Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


wakenya this is Namibia, siku ambapo itafika mukiwa na neighborhoods zenye houses diverse kama hivi ndipo nitawapa heshima, for now endeleeni kuishi kwa nyumba za yebo yebo 🤣😅
Nyinyi mnaishi Namna Gani,Na mko mmejaza na Uswazi kila Kona ya Nchi yenu.
 
Nimekuja kujua Bongolala zinafikirianga Kama Kuku,Someone Ana post here Picha Za Nairobi za 2000/2011 and then analinganisha na Mitaa yao,moja Ni DAR(is Slum) na Sai Ni 2021.Nowanda Nchi Yao iko Nyuma hivo wanajilinganishanga na Nairobi ya Kitambo🤔Maajabu🤣🤣🤣🤣🤣
 
hapo sasa
20210513_100928.jpg
 
Back
Top Bottom