Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo mnatuzidi idadi ya millionaires au sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Alaf 2020 waliku hvi 😅😅👇👇👇
D8696BE7-C9DA-4C3F-8D65-82AD3474D592.jpeg
 
Hiyo pdf ninayo tangu January.
Ina ukubwa wa mb 8 na ina pages 86 kama sijakosea.

Nadhani ungemuuliza yule mkunya mwenzako aliyeshindwa kucopy link iliyo beba hiyo attachment kuwa alisoma shule gani.

Sijaona mkenya wa kunizidi akili humu.
Ndio maana mnapokea vichapo kila forum ya nchi zingine mnazozishobokea.
Nina uhakika hata Burundi wakiwa na forum yao watawapeni tu vichapo.

Ngoja nikufokee kwa herufi kubwa, UKINIZINGUA NAKUZINGUA PUMBAF.
😅😅😅😅 hakuna watu wajinga dunia hii kama mkenya yani watoke kua na mullionarea 2000 mpaka 20000 within 12 months with this corona nchi imekufa inakopa halima kulipa asha
 
Gap ni kubwa sana mpk linachosha

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hesabu hata za dukani hazikubali 😅😅 na hapo hapo wanakwambia 2021 millionares 921 wamepitia na corona kwenye wale 2000
👇👇👇👇👇
 
Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya

Au??

View attachment 1760733
View attachment 1760734
Hawa watu ni mafala waliopitiliza 😂😂 yani wao hufkiri watadanganya kila mtu hii dunia 21st century hata nzi huwezi mdanganya
 
Nimemsikiliza James Mataragio
Nimepata insights kadhaa muhimu kuhusu EACOP

✅ Tanzania itakua na 15% sawa na wenye mafuta Uganda

✅ Total watajenga jumla ya kilometers 300 za barabara kama sehemu ya mradi

✅ Total wataimarisha zaidi reli ya kati kwa kujenga depots zaidi ya 8

✅ TRC watabeba mzigo wa Total kwa zaidi ya 80%

✅ Tanesco watafanya Biashara kubwa sana Total na ya kudumu wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi

🇹🇿🕯️ Magufuli Legacy Lives 🕯️🇹🇿



Tonge mdomoni ila inauma aloo😅😅😅😅
 
Nakushangaa umpeanic kuzidiwa na wakati hatujaanzaga leo, tafuta knightfrank kutoka 2010 ujichekie mwnywe km unabisha
Wacha mambo ya 2010, kipindi hicho matajiri wengi Tz walikuwa hawamo kwenye database walikuwa wanaogopa kukatwa kodi, Magu alipoingia mambo hayo yakapungua kwa kiasi kikubwa na ndiyo maana ukaona tumewapiga gap takatifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaiogopa ripoti ya 2021, errors zote za 2020 zikichakachukiwa..sai ni mwendo wa vitasa, eti nilishangaa kenya 2018 eti walikua 8000 ghafla mwisho wa 2019 wanasema 2000
Ss lete link from Knight Frank wakisema kwamba report ya 2020 ilikuwa na errors alafu lete report yao mpya ikionesha mnatukaribia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya

Au??

View attachment 1760733
View attachment 1760734
Mbona nyie hampo
Alafu tuwekee hayo maelezo yako kitoka hapo kw link
 
Unaniletea maneno ya porojo 😅😅😅 siasa za twitter za kina kigogo na genge lake
SGR
Phase one 91% 300km
Phase two 58% 442km
Phase five site preparations 341km

Alaf tunashindana nn😅😅😅😅
Airport inahusu ndege sio SGR. Uko sawa mkuu, au ushatoa loki? 😂 😂 😂
Alafu mkipewaga ukweli na watu wa kwenyu mnaliaga sana, yaani tukitoa sisi porojo, akitoa mbongo, porojo. Nyie kubalini tu, ni hali ya maisha, msiaibike! 🤣 🤣 🤣
 
Fursa kwa watanzania sasa 🤣🤣🤣 nchi imekwisha mkate juu, unga juu, petroli haishkiki na sasa
 
Back
Top Bottom