Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahio mama ngina ndio aliwatia ujinga huo hvi wewe kama kenya ina average ya 40% unemployment rate unategemea middle class gani hao, hzo estate mostly ni investors za mtu mmoja mmoja wakiwemo politicians na wajanja baadhi, leo utaniambia unashindana na tanzania kwenye middle class economy wakat mtanzania kazi anayo opportunities zipo, social services bei nafuu ardhi bei nafuuu na vifaa vya kujenga nyumba bei nafuu east africa yote 😀😀 sasa leo hata tukiangalia umiliki wa ardhi hapo nairobi ni wachache sana na wengi wamuna ndoto ya maisha wala ya kumiliki ardhi kazi iliobakia ni kusongamana kwenye slums over 70%🤣🤣🤣🤣🤣 na kama unabisha sema
Kwa kupiga kelele bila kuwa na uelewa hamba mpinzani.
Middle-class Kenya imeacha Tanzania by far

Screenshot_20210512-195102~2.png


Soma hiyo taarifa hapa kama uko na muda na 'bando' pia

Only 12% of your population fall in middle-class category wakati sisi tuko at 49% Wapi na wapi? Hata waganda wenyewe wanawapiga kumbo kwenye middle-class sasa Kenya ndio mtawezana nayo?
 
Naona ametaja hadi ferry yet he 'knows' Nairobi in and out! Nairobi and ferry in the same statement 😂 😂 😂 😂

The idiot Boniface Mwangi ni mwenye akili eti😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😝😝, alaa! Mitanzania kulikonii., Pitia tweets zake zote, I stopped following this dude., 😂😂😂😂., desperation ni mbaya, haya basi, next post nisome.....,
huyo jamaa ni mnafiki sana..juzi alikua aki criticize SGR baada ya siku kadhaa naona amepiga picha kwenye sgr na familia yake ..wakitoa meno venye safari yao ilikua poa,,nikashuku kuna fuse moja imechomeka kwenye akili yake.....
 
huyo jamaa ni mnafiki sana..juzi alikua aki criticize SGR baada ya siku kadhaa naona amepiga picha kwenye sgr na familia yake ..wakitoa meno venye safari yao ilikua poa,,nikashuku kuna fuse moja imechomeka kwenye akili yake.....
Yaani and u find some idiot quoting him eti mwenye akili, maybe hajasoma tweets zake ajione vile reasoning ya huyu ndwazi iko, naeza msamehe kwa kweli,🤣
 
Bado unajibizana na mwehu😂😂😅😅, huyo atakwepa kujibu, atalazimisha opinion yake, alishindwa ku zoom na ku google earth exact places I asked, anajua atajiumbua, jamaa mwehu kuruka😂😅., nimeona vi response vyake nimepuuza, hana lolote to argue or debate😂😅😅, arudi level yake ya mapicha, eti Dar baby😂😂😅, ama Mwanza baby 😅😂😂😅, a serious discussion with facts hawezi, atakwepa maswali na viji response uchwara😂😅😅🤣., Dar ukipata sehemu average yenye ni level ya Uthiru kwa raiya wa Kenya wa kawaida nitag upesi nijionee🤣😅😅.,
Huyu hata mwalimu wake alikuwa na hard time
 
The idiot Boniface Mwangi ni mwenye akili eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji13][emoji13], alaa! Mitanzania kulikonii., Pitia tweets zake zote, I stopped following this dude., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]., desperation ni mbaya, haya basi, next post nisome.....,

look at the message, not at the message deliverer
 
Kwa kupiga kelele bila kuwa na uelewa hamba mpinzani.
Middle-class Kenya imeacha Tanzania by far

View attachment 1782387

Soma hiyo taarifa hapa kama uko na muda na 'bando' pia

Only 12% of your population fall in middle-class category wakati sisi tuko at 49% Wapi na wapi? Hata waganda wenyewe wanawapiga kumbo kwenye middle-class sasa Kenya ndio mtawezana nayo?
Hii hawapendi kuskia., Kwao ni juu kisha chini., katikati ni kidogo sana! Though by global standards, Africa bado tuko down save akina Botswana, Mauritius na Seychelles., wako sawa sana! Especially Seychelles., standards almost za Europe.
 
Hii hawapendi kuskia., Kwao ni juu kisha chini., katikati ni kidogo sana! Though by global standards, Africa bado tuko down save akina Botswana, Mauritius na Seychelles., wako sawa sana! Especially Seychelles., standards almost za Europe.
Hawa wenzetu think life begins and ends in Tanzania. And then the most boring part ni pale mtu anapo argue bila kuwa na facts
 
look at the message, not at the message deliverer
Ukiona hiyo message iko sawa? Is it a fact ama maoni yake? Something is still under construction jamaa ame jump into conclusion eti how it will be., Kilaza kweli., how sure is he under the highway itakua makazi ya chokora na kuna njia chini., eti choo., an opinion yeye anaweka kama facts, he hardly posts anything with some expertise in it, exposing his clueless mind and semi illiteracy., jamaa ako ovyo sana ,😂😂😂🤣😅, hivi karibuni utamuona amejisahau anasifu expressway, that is how he forgets so fast. Ukiamua kukua na msimamo ata kama ni wa kijinga heri usimame hapo hadi mwisho, usijisahau ukalamba matapiko yako tena.
 
Hawa wenzetu think life begins and ends in Tanzania. And then the most boring part ni pale mtu anapo argue bila kuwa na facts
It pisses off., But elewa bro, sio wote, hapa wanajaribu kutetea nchi yao, ila wanajua ukweli, hawataki kuonekana wanyonge before mighty Kenya, pitia jukwa yao ya siasa or habari na hoja mchanganyiko, wanakiri ukweli wazi wazi😂.,
 
Ukiona hiyo message iko sawa? Is it a fact ama maoni yake? Something is still under construction jamaa ame jump into conclusion eti how it will be., Kilaza kweli., how sure is he under the highway itakua makazi ya chokora na kuna njia chini., eti choo., an opinion yeye anaweka kama facts, he hardly posts anything with some expertise in it, exposing his clueless mind and semi illiteracy., jamaa ako ovyo sana ,😂😂😂🤣😅, hivi karibuni utamuona amejisahau anasifi expressway, that is how he forgets so fast. Ukiamua kukua na msimamo ata kama ni wa kijinga heri usimame hapo hadi mwisho, usijisahau ukalamba matapiko yako tena.
Are there people in this world who take Boniface Mwangi serious? A guy who left a blistering photojournalism career with one of the top media houses in Kenya to focus on silly things?!
 
It pisses off., But elewa bro, sio wote, hapa wanajaribu kutetea nchi yao, ila wanajua ukweli, hawataki kuonekana wanyonge before mighty Kenya, pitia jukwa yao ya siasa or habari na hoja mchanganyiko, wanakiri ukweli wazi wazi😂.,
I will pass there today
 
Hii hawapendi kuskia., Kwao ni juu kisha chini., katikati ni kidogo sana! Though by global standards, Africa bado tuko down save akina Botswana, Mauritius na Seychelles., wako sawa sana! Especially Seychelles., standards almost za Europe.
Mnachimba kuhusu nn
 
Kwenye masaa 24 yake hutumia masaa 20 kutafuta slums Dar Es Salaam na bado hapati!

Can you imagine angetumia hayo masaa 20 kutafuta job ingekuwaje? (Oooh nilisahau shughuli za kufanya ni changamoto kule kwao)

I think angekuwa na shares kibao kibera slum au mathare [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom