Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And that's is Nairobi,,😍😍 si ndyo baba yao

44 DAYS TO WRC,FIA SAFARI RALLY VENUE NAIVASHA
F960CD37-7AB1-4710-8CAD-0A0DE489DB37.jpeg
8FBBCC80-B57E-41DD-917D-802E13A1EA72.jpeg
7DF98734-3A5A-4246-ADD1-250EF77A5A05.jpeg
 
Mimi huwa sipendi ujinga. Hii website ni ya kitoto hata kama ni ya Kenya ni ya kitoto. Watu walioandika ujumbe huo ni wajinga wa mwisho. Wanasema eti kuna Mtanzania mmoja ambaye anamiliki ksh 1 trillion? Huo ni uongo mtupu. Hakuna Mtanzania ambaye anamiliki ksh 1 trillion. Ksh 1 trillion ni sawa na $10 billion. Pengine hesabu ndio imeshinda hawa mang'ombe walioandika ujumbe huo. Mo Dewji anamiliki $1 billion na ukiiconvert into ksh inakuwa ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Narudia tena ujinga ndio sipendi hata kama ni Mkenya anaandika ujinga nitasema tu kwamba ni ujinga. Mo Dewji anamiliki ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Kama watu walianguka somo la hisabati shuleni wakae kando sio kupublish takataka kwenye mitandao. Hio Kenyans.co.ke ni takataka kama hawawezi kuconvert USD into ksh. Huyo Mkenya aliyeandika kwamba Tanzania wana mtu mmoja anayemiliki ksh 1 trillion ni Mkenya mjinga sana huyo asiyejua hesabu. Sipendi discussion za kipuuzi. Halafu Mtanzania mwenyewe Simon anakuja kupost bila kuona mistake iliyofanywa na Kenyans.co.ke. Yaani lazima mimi nikuje kuwaonyesha mahali mistake iliyopo, nyinyi hamuwezi kuiona wenyewe?
Hapa vp umelidhika?
JamiiForums981913032.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza presha jombaumebugi aisee, tatizo kazi yenu kukopi paste tu wala hamjali ni nini kimeandikwa..uvivu mbaya sana...
Ati in tz kuna jamaa mmoja ana worth ksh1t we unaijua ksh1t kweli ama unabwetuka tu..

Kw afrika labda yule ambaye atajaribu kunusia hyo ksh1t ni dangote wala hakuna kapuku mwngine mwnye uwezo huo
Hapa vp safii au niongeze sauti
JamiiForums981913032.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri hao wanapigania chakula kitu mhimu kabisa katika maisha ya binadamu, je wale waliokanyagana kw ajili ya mafuta ya upako kw bwana askofu show tusemeje
Yani watanzania niliamini km
Ni matahira wa kiwango cha lami, na wale waliokanyagana katika msiba wa magu mpka wakafa
Kw ajili ya mtu unakufa kizembe
Kwahiyo watu wanaokanyagana kwa ajili ya Mungu unataka kufananisha na watu wanaokanyagana kwa ajili ya chakula, yn karne hii ya 21 bado unakanyagana kwa ajili ya msosi? Nenda Saudi Arabia kila mwaka watu wanakanyagana kwa ajili ya Allah na co chakula km nyie wakenya, yn Kenya ni Afghanistan iliyochangamka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom