Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It pisses off., But elewa bro, sio wote, hapa wanajaribu kutetea nchi yao, ila wanajua ukweli, hawataki kuonekana wanyonge before mighty Kenya, pitia jukwa yao ya siasa or habari na hoja mchanganyiko, wanakiri ukweli wazi wazi😂.,
Ushasema jukwaa la siasa 🤣🤣🤣 unategemea kupata nn mwanasiasa anaeza kukwambia maji yana rangi ya kijani wakat unaona ni meupe 😂😂😂😂
 
Kwenye masaa 24 yake hutumia masaa 20 kutafuta slums Dar Es Salaam na bado hapati!

Can you imagine angetumia hayo masaa 20 kutafuta job ingekuwaje? (Oooh nilisahau shughuli za kufanya ni changamoto kule kwao)

I think angekuwa na shares kibao kibera slum au mathare
Ndio kitu kinachowafanya wakose raha maisha yao yote 😂😂😂 yani wanahisi kwann tanzania ikose slum wao iwepo na mbaya zaidi slum zao nilevel za kiduniya yani hata sokwe wa australi ukimtajia kibera na karioangi anajua ni kenya 😃😃😃

Mtu anachukua picha za estate fulani anafananisha na tandika wakat anashindwa kuchukua kariobangi akafananisha na tandika alaf akaona vile mzungu hua anaongelea nn😃😃

alaf mbaya zaidi wanajihisi mtu akiweza ku afford bed sitter basi ni middle income hawaelewi huku tanzania mtu kumiliki ardhi na akajenga linafanyika mpaka kwa mtu wa chini kabisa
 
Standards of living and the middle-class population
Akili yako unadhani ukiweza lipa rent bedsittwr basi ni middle class 😂😂😂 wakat huku mtu wa chini anauwezo wa kumiliki ardhi na akajenga sasa unafananisha nn na nn huna hoja wewe huwezi fananisha maisha ya tandika na mathare ni mbingu na aradhi tofaut yake
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
1A18DF35-B250-4DDD-92B1-0A41760315A6.jpeg
82F635C7-B991-4337-9926-8CA5D28E42AF.jpeg
54624614-2418-4AB1-A846-60C2C30FE94E.jpeg
 
Hao jamaa misifa tu ila ukija kwenye reality wana maisha mabovu hata wamalawi wana afadhali,wanajikweza sana wakati hata kuoga kwao tu ni shida!
Afadhal malawi hio zimbabawe yenyewe ina nafuuu 😃😃 waone wakizungumza tu ila maisha yao ya jana ni bora kuliko ya kesho
 
Afadhal malawi hio zimbabawe yenyewe ina nafuuu 😃😃 waone wakizungumza tu ila maisha yao ya jana ni bora kuliko ya kesho
Wakunya wana dhiki mpaka kwenye ukucha,tembea east africa yote hamna nchi utakayokuta inalilia permit work iwe free ni hao wakunya tu wanaombea hivyo ili wapate kuukimbia umaskini uliokithiri nchini mwao!
 
The idiot Boniface Mwangi ni mwenye akili eti, alaa! Mitanzania kulikonii., Pitia tweets zake zote, I stopped following this dude., ., desperation ni mbaya, haya basi, next post nisome.....,
Lea siyo kweli watu hawapiti kwenye flyover instead of vehicles? Yaani hata picha huoni? Your blind or?
 
Back
Top Bottom