Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Means of Transport in Kenya
FB_IMG_1618295998442.jpg
 
PUMBAVU!!! NYIE WAKUNYA UHALO BADO MUPO HUMU NDANI? MABONGOLALA JE? WEKA MCHANGA HAPA NIPUTE ALAFU MTU ASOGEE AONE!!!
 

wakenya this is Namibia, siku ambapo itafika mukiwa na neighborhoods zenye houses diverse kama hivi ndipo nitawapa heshima, for now endeleeni kuishi kwa nyumba za yebo yebo 🤣😅
 
Stop looking for flimsy excuses bongolala. Hizo sio picha za sehemu moja moja. Uthiru looks exactly like that. Nilikupa hadi picha za ground level ila bado unabisha. This is how Uthiru looks like from the air. Is there any element of a slum here?
View attachment 1782304
Sasa linganisha na moja ya mitaa zenu za mabwenyenye za middle class. Mtu akiambiwa achague moja kati ya hizi mbili unafikiri atachagua gani?
View attachment 1782308
Jibu swali fananisha tandale au tandika na kibera alaf tuzoon tuone kwann mzungu aliona slum kenya hakuona tanzania 🤣🤣🤣 unafkiri mzungu anaweza kua mpumbavu
Fananisha huu upupu na tandale au tandika alaf tuone kwann mzungu hakuona slum dar ila akaona za dunia nzima
CC6C24E5-CC6F-4977-BA6A-06957EC9DFCA.jpeg
CCF7AA8C-5D08-40BD-81ED-04E137439943.jpeg
 
Stop looking for flimsy excuses bongolala. Hizo sio picha za sehemu moja moja. Uthiru looks exactly like that. Nilikupa hadi picha za ground level ila bado unabisha. This is how Uthiru looks like from the air. Is there any element of a slum here?
View attachment 1782304
Sasa linganisha na moja ya mitaa zenu za mabwenyenye za middle class. Mtu akiambiwa achague moja kati ya hizi mbili unafikiri atachagua gani?
View attachment 1782308
Unafananisha mitaa kuna estate na tandika kwann usifananishe kibera au mathare au kariobangi alaf ufananishe na na tandale 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇

hii ni tandika picha uliopost wewe mm nimezoom tu😂😂😂😂
8182B4B7-9B07-4398-8BDD-4E7045358EDE.jpeg
963A3C1C-356F-4159-8AEF-8EDECD68BAB3.jpeg









na hii ni mathare slums sehemu kuna mazizi ya nguruwe haya tuambie kwann ww usiwe mjinga na mzungu akawa na akili ya kukushinda wewe miaka 300🤣🤣👇👇👇
8D9E836C-8B9F-4924-9E1B-A1555259CFB4.png

1BE00A44-E53C-4565-9B1D-D3CE9FF2BB5F.png
 
I can only imagine how much you are sweating while saying this huku umeuma lips na macho pia umekodoa and a frowning face to top it up!
Uhehehehhe bado unataka tufanane kwenye slums 🤣🤣🤣 unafananisha viji estate kadhaa na tandika kwann usifananishe kariobangi na tandale alaf tuone kwann ww ni boga la nchi 😂😂😂😂😂
 
Bado unajibizana na mwehu😂😂😅😅, huyo atakwepa kujibu, atalazimisha opinion yake, alishindwa ku zoom na ku google earth exact places I asked, anajua atajiumbua, jamaa mwehu kuruka😂😅., nimeona vi response vyake nimepuuza, hana lolote to argue or debate😂😅😅, arudi level yake ya mapicha, eti Dar baby😂😂😅, ama Mwanza baby 😅😂😂😅, a serious discussion with facts hawezi, atakwepa maswali na viji response uchwara😂😅😅🤣., Dar ukipata sehemu average yenye ni level ya Uthiru kwa raiya wa Kenya wa kawaida nitag upesi nijionee🤣😅😅.,
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 msaidie mwenzako kumnasua hapa kwanza na akinasuka hapa mm nafunga acc jamii forum mark my words😂😂
Unafananisha mitaa kuna estate na tandika kwann usifananishe kibera au mathare au kariobangi alaf ufananishe na na tandale 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇

hii ni tandika picha uliopost wewe mm nimezoom tu😂😂😂😂View attachment 1782590View attachment 1782591








na hii ni mathare slums sehemu kuna mazizi ya nguruwe haya tuambie kwann ww usiwe mjinga na mzungu akawa na akili ya kukushinda wewe miaka 300🤣🤣👇👇👇
View attachment 1782592
View attachment 1782593
 
wenye akili kenya wameshaona tatizo


Hio ni mess ya pili baada ya SGR nyie tulieni muone mchina atakavowagaragaza hawa mbuzi miaka 30 na wanatafuta shuka sahii kushakucha 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa kupiga kelele bila kuwa na uelewa hamba mpinzani.
Middle-class Kenya imeacha Tanzania by far

View attachment 1782387

Soma hiyo taarifa hapa kama uko na muda na 'bando' pia

Only 12% of your population fall in middle-class category wakati sisi tuko at 49% Wapi na wapi? Hata waganda wenyewe wanawapiga kumbo kwenye middle-class sasa Kenya ndio mtawezana nayo?
Unaniletea habari 2011 miaka 11 iliopita tena kwenye gazeti la kenya ww uko serious kweli 🤣🤣🤣🤣🤣 source media ya kenya

mm narudia kukwambia tanzania kua middle income wengi sana kwasababu ardhi watu wanamiliki na wanajenga majumba yao wenyewe nyinyi hamuwezi kua na middle income wengi kwasababu ardhi iko mikononi mwa wachache hamuna ndoto ya kumiliki ardhi mpaka dunia inasimama kazi iliobakia ni kufanya kazi kulipia rent za bedsitter basi mtu anajiona nae middle income 😂😂😂😂

hata ukiangalia gap between rich and poor kenya ndio inaongoza bado unataka ramli au



Ukija kwenye unemployment rate kenya iko juu na ni top 5 or 10 in africa about 40% unemployment rate😂😂😂👇👇

 
Huyu hata mwalimu wake alikuwa na hard time
Yani mm hua sipati tabu na ww kwasababu nakujua vzr sana na hujaanza leo kua kichwa maji 🤣🤣🤣🤣🤣 kilaza yule yule wakuchukua vipicha vya estate na kufananisha na tandika wakat zipo sehem nyingi zimezunguka kenya hutaki kuzifananisha nazo tukaona kwann nakuita kichwa maji 😂😂😂😂😂
 
Hii hawapendi kuskia., Kwao ni juu kisha chini., katikati ni kidogo sana! Though by global standards, Africa bado tuko down save akina Botswana, Mauritius na Seychelles., wako sawa sana! Especially Seychelles., standards almost za Europe.
Mbona hungalii gap between rich and poor kenya iko highest in east africa au hilo kwako hushangai 🤣🤣🤣🤣🤣 munawaza ndoto za kihayawani wakat mambo kwa ground ushuzi kwa kunguru
 
Hawa wenzetu think life begins and ends in Tanzania. And then the most boring part ni pale mtu anapo argue bila kuwa na facts
Mm au ww nani ana argue without facts kwann usifananishe kibera au mathare na tandale au tandika alaf tukaona wapi kuna slum ambazo mzungu huongelea hapa🤣🤣
 
Back
Top Bottom