Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ikamilike kwa kupaka rangi au ww unafkiri BRT ni kama kula omenaa😂😂😂 mbona mulipaka hio rangi miaka mitatu na hakuna kitu mulifanya
😂😂😂Si niwe tu ulisema utaamini expressway inajengwa ukiona construction board,,zidi kuhesabu miaka utajua hujui😁😁
 
Morogoro road
images%20(2).jpeg
images%20(1).jpeg
 
Unajua statistics ya bongolala wewe?😂😂😂., jiangalie uone😂😂😂 na huo uchumi hafifu.., alafu was talking on middle class.., what do u have?., Tz ni juu kisha chini, period!😂😂😂
So hio media wamesema uongo ama 🤣🤣 alaf mbaya zaidi ni media yenu sijui utalilia wapi, ng’ombe ameoga mwili kichwa kimebakia
 
😂😂😂😂😂Na kila wakati nikikuita kilaza sio utani ni ukweli😂😂😂, so if someone is not employed, hayuko kwa employment records yeye ni masikini?😂😂😂, pimwa mkojo dogo.,😂😂😂., What of your middle class?.., statistics.....
Nakwambia hvi tanzania in matajiri wengi mara tatu ya kenya hilo la kwanza la pili tanzania ina middle class wengi kuliko kenya kitu mumeshinda tanzania ni umaskini na maskini wenyewe hapo nawapa kongole🤣
 
Back
Top Bottom