Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara iliyopigwa Viraka kuonyesha quality yake sio nzuri ndio maana kuna maeneo yamerudiwa ( Angalia rangi mbili za barabara iliyopauka na iliyorudiwa) ila baada ya kupaka lami nyeupe ya Marking ni bonge la deal) kuna mtu anapost na ndio Quality Benchmark yake. [emoji23]

View attachment 1770034
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo pesa zingerudishwa kupitia miradi yenye thamani husika ndio maana Magufuli alichagua miradi miwili ya barabara na daraja kuelekea Mtwara inayopita eneo la mradi kabisa na mradi wa sports centre Dom

Jumla ya miradi hii ina thamani ya hiyo pesa ya 'commission' ambayo ipo kwenye mkataba

Nasema ni takwa la mkataba sababu kama tusingeweza kulipa kwa wakati certificates kama zilivyokua zikitufikia tusingeweza kuwadai Elswedy hizi stahiki sababu tungekua unqualified according to the agreement!
CSR ina maana pana! Na sioni tatizo la kampuni hii kuita mradi wa stadium CSR kwao! Hujui kama commercial aspects zimekuwa cancelled au vp?
 
Electoral College got more power on US general elections than total votes [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1770202

Two of them Republic and Democrat only [emoji23][emoji23][emoji23]

Fake democracy as African gucci[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Democracy halafu rais hachaguliwi kwa kura za wananchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda hypothetical democracy.
 
nimetoka udsm kuona wanavyoweka mitungi ya gas kwenye gari za kawaida kama unataka.. gharama ya chini 1.5m TSH.. karibuni wenye magar

haya ni baadhi ya wanaowekewa mtungi wa gas

afu wanasema ukitumia gas unakuwa unatumia nusu gharama (fuel price) kama ungekuwa unatumia petrol/diesel
IMG_1619882626.816175.jpg
IMG_1619882643.920632.jpg
IMG_1619882766.594835.jpg


hapa no mbele (unapojazia gas)
IMG_1619882678.853611.jpg


huku ni nyuma (mteja mpya: gari min prado-milango tatu)
IMG_1619882740.249535.jpg
IMG_1619882755.291051.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Usinichekeshe mkuu[emoji23][emoji23]

Kenya wakijenga daraja kama hilo la 510m la 67bn tarajia yafuatayo;

1. Gharama itapaa mara 10
2. Mkopo utakuwa na riba kubwa
3. Daraja litamilikiwa na mchina under BOT
4. Daraja litaitwa "... International bridge" kuwafool nyang'au.
5. Watavuka hapo juu kwa fee ya kufa mtu kwa 30 yrs.
Those silly thoughts of yours ndizo ambazo zinafanya msilipe madeni mpaka Mabenki makubwa yanaogopa kuwakopesha,sisi tutalipia toll mpaka Deni iishe Ndio maana Tunakopeshangwa Kama maji,ju Tunalipa Madeni
 
Kwa maelezo niliyo nayo ya haraka ni kuwa, mama alimbadilisha jamaa wa kitengo cha Madawa ikiwa ni muongozo wa Kikwete and the gang.

Tarehe 22, huko India wakitokea JNIA na Ethiopian Airways. Tayari kazi imeanza kwa kasi sana.

Ila yule mkali Kusaya waliyempa hicho kitengo ajiangalie. Navyomjua jamaa ni mzalendo sana na hata alipokuwa katibu wizara ya kilimo alipiga kazi sana. Kuna maeneo nyeti ambayo wameyakazia macho.

All in all hili ni taifa teule la Mungu. Wakati wengine wakichagua kumpigia magoti shetani sisi tulijikabidhi mikononi mwake. Acha wajione waneshinda ila soon ataibuka Joshua wa kuendeleza jahazi.

Na Mungu alivyo fundi anaweza kuwatumia hao hao majangili kusongesha jahazi. Angalia the making of JPM. Aliyemuibua 1995 alikuwa mpigaji. Aliyemuibua tena 2015 naye mpigaji vilevile. Mungu ni soo.
 
Democracy halafu rais hachaguliwi kwa kura za wananchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda hypothetical democracy.
The advantages of the electoral college system might outweigh the disadvantages! Winning by popular vote doesn’t always work in US elections! (Although it’s rare) But that doesn’t mean that US elections are not democratic.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Usinichekeshe mkuu[emoji23][emoji23]

Kenya wakijenga daraja kama hilo la 510m la 67bn tarajia yafuatayo;

1. Gharama itapaa mara 10
2. Mkopo utakuwa na riba kubwa
3. Daraja litamilikiwa na mchina under BOT
4. Daraja litaitwa "... International bridge" kuwafool nyang'au.
5. Watavuka hapo juu kwa fee ya kufa mtu kwa 30 yrs.
Tatizo watani zetu wamezidi kuover price miradi aisee
 
Ni nani alikufundisha hivyo? Maana sidhani kama kuna curriculum ya Elimu ya Tanzania inayofundisha wananchi ushenzi kama huu. So you don’t think kwamba nchi inapaswa kuwa na demokrasia? Yaani nchi zinatakiwa kuwa na authoritarian rule?
Ila we nae hujui unachokizungumza wewe 😂 shame on you, unaijua historia ya hiyo democracy unayoipigia chepuo hapa, umesoma hata history ya dunia.?
 
Izo ni propaganda na jinsi navyokuona unaamini chochote anachoandika mzungu kwaiyo siwezi kubishana na mtu ambaye hawez kuthink outside the box
Kuna picha mtandaoni za makinisa yakibomolewa China. Kuna proof ya satellite images na testimonials za watu ambao walikuwa wanefungwa kwenye Uyghur Muslims detention camps! I am an educated person. Siamini kitu hadi niwe na uhakika nacho. Kama hutaki kuamini baki na ignorance yako. Kazi yangu ya kuondoa ujinga nimeshafanya. The rest is up to you.
 
Ila we nae hujui unachokizungumza wewe 😂 shame on you, unaijua historia ya hiyo democracy unayoipigia chepuo hapa, umesoma hata history ya dunia.?
Kwa hiyo Elimu ya Tanzania inafundisha kuwa demokrasia sio kitu kizuri? Labda mimi sikufahamu. Nionyesheni ni wapi mnafundishwa hivyo.
 
The advantages of the electoral college system might outweigh the disadvantages! Winning by popular vote doesn’t always work in US elections! (Although it’s rare) But that doesn’t mean that US elections are not democratic.
SASA kama moja ya haki za democracy ni haki ya kuchagua au kuchaguliwa, marekani wao hawafanyi hivyo then hiyo ni democracy gani .? Yani kwamba nachaguliwa kiongozi namtu fulani ili aongoze maisha yangu hiyo si ni kinyume hata na haki za kibinaadamu.?
 
Those silly thoughts of yours ndizo ambazo zinafanya msilipe madeni mpaka Mabenki makubwa yanaogopa kuwakopesha,sisi tutalipia toll mpaka Deni iishe Ndio maana Tunakopeshangwa Kama maji,ju Tunalipa Madeni
Kama hujui ni kwamba international lenders wanapigana vikumbo kutukopesha. Wapo tunaowatolea nje hata kwa 3%! Mnaweza fanya hivyo nyinyi?

Angalia wanavyopigana vikumbo ku-finance phase za BRT zilizobaki. Na bado tunawapa vigezo na masharti, wakizingua tunawapotezea.

Au hukuwasikia WB walichosema walipotembelea SGR? Wanaangalia namna ya kutukopesha kwenye SGR. Na sie hatuna habari. Tunaenda tu mdogo mdogo.

Mikopo ghali kama hiyo ya kwenu ni bogus pekee anaweza kuikubali. Riba na inflated costs za miradi husika ni kubwa kuliko economic benefits zote zinazotokana na hiyo miradi ikitekelezwa.

For example:

***Hiyo SGR yenu imeua biashara ya lorry Mombasa-Nairobi, well hilo lilitarajiwa.

***Yet mauzo ya sgr business yanaishia mikononi mwa wachina.

***Still mauzo hayatoshi hivyo huenda wachina wakaichukua Mombasa port ambayo ilikuwa collateral.

So mmepigwa kila upande. Sasa hapo si ni bora mngeyaacha malori yaendelee na kazi mpaka pale mtakapopata fair deal kama sisi! Au mnadhani sisi hatupewi hizo ofa za mikopo.

Kuna lenders wengine mataaahira walitaka mpaka mt. Kilimanjaro kama collateral. Waziri Mpango aliwatoa baru, sembuse Magu.

Nyie mnaogelea kwenye laana ya usaliti na ubeberu. Nyerere alitaka nyinyi ndiyo mtoe rais wa EA federation lakini bado mka-snitch. Sasa kazi kwenu maana inaonesha aliyewaroga alishakufa.
 
SASA kama moja ya haki za democracy ni haki ya kuchagua au kuchaguliwa, marekani wao hawafanyi hivyo then hiyo ni democracy gani .? Yani kwamba nachaguliwa kiongozi namtu fulani ili aongoze maisha yangu hiyo si ni kinyume hata na haki za kibinaadamu.?
Hiyo demokracy ya kibeberu ni viongozi wapuuzi tu huruhusu ifanyike kwenye nchi zao.
 
Back
Top Bottom