Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu achana naye....jana mchana hadi jioni wazalendo humu wamejaribu kumuerimisha ila duuh!!!mimi csemi mengi
Na muonaga tu... trying to be different while thinking wengine we haven't think through on what we saying... sijui anathani kuishi marekani ndo kuwini..😂... watu wengi wa hii thread wamaishi marekani and we know it's crap out there. Its Its only the elites who enjoy
 
Mambo ya kawaida Tanzania

EytzzwdXAAEcSNL.jpg
Eyyxs-aXMAMs0Xx.jpg
EzF8RW0XIAYus10.jpg
E0SaiJ9WUAIh92p.jpg
 
Battle ya ma bus walishaikataa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅 Halafu battle waliitaka wenyewe yaani kama ile ya stadiums vile 😅😅

Laiti kama wangekua na kikao kabla ya kurequest battle wengi wao wangeshauri waachane nazo sababu naonaga yule mwenye kiherehere ndio anaangukiwa na jumba bovu 😅😅😅 majority huwaga wanaua winga hata likes hawatoi dadeq 😂😂😂
 
Naomba sasa tukubaliane na Wakenya, tuje kwenye battle hizi na tuanze km zinavyojipanga [emoji116][emoji116]

1. Masoko
2. Hospitals
3. Roads
4. Abattoirs
5. Stadiums
6. Hotels
7. Honeypots
8. Public transport
9. Ports
10. Airports

Tukimaliza hizo [emoji3516][emoji3516] zen tuendelee na vingine, napendekeza iwe mada moja cku moja au mnasemaje Wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba sasa tukubaliane na Wakenya, tuje kwenye battle hizi na tuanze km zinavyojipanga [emoji116][emoji116]

1. Masoko
2. Hospitals
3. Roads
4. Abattoirs
5. Stadiums
6. Hotels
7. Honey pots
8. Public transport
9. Ports
10. Airports

Tukimaliza hizo [emoji3516][emoji3516] zen tuendelee na vingine, napendekeza iwe mada moja cku moja au mnasemaje Wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua a new thread out of this.,
 
I now know why Dar has no documented slums. Yaani the whole of it is a slum. But that is the biggest slum I have ever seen.
Ww na mwenye sattelite nani anaona zaidi ya mwenzake na nani anajua hii slum au sio slum???🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naomba sasa tukubaliane na Wakenya, tuje kwenye battle hizi na tuanze km zinavyojipanga [emoji116][emoji116]

1. Masoko
2. Hospitals
3. Roads
4. Abattoirs
5. Stadiums
6. Hotels
7. Honey pots
8. Public transport
9. Ports
10. Airports

Tukimaliza hizo [emoji3516][emoji3516] zen tuendelee na vingine, napendekeza iwe mada moja cku moja au mnasemaje Wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
7. Honey pots 🍯

😂😂😂😂😂 Unawatafuta ubaya kinaakothee
 
Naomba sasa tukubaliane na Wakenya, tuje kwenye battle hizi na tuanze km zinavyojipanga [emoji116][emoji116]

1. Masoko
2. Hospitals
3. Roads
4. Abattoirs
5. Stadiums
6. Hotels
7. Honey pots
8. Public transport
9. Ports
10. Airports

Tukimaliza hizo [emoji3516][emoji3516] zen tuendelee na vingine, napendekeza iwe mada moja cku moja au mnasemaje Wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Public schools
University
College
Institute
Centre
 
Back
Top Bottom