Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Iko kitu wasahau hawa mazimwiNa hakuna nchi itawapa ni watu wenye roho mbaya sana 😄😄😄
Iko kitu wasahau hawa mazimwiNa hakuna nchi itawapa ni watu wenye roho mbaya sana 😄😄😄
Nyinyi mnaishi Namna Gani,Na mko mmejaza na Uswazi kila Kona ya Nchi yenu.
wakenya this is Namibia, siku ambapo itafika mukiwa na neighborhoods zenye houses diverse kama hivi ndipo nitawapa heshima, for now endeleeni kuishi kwa nyumba za yebo yebo 🤣😅
wwe Unakuanga Kama kichwa mbovu,Ushai tuma hii Picha Tena,Uliambiwa iyo Picha ilipigwa enzi Gani,Na pia ukaoneshwa Picha ya mahali hapohapo na Bado Bongolala umeleta Picha Ile yako.It seems your brains thinks backwards🖕🤏👌😃

Lumbe bado waumwa mpka leo

yani hyamini, maskini
washaanza kuumia,,