Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna chochote,, bridge hii ni same tu na zile za SGR Kenya,,same height and width,,but kwa length tunayo 6k
Umekasirika hio inapita kwenye mto wami ni moja ya rivers kubwa tanzania 🤣🤣
 
Mpe na hii aenjoyšŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€
AD5D7EAE-A7CB-4E2B-818D-801A10678296.jpeg
 
WAHHHH!!! Cheki the Expressway 😜😜,, Nairobi will not be the same again after completion of this super mega expressway šŸ˜šŸ˜ tutakuwa level moja na Asian cities I betšŸ”„šŸ”„šŸ”„

Mbona husemi kua mutailipia kwa wachina kwa miaka 30 🤣🤣🤣🤣 ila kenya imekwisha kabisa
 
Ukiwaona twitter wanatia huruma wengine huku wanajipa matumaini🤣🤣🤣


 
Tunasubir nchi zenye jangwa kama UAE, saudi arabia na qatar walete misaada ya chakula kwenye failed state
 
Nani aliwadanganya kuwa nchi zenye demokrasia haziku-practice democracy mpaka zilivyoendelea kiuchumi?

Demokrasia ni ya zamani sana. Na nimeuliza swali kwanini mnadhani demokrasia ni mbaya katika kijenga na kuendeleza uchumi? Mniambie halafu na mimi nitatoa hoja zangu.
Democracy is too much of contradiction na bureaucracy simple... mpaka kufikia maamuzi it takes time hence hindering development. Nikipi usichoelewa? We unathani chaina wangekua kua kwa kasi kama wangekua under democracy trait? Na sio kwamba china hamna democracy nikwamba kuna misingi lazima ifwatwe either you like it or not for the better ment of the country.. na inakuwa imesha fanyiwa study. Tatizo lako wewe unajikuta woke na much on assumption than reality and logic... naona tu unaongea huku kwenye thread


Ata kwenye swala uja uzito la watoto wa shule.. eti uta wafundisha kila kitu na namna ya kujiepusha kwaio ata wakija kupata mimba ni wame bakwa..... tf!!! ..Watoto they also have their own choice and emotions.... watoto wakike wanadangaywa kila siku despite ya kujua wana danganywa... they are kids, they can't help it sometimes na hormones wakisha fikaga adolescent stage ni nyege juu ya nyege...but I guess u never thought about that. We omba Mungu yasi kukute ukija kuwa na mtoto wako wa kike

Yani baada ya hilo jibu ulilo mpa ichoboy nikajua tu we bado sana... u think u got it lakini bado.. endelea kujifunza.
 
Too much contradiction na bureaucracy simple... mpaka kufikia maamuzi it takes time hence hindering development. Nikipi usichoelewa? We unathani chaina wangekua kua kwa kasi kama wangekua under democracy trait? Na sio kwamba china hamna democracy nikwamba kuna misingi lazima ifwatwe either you like it or not for the better ment of the country.. na inakuwa imesha fanyiwa study. Tatizo lako wewe unajikuta woke na much on assumption than reality and logic... naona tu unaongea huku tu huku kwenye thread


Ata kwenye swala uja uzito la watoto wa shule.. eti uta wafundisha kila kitu na namna ya kujiepusha kwaio ata wakija kupata mimba ni wame bakwa..... tf!!! Watoto they also have their own choice and emotions.... watoto wakike wanadangaywa kila siku despite ya kujua wana danganywa... they kids they can't help it sometimes na hormones wakisha fikaga adolescent stage ni nyege juu ya nyege...but I guess u never thought about that. We omba Mungu yasi kukute ukija kuwa na mtoto wako wa kike

Yani baada ya hilo jibu ulilo mpa ichoboy nikajua tu we bado sana... u think u got it lakini bado.. endelea kujifunza.
Mkuu achana naye....jana mchana hadi jioni wazalendo humu wamejaribu kumuerimisha ila duuh!!!mimi csemi mengi
 
Back
Top Bottom