Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
🤣Sasa kwnn unamiliki id mbili zen unaji quote mwenyewe? Hii desperation Wakenya mko nayo imefika climax sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣Sasa kwnn unamiliki id mbili zen unaji quote mwenyewe? Hii desperation Wakenya mko nayo imefika climax sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣We nawe sio bure una mawenge na matege yako yale, manake sio kw kunyezwa hko..
Kila mtu wewe anatumia id mbili, jamaa kajibu comment niliyo-mquote mulisaa mi ikabidi nikakaba sasa na wewe umekuja kubwetuka hapa..
Uzuri mulisaa (congoman) mwnywe keshanijibu
👇👇👇👇👇😆😆😆😆 na uchafu wa kutosha CBDBeautiful ol CBD Nairobi😍😍😍View attachment 1766897View attachment 1766898
WWE kwani umesikia aje nmesema BRT Ni Barabara tu ata tukipaka rangi Kwani hio tunapaka kwa anga ama Barabara? Watz munathani Ndio tujenge BRT lazima tubomoe bomoe🤣🤣🤣 Thika road itatengwa lanes moja moja ya kwenda na kurudi na BRT ianze hapohapoBRT si ni barabara tu au sio? Mbn mmeshindwa kujenga sasa amuihitaji au? Kama hamuihitaji mbn mnahangaika na mirangi rangi sasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko poa.Kuna kitu bro naona hujakielewa kwa design nayoona hio ya ghana ina support two lanes wakat ubungo ina BRT system ndani yake na ukumbuke kuna BRT ways second and third level hilo moja na pia naona quality ya ubungo iko sawa sana
Hii ni interchange ya ghana[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1766899
Mzee wewe umesema flyover ya Ghana bei yake ndogo ukilinganisha na Ubungo flyover. Sasa leta facts
Kwanini unasema ni ndogo!?
Kumbuka yao ni 4 tier mzeeKuna kitu bro naona hujakielewa kwa design nayoona hio ya ghana ina support two lanes wakat ubungo ina BRT system ndani yake na ukumbuke kuna BRT ways second and third level hilo moja na pia naona quality ya ubungo iko sawa sana
Hii ni interchange ya ghana👇👇👇
View attachment 1766899
Nikuulize Kwani BRT yenyu iko Angani ama? Si Ni Barabara tu ila yenyu imejengwa ufala sana🤣🤣 Sisi tunatenga tu lanes mbili za kwenda na kurudi umeshika Bongolala😷🤣🤣🤣BRT sio githeri, BRT is a system mzee🤣🤣 sio unaamka asubuhi unachora barabara pale thika alaf unasema BRT ndio maana mpaka leo 3yrs bado munahangaika na BRT wakat sisi tunaenda kuanza phase 3 soon🤣🤣
Ulisoma nilichokiandika, hivi wewe unamfahamu mulisaa ama ni ubishi tu ndio unataka..ama unataka niseme labda kachanganya ma file manake mie sijamuuliza yeye lkn jamaa kajibu ndio manake nikakaba..we km una laziada sema banaKwahiyo huyu ndio mulisaa au? [emoji116][emoji116]View attachment 1766860
Sent using Jamii Forums mobile app
wacha nkuulize unathani penye zilinunuliwa zilikuwa zikitumia Nini? Ni Stima na ata Nigeria ilinunua ka zetu sababu zinabeba double stack na zinaeza kuenda na Stima ama DieselMbona haiendi na stima sasa tukakona 🤣🤣🤣 hani hii mitungi iende na stima wakat hapo ina full vibration, rail yenyewe ni bolt jointed na sio welded hahahahaView attachment 1766878
yajayo ni killers.....Ni phase 6 mkuu. Na zikiisha hizo tunaingia kwenye light rail. Hiyo kwa namna itakavyokuwa hakuna nchi Afrika itaona ndani. Nasema hakuna, siyo SA wala Egypt watatusogelea. Km 266 tena huenda yote ikawa viaduct! Bongo sihami.
Nikuulize Kwani BRT yenyu iko Angani ama? Si Ni Barabara tu ila yenyu imejengwa ufala sana🤣🤣 Sisi tunatenga tu lanes mbili za kwenda na kurudi umeshika Bongolala😷🤣🤣🤣
Kua na 4 level sio shida unaangalia na complexity ya mchoro wenyewe mzee ubungo ina BRT lanes ukumbuke hilo tena kwneye level mbili tofautKumbuka yao ni 4 tier mzee
Soma hapa upate uelewa ndio maana miaka mitatu leo munahangaika na BRT kazi ni kuchora barabara alaf inakaa miaka mitatu kimya 🤣🤣🤣👇👇👇Nikuulize Kwani BRT yenyu iko Angani ama? Si Ni Barabara tu ila yenyu imejengwa ufala sana🤣🤣 Sisi tunatenga tu lanes mbili za kwenda na kurudi umeshika Bongolala😷🤣🤣🤣
Hii unaeza fananisha na ubungo hata kwa kutumia macho👇👇😅😅 na je yao ina support BRT system???Alafu yao ni 4 level yetu ni 3
Leo level imekua sio shida tena[emoji23][emoji23]Kua na 4 level sio shida unaangalia na complexity ya mchoro wenyewe mzee ubungo ina BRT lanes ukumbuke hilo tena kwneye level mbili tofaut
Kwn interchange mpka kuwepo na BRT lanes? Uliskia wapi mzee babaHii unaeza fananisha na ubungo hata kwa kutumia macho[emoji116][emoji116][emoji28][emoji28] na je yao ina support BRT system???View attachment 1766969
Leta link kua haya matumgule yalikua yanatumia stima ukipata nitag nifunge acc🤣🤣🤣👇👇👇👇wacha nkuulize unathani penye zilinunuliwa zilikuwa zikitumia Nini? Ni Stima na ata Nigeria ilinunua ka zetu sababu zinabeba double stack na zinaeza kuenda na Stima ama Diesel