The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]View attachment 1766764
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]View attachment 1766764
Mbona naona kashimo na lami kiraka tayari? Miradi ya Kamwana bwana! 🤷♂️ 🙆♂️[emoji23][emoji23]View attachment 1766764
unajua gharama ya hiyo ya Ghana? leta gharama tulinganishe sio unaongea maneno matupu! Hii ya Chang'ombe na Uhasibu hazina tofauti na ya Tazara hata ukiziangalia kwa macho unaona!
Ya ubungo na hii Ya Ghana 👇unajua gharama ya hiyo ya Ghana? leta gharama tulinganishe sio unaongea maneno matupu! Hii ya Chang'ombe na Uhasibu hazina tofauti na ya Tazara hata ukiziangalia kwa macho unaona!
Hehe mkuu Tazara ipi iyo unayosema imejengwa upande mmoja?[emoji116][emoji116]View attachment 1766673
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ni cheaper ukicompare na Tazara we icheki youtube video yakeMkuu ko umelipenda ili ua Fundi kitasa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 1766781View attachment 1766782
Kwanini una compare na Tazara!? Taja sababu Tano za ku compare na Dodoma.Naona ni cheaper ukicompare na Tazara we icheki youtube video yake
Kwanini una compare na Tazara!? Taja sababu Tano za ku compare na Dodoma.
Kwanini una compare na Tazara!? Taja sababu Tano za ku compare na Dodoma.
Tupia kabisa na vipicha kadhaa, usisahau kutuonyesha process ilivyo hapo, sio mabango tu. Ntaka kuona process yenyewe ya MELI ilitengewa hapo!
Nimekuwekea link tayari. Tembelea tovuti yake ina kila kitu.Naomba nione kampuni ilivyo, process ya utengezaji kuanzia mwanzo hadi kutolewa ziwani tayari kwa utumizi!
Aisee Bongo sihami. Bongo raha buana. Asikwambie mtu. Huyu mwamba Kadogosa naomba wamwache pale pale aendelee kupiga kazi.Nasikia Kuna jengo litajengwa hapo DSM station kuunganishwa na hiyo station. Wanafanya site clearance hapo na landscape at the moment.
I mean ya ubungoSawa kaka ioo yao ni $84M +, ile ya tazara nazani ni kama $48M kama sijakosea labda unge i compare na kijazi Fundi kitasa
Ukilinganisha na yao kwa cost yeah
Update Chang'ombe flyover [emoji116][emoji116]View attachment 1766589View attachment 1766590View attachment 1766591View attachment 1766592View attachment 1766593View attachment 1766594View attachment 1766595
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko tu Ni kuhustle bana nikipimianga kidogo JF masaa Yake,Huku waTz mnawafanya mpaka wanatia lawama 👊👊Genje Komora🔥🔥Mulisa bana[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza ulipotelea wapi mjuba