eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,802
- 16,474
Kama chama chake kilikuwa na na nia ya kutengeneza mazingira ya kuwarudisha watoto shule Mbona sheria ingebadilika tu. Maana bungeni majority ni CCM! Ni yeye tu ndiye alikuwa na mawazo binafsi.
Tena alifanya vizuri kutogusa hiyo sheria. Maana ingekuwa ni mfano mmoja mbaya sana angeonesha.
Anyways, sijajua ninaongea na mtu mkomavu na mzoefu kiasi gani kuhusiana na kulea na kutunza watoto wachanga. Ni experience tofauti sana. Kama hujawa na uzoefu waulize wazoefu. Maana miundombinu lazima iwekwe kwa ajili yao. Watu wa kuhudumia n.k.