., Harambee spirit. Ndio maana Kenyan towns have relatively developed residential estates despite the negatives., Hapa ni mfano wa wale watubwa kipati chavchini sana, boda boda operators, bado Kuna sacco za walimu, stima, Wanarangi, matatu, etc., Ndio maana pia Nairobi Kuna many estates and still mashrooming., zimefanya mji ukakua metro kwa vile yalivuka mipaka ma kumwagika kwa county majirani.,
Haya ni examples outside Nairobi;
NAKURU;

View attachment 1790330
View attachment 1790331View attachment 1790332
View attachment 1790341
In NANYUKI town.,
View attachment 1790339View attachment 1790338
View attachment 1790340
View attachment 1790343
KITENGELA boda boda kitemoto sacco
View attachment 1790347

Haya ni mifano tu ya low income groups., ndio maana mnalia lia kila mara eti Kenya ni uchumi wa kwenye makaratasi, bidii iko kwa raiya zaidi kuliko serikali.,
In Nairobi Eastlands most of the gated estates ni za SACCO za different working class groups, wanakuja pamoja na kujenga kama areas za Donholm; Harambee sacco housing units(google ujionee)., Greenspan, Jacaranda, etc
Hata tukitumia hesabu za dukani achilia hesabu za kiuchumi tutumie hesabu za dukani za kuuza karanga na soda

nikikwambia ni ndoto ya alinacha unasema mm muongo👇👇👇🤣🤣🤣🤣
Boda boda anatakiwa aweke savinga ya 1000ksh a week
1000ksh * 4weeks = 4000ksh a month
So 4000ksh a months * 12 months = 48000ksh
So 48,000ksh yearly * 7 = 336,000/

wakat amepewa miaka 7 mm nakwambia huyo boda boda apewe miaka 50 achia miaka 7 apewe miaka 50 hanunui plot wala ushuzi wa plot 😅😅😅😅 kwa maisha gani hayo kila kitu rushwa inflation iko over 5%

ikiwa hatuoni hata kupapasa pia hatuwezi
137BC19D-1D8C-4857-B942-D119C409884C.jpeg

Na hii unit ni two bedroom 😄😄😄 just imagine unatuletea siasa za jubileee wakat maisha yenu mabovu kuliko ya zimbabwe hzo ajira zenyewe hakuna about 40%😁😁
 
wakenya ni wapuuzi sana,,wanadhani kuwa middle class ni kuishi kwenye estate,,,

wanasahau kuwa account kwa mfuko ndiyo inayopimika ...
Na hayo ndio mawazo yao lakini ndoto yakumiliki au kujenga hayapo mpaka kufa 🤣🤣🤣 sasa hawajui middle class anatakiwa awe vp ni very simple tu👇👇👇 wao wanafkiri mtu akirent beditter na hapo na some estaes anakua middle class😅😅😅😅
EEE85B5A-251E-4BAC-95B2-9455406AF19C.jpeg
 
Umeona hayo magofu wamepost eti ndio Ununio ambayo huwatoa pumzi, hawa bana, huku Nairobi kuna sehemu niliwahi kwenda nikahsi kama niliyepotea njia, nikajiona kama niko a very wrong place, yaani majengo ya kifahari bana sio mchezo.
Siku ukija dar nitafute mm nikuepeleke kwa gharama zangu mwenyewe 😁😁😁😁 nikupeleke ukaone majengo ambayo watu wanaishi hayapo na hutayaskia kenya miaka 200
 
eti nyumba za kisasa?😂😂😂😂😂😂., Dar is slum kweli😂😂😂😂., hizo ni za kisasa eti?😂😂😂
Kwani tandale ilikuwaje baada ya kuwaonesha vitu kwa ground 🤣🤣🤣
 
Jubilee ndio ilivowandanganya sasa hii link ya uongo 🤣🤣🤣🤣 na owners wa ardhi wengi ni politicians na investers pamoja na gvt institution pia unakataa 😀😀😀😀


Naomba uniletee sehemu matajiri wa nairobi au high class wa nairobi wamejenga nyumba zao za design wanazopenda wao ukipata naomba mm unitag🤣🤣🤣 alaf nikufundishe kitu
Wewe ni kilaza huwezi nifunIa chochote ama mtu yeyote ata awe mwendawazimu wewe hauwezi lolote kamwe😂😂😂😂😂., Masikini la Tanzania., Your reasoning ndio imekuumbia, tajiri hafikiri kama wewe hataa😂😂😂😂., Kumbe wewe ni low life muongo kupindukia 😂😂😂., Kiswahili mingi with zero points😂😂😂.,
 
Back
Top Bottom