Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We unaonekana hujui kitu wewe, shame on you.. soma historia ya dunia utajua nini namaanisha nikisema way back tulikua na mifumo yetu ya kiutawala kabla ya wakoloni, tz for example zamani tulitawaliwa na machifu mf, mkwawa, chifu mangungo wa msovero, chifu mangisina n.k aina yao ya utawala haikuzingatia mifumo ya kidemocrasia, baada ya wakoloni kuja mf germany wao wakatutawala kwa aina yao kabla british hajapewa atusimamie maamuzi ya (versailles peace treaty) lakini baadae US alivyopata status ya world super power 1945 ndio aka introduce hii democracy tuliyonayo sasahiv, na wakati tunapata uhuru sisi huku Africa wakaleta mfumo wa utawala indirect ambao ni Neo colonialism, implementation zake sasa tulishurutishwa kupitia program za structural adjustment program by IMF and WB .. je masharti yalikua yapi.?
1 tuwe na democracy
2 biashara huru 3 privatization n.k . Kwahyo we mjomba before hujaja kueleza huo upuuzi wako unatakiwa ujue kwanza historia ya dunia
Unadhani mimi ni mtoto wa Darasa la nne? Kwamba Sijui world history? 😂😂

Pre-colonial democracies did exist in Africa. I just didn’t specify where.

Halafu, niambie ni wapi Mifumo yetu ya Kiutawala Leo ina-reference techniques za Mangisina na chief Mkwawa. I really wish we had them but even Our constitution has traces of British laws for gods sake!

Wewe ndio ukasome....

Na unadhani sifahamu structural adjustment program?

Government run institutions are almost always inefficient and corrupt. And I’m not saying kwamba we should strictly run our economy based on one ideology. I’m saying, we need to examine which ideology will suit our best interests and improve our economy! Maybe we could use different ideologies at the same time.
 
The best 007 nilikuuliza swali ila mpaka sasa hujanijibu. You can criticize America all you want, but I want to know why you think that Democracy is bad for economic growth and development.
Mm nmekuuliza je Marekani ina democracy? Na km wasema ndiyo je nn tafsiri ya democracy, ni kuvamia nchi na kuchukua rasilimali zake km ambavyo USA inafanya? Mana umesema USA kuna democracy, nijibu hilo ili nilale mana nna usingizi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimetoka udsm kuona wanavyoweka mitungi ya gas kwenye gari za kawaida kama unataka.. gharama ya chini 1.5m TSH.. karibuni wenye magar

haya ni baadhi ya wanaowekewa mtungi wa gas

afu wanasema ukitumia gas unakuwa unatumia nusu gharama (fuel price) kama ungekuwa unatumia petrol/diesel
View attachment 1770256View attachment 1770257View attachment 1770261

hapa no mbele (unapojazia gas)
View attachment 1770258

huku ni nyuma (mteja mpya: gari min prado-milango tatu)
View attachment 1770259View attachment 1770260

wadau hii kitu iko poa sana .. kuna mzee alikuwepo hapo na land cruiser yake.. anasema alikuwa anatumia petrol kwa zaid ya 800k kwa mwezi ila saiz gas tu inamcost 300k kwa mwezi.. anatokea mbagala.. sasa hio 800k sijui ni kweli au fix [emoji23][emoji23]

soon na mim naweka huu mfumo wa gas
 
Mm nmekuuliza je Marekani ina democracy? Na km wasema ndiyo je nn tafsiri ya democracy, ni kuvamia nchi na kuchukua rasilimali zake km ambavyo USA inafanya? Mana umesema USA kuna democracy, nijibu hilo ili nilale mana nna usingizi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usiwe specific. USA iliiba rasilimali za wapi? Usifananishe serikali za watu na firms!
 
Unadhani mimi ni mtoto wa Darasa la nne? Kwamba Sijui world history? 😂😂

Pre-colonial democracies did exist in Africa. I just didn’t specify where.

Halafu, niambie ni wapi Mifumo yetu ya Kiutawala Leo ina-reference techniques za Mangisina na chief Mkwawa. I really wish we had them but even Our constitution has traces of British laws for gods sake!

Wewe ndio ukasome....

Na unadhani sifahamu structural adjustment program?

Government run institutions are almost always inefficient! And I’m not saying kwamba we should strictly run our economy based on one ideology. I’m saying, we need to examine which ideology will suit our best interests and improve our economy! Maybe we could use different ideologies at the same time.
Hebu eleza specific pe-colonial Africa walitumia democracy upande upi .? Nikisema hujui kitu unakataa . Ona sasa unashindwa hata kujua hoja yako ni ipi, mwanzo ulikua unaitetea democracy sasahiv eti unashauri tufuate mfumo mmoja wa utawala 😂😂 Yani wewe, hatuwez tumia njia (moja kwa moja) za kusolve matatizo yetu kwa kuiga kwa jirani na ndiomaana mwalimu aliamua tuwe NAM .. democracy kidogo & communism kidogo na tamaduni zetu kidogo/ustaarabu wetu.. na ni njia sahihi tu kwa taifa changa kana sisi,
 
Hebu eleza specific pe-colonial Africa walitumia democracy upande upi .? Nikisema hujui kitu unakataa . Ona sasa unashindwa hata kujua hoja yako ni ipi, mwanzo ulikua unaitetea democracy sasahiv eti unashauri tufuate mfumo mmoja wa utawala 😂😂 Yani wewe, hatuwez tumia njia (moja kwa moja) za kusolve matatizo yetu kwa kuiga kwa jirani na ndiomaana mwalimu aliamua tuwe NAM .. democracy kidogo & communism kidogo na tamaduni zetu kidogo/ustaarabu wetu.. na ni njia sahihi tu kwa taifa changa kana sisi,
Kongo, Songhay Kingdom in Mali had forms of democracy.

Wewe hunielewi. Ni wapi nimesema kuwa tufate mfumo mmoja wa utawala? Na kama unasema kuwa Hatuwezi kutumia njia moja? Kwa nini una-resent democracy? Haufahamu umuhimu wa demokrasia kwenye kukuza maendeleo na uchumi wa nchi?
 
Okay umekijosoa mwenyewe kwenye maandiko yako. “Aina ya demokrasia wanayoimplement Africa hubakwa na wenyewe”

Tatizo ni watu. Sio mfumo. Mbona kuna successful democracies Africa? Look at South Africa, Botswana, Ghana...they have all experienced rapid economic growth AND development! Wao wamefanya nini?

Na angalia nchi kama Zimbabwe. Wakati wa Mugabe hakukuwa na Democracy. Zimbabwe matatizo ya kiuchumi kibao!
Mkuu..Mim tu hiyo nimechomeka nikijua utafikiri nje ya box..

Umesema"kivp dmkrca inazua ukuak na maendeleo ya kiuchumi....hivi hao watu si ndio huohuo mfumo huwaweka madaraki...

Af nch unazozungumzia at least s afraca ni umaskini ndio unaonukia sijajua maendeleo gani unayosema....au ni ya jirani wa kaskazini uchumi wa capital flight ?....uchumi lazima uakisi maisha ya watu...sio tu kuwa na masifa ya gdp kubwa ya kifukara....economic prosperity ya south africa ina ambatana factors nzito na si dmcrca tu.....analysis yake ni kubwa sizan kama utanielewa
 
Asante kwa kuja, kwamba hujui kuwa USA inaiba rasilimali za nchi zingine? Vp kuhusu mafuta ya kule Iraq, vp kuhusu Libya, hujui au?

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Marekani haiibi au kununua mafuta kutoka mashariki ya Kati! Marekani has its own oil.

What the US government does is use its military to control certain oil markets na kuzuia militant governments from accessing oil, which would give them profits to fund their terrorist groups!
 
Kweli. Demokrasia ya leo sio kama ya zamani lakini principle ya nguvu ya umma bado ni ile ile. Kitu ninachoshangaa ni pale mnapodhani kuwa demokrasia ni mbaya kwa maendeleo ya kiuchumi. Nipeni arguments Zenu. Unajua hapa tunafundishana? Mimi sio lecturer!

Ukiwa na wigo la uchaguzi, kulala kwenye Kochi or kitandani, ukilala chini ni maamuzi binafsi.

Sasa, niambie, una uhuru gani ikiwa unafanya kazi zaidi ya tatu or mbili ili tu upate hela ya kujikimu?

Kwenye madaftari yako, kuna kitu umeandika juu ya "economic freedom"??

ndio hali halisi ya matraifa mengi Marekani, Canada, na Ulaya.

A life where, almost everyone is being forced by circumstances to take more than two or three jobs beyond their own will just to earn a living, is that democracy?
 
Kwa nini usiwe specific. USA iliiba rasilimali za wapi? Usifananishe serikali za watu na firms!
Wewe Walker ni mzalendo na siwezi kukubali kuona unabadilika kirahisi hivi kisa mtu flani amekukwaza, najua unaelewa nachomaanisha, nakubali kwamba u know many things because u r an ellite, ss unakokwenda siko mkuu, mm huwa sipendi kumklash mzalendo mwenzangu hata akikosea najua nifanye nini ili tuende sawa lkn mkuu u r not going in a right track, I really appreciate you that's why I'm busy begging you to remember where r we from and where r we going, so don't forget that.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom