Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunani hapo?
Sea Breeze. Dar kama Dar
images - 2021-05-07T205305.339.jpeg
images - 2021-05-07T205406.218.jpeg
images - 2021-05-07T205347.708.jpeg
images - 2021-05-07T205330.866.jpeg
images - 2021-05-07T205317.781.jpeg
 
Yaani ma
Leo nimepita kariakoo wanatangaziwa kwamba wanapewa wiki moja kama sikosei, haitakiwi raia kupita barabarani, so wamachinga wanatakiwa waondoke.

Ofcz ktk vitu ambavyo JPM alikuwa ananiudhi ni hapa kwa wachuuzi, haiwezekani mtu aweke banda lake popote pale, maanake nn ss? Watu wamejenga vibanda kwenye side walks zen raia waliojengewa wanapita barabarani, hii ckuwahi kuikubali na sitoweza kuikubali hata kdg.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani machinga waliharibu manthari ya jiji hili kitu ilikuwa inaniuma sana
Wapewe maeneo sio mabarabarani
 
Back
Top Bottom