Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,895
- 103,759
Wacha wivu!Naona serikali imeanza kutoa zawadi za bethidei...hii inatoka fungu gani ktk bajeti?
Wacha wivu!Naona serikali imeanza kutoa zawadi za bethidei...hii inatoka fungu gani ktk bajeti?
Just imagine ubungo interchange( best road in tz) is a donation by japanese govt to poor tz, jamani kweli tz level yenu burundiOne and only three level interchange in East Africa
Inapatikana Tanzania pekee.
Yaani watake wasitake hakuna kitu watabadilisha



Tanzania level yenu burundi, ubungo kumbe ni msaada, mshukuruni mjapani sana.
Hili jengo linaenda polepole mpaka basi!
Tunajadili Ubungo interchange halafu wewe unaleta link yenye maelezo ya Tazara flyoverJust imagine ubungo interchange( best road in tz) is a donation by japanese govt to poor tz, jamani kweli tz level yenu burundi



Mbona link yako inazungumzia TAZARA flyover?Tanzania level yenu burundi, ubungo kumbe ni msaada, mshukuruni mjapani sana.
Mbona link yako inazungumzia TAZARA flyover?
Tunajadili Ubungo interchange halafu wewe unaleta link yenye maelezo ya Tazara flyover
Ni wivu tu.
Level yetu while ushapark bag standby Mama Samia atoe go ahead wakunya waje kufanya TZ bila work permit uvuke borderTanzania level yenu burundi, ubungo kumbe ni msaada, mshukuruni mjapani sana.
Level yetu while ushapark bag standby Mama Samia atoe go ahead wakunya waje kufanya TZ bila work permit uvuke border
Mzee usidanganywe. Wewe njoo na hizo pesa. But usiwasumbue wengine nauli ya kurudia kibera Kunyaland.View attachment 1777955
Namsubiri sana madha afanye yake nije kutengeza dooh uko bongo, nataka kufungua duka. Naskia mnapenda kushobokea sana wakenya.
Sasa mbona bado Link haizungumzii Ubungo flyover 😂😂😂. Link Ina tareh za 2015 😂😂 yani alimradi tu uaminishe watu uongo wako dah we bhana wewTazara, ubungo zote msaada wa mjapan ama unapinga 😁😁 link nyingine hiyo, fellow kenyans hawa jamaa size yao burundi
![]()
Japan to Help Tanzania Unclog Roads - Africa Defense Forum
THE CITIZEN, TANZANIA There’s a glimmer of hope at last for Dar es Salaam drivers: The Japanese government has donated $13 million in a bid to reduce the city’s traffic gridlocks. The money will be spent to build overpasses at key road junctions. Minister for Works Dr. John Magufuli said the...adf-magazine.com
Sio wivu bro, that's public money not personal money...unamuongezeaje mtu kwenye nacho a confy while kuna watu huko vijijini wana shida luluki?Wacha wivu!
Kwa nafasi yake na aliyoifanyia Tanzania mbona kawaida? Mbona JPM alikuwa anazunguruka na mabulungutu akigawa fedha kama njugu uliuliza zinatoka wapi?Sio wivu bro, that's public money not personal money...unamuongezeaje mtu kwenye nacho a confy while kuna watu huko vijijini wana shida luluki?
Kwa nafasi yake na aliyoifanyia Tanzania mbona kawaida? Mbona JPM alikuwa anazunguruka na mabulungutu akigawa fedha kama njugu uliuliza zinatoka wapi?Sio wivu bro, that's public money not personal money...unamuongezeaje mtu kwenye nacho a confy while kuna watu huko vijijini wana shida luluki?
Bro elewa point yangu....huyu ana uwezo wa kujinunulia gari...and yes JPM alikua anagawa pesa but kwa watu wa hali ya chini sio hawa waliokula keki ya inchi miaka nenda miaka rudi...And ktk wale waliowahi kugawiwa mpunga na JPM hakuna aliewahi kupewa pesa yenye thamani ya hilo gari.Kwa nafasi yake na aliyoifanyia Tanzania mbona kawaida? Mbona JPM alikuwa anazunguruka na mabulungutu akigawa fedha kama njugu uliuliza zinatoka wapi?