Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa. Lakini kuna hesabu hapo haziingii akilini mwangu.

mara nying wanajenga nyumba za ghorofa moja (mfano najua nyumba ya mkuu wa mkoa wa mwanza ipo kiseke.. mkuu wa Dar wakat wa makonda .. na wa wilaya ya kino)..
kuna gharama kama ujenzi nakubaliana nazo.. lkn za ukarabati zaid ya 100m?‍♂️
pia nilikuwa sijui zinakuwa za binafsi au za serikali mana kila mwaka zinajengwa tu
 
mara nying wanajenga nyumba za ghorofa moja.. kuna gharama kama ujenzi nakubaliana nazo.. lkn za ukarabati zaid ya 100m?‍♂️
Ndio. Na Ndio Maana nikasema wanajenga mansions ( nyumba kubwa za kifahari). Lakini mambo ya ukarabati na landscaping kugharimu pesa zote hizo kwakweli sielewi.
 
Sio kwamba masikini wa Kenya ana afueni, nope bali masikini wa Tanzania ni tajiri wa Kenya,

Jaribu kuangalia hizi bongo movies sababu huwa lazima ziwe na scenes za uswahilini kwa watu wenye kipato cha chini na scenes za wa mboga 7, Jaribu kuangalia tofauti zao

Good example, em Angalia hii footage inayoonesha maisha na mazingira ya mlalahoi wa uswahilini na doni wa ushuani

Pia Angalia ndani mwa hizo slums mnazozifananishaga na kibera uone tofauti ya mbinguni na kuzimuni

Bwahahaha!!narudia, mkenya wa kawaida ni tajiri akienda tanzania
Kwhyo emu tulieni lkn maisha ya kenya watz wakawaida hawayamudu, ndio manake watz wengi wanaoleta watoto wao kenya ni wale wanaojiweza
 
Sawa. Lakini kuna hesabu hapo haziingii akilini mwangu.
haziingii kivp? hivi unajua Mkuu wa Mkoa huwa mpaka anapewa mlinzi ni Governor wa Mkoa kama Mkuu wa Wilaya alivyo Governor wa Wilaya si watu wadogo hivyo kiusalama! Especially wale wa Mikoa ya pembezoni wa nchi! Nyumba zao zinakuwa na mpaka servant quarter na perimeter wall!
 
haziingii kivp? hivi unajua Mkuu wa Mkoa huwa mpaka anapewa mlinzi ni Governor wa Mkoa kama Mkuu wa Wilaya alivyo Governor wa Wilaya si watu wadogo hivyo kiusalama! Especially wale wa Mikoa ya pembezoni wa nchi! Nyumba zao zinakuwa na mpaka servant quarter na perimeter wall!
Sawa. Lakini kwani ulinzi ni ujenzi? Kawaida hawa viongozi wanapewa ulinzi wao lakini hapa tunazungumzia gharama ya uzio na landscaping. Gharama kubwa kiasi hicho kuwa allocated kwenye perimeter wall na landscaping hazileti sense unless estate ambayo hiyo nyumba inajengwa ni kubwa sana, wanajenga some kind of basement or bunker au kuna security systems ambazo wanainstall kuizunguka Nyumba. Sema we don’t have any information about the construction sites kuhakilisha hili.
 
Sawa. Lakini kwani ulinzi ni ujenzi? Kawaida hawa viongozi wanapewa ulinzi wao lakini hapa tunazungumzia gharama ya uzio na landscaping. Gharama kubwa kiasi hicho kuwa allocated kwenye perimeter wall na landscaping hazileti sense unless estate ambayo hiyo nyumba inajengwa ni kubwa sana, wanajenga some kind of basement or bunker au kuna security systems ambazo wanainstall kuizunguka Nyumba. Sema we don’t have any information about the construction sites kuhakilisha hili.
Jamaa hakuna atakaye kuelewa mzee, we kaba tu
 
Sawa. Lakini kwani ulinzi ni ujenzi? Kawaida hawa viongozi wanapewa ulinzi wao lakini hapa tunazungumzia gharama ya uzio na landscaping. Gharama kubwa kiasi hicho kuwa allocated kwenye perimeter wall na landscaping hazileti sense unless estate ambayo hiyo nyumba inajengwa ni kubwa sana, wanajenga some kind of basement or bunker au kuna security systems ambazo wanainstall kuizunguka Nyumba. Sema we don’t have any information about the construction sites kuhakilisha hili.
mshikaji wacha ubishi wa ajabu tshs 300-400 mln kwa nyumba ya Mkuu wa Mkoa ni reasonable na isitoshe ni ya serikali! Mkuu wa Mkoa pia hu-host viongozi wa serikali! Unajua nyumba ya speaker ina-cost ngapi?

kwani tatizo nn? ma-dudge, RAC ni muhimu kuwa na nyumba za maana na hubaki kuwa za serikali au mahakama wakistaafu! Ushaona Mkuu wa Mkoa mtu wa kawaida sana? Angalia Katiba inasemaje!

 
hello Tanzanians. hizi nyumba za wakuu wa mikoa na wilaya.. zinakuwa ni nyumba ya mkuu wa mkoa binafsi au zinakuwa za serikali?? yan kila mkuu wa mkoa anaekuja anakaa hapo?


afu hizi gharama sasa‍♂️

Jpm kaondoka ndio wameeanza huu ushenzi wakati kule dodom makao makuu za wizara zinajengwq kwa gharama izo
 
mshikaji wacha ubishi wa ajabu tshs 300-400 mln kwa nyumba ya Mkuu wa Mkoa ni reasonable na isitoshe ni ya serikali! Mkuu wa Mkoa pia hu-host viongozi wa serikali! Unajua nyumba ya speaker ina-cost ngapi?

kwani tatizo nn? ma-dudge, RAC ni muhimu kuwa na nyumba za maana na hubaki kuwa za serikali au mahakama wakistaafu! Ushaona Mkuu wa Mkoa mtu wa kawaida sana? Angalia Katiba inasemaje!


Tatizo unakurupuka! Mimi sijakataa kuwa hao viongozi wajengewe nyumba zenye hadhi kubwa. After all, they represent the government! Hiyo TZS 360 million sio gharama ya nyumba! Ni gharama ya uzio na landscaping. As in ukuta na bustani na tile pavements. Sasa uniambie ni aina gani ya uzio na bustani zinajengwa Kwa hiyo gharama. Especially kwenye nyumba ya DC.
 
Naona hadi rangi za nguo za kuvaa, mnachaguliwa kama watoto! 🤣 🤣 🤣 Hamna uhuru kabisa, mambo ya North Korea hayo yashaanza na bado!!! 🤣

Screenshot_20210422_130236.jpg


Screenshot_20210422_125948.jpg
 
mshikaji wacha ubishi wa ajabu tshs 300-400 mln kwa nyumba ya Mkuu wa Mkoa ni reasonable na isitoshe ni ya serikali! Mkuu wa Mkoa pia hu-host viongozi wa serikali! Unajua nyumba ya speaker ina-cost ngapi?

kwani tatizo nn? ma-dudge, RAC ni muhimu kuwa na nyumba za maana na hubaki kuwa za serikali au mahakama wakistaafu! Ushaona Mkuu wa Mkoa mtu wa kawaida sana? Angalia Katiba inasemaje!



gharama za ujenzi ghorofa tunakubaliana.. gharama za fence sijui land clearance/scaping sijui mavitu gan kucost zaid 300m sio reasonable
 
N
gharama za ujenzi ghorofa tunakubaliana.. gharama za fence sijui land clearance/scaping sijui mavitu gan kucost zaid 300m sio reasonable
Ni upigaji tuu hamna fensi ya kucost milion 300 hapo kwani wabazungushia pori
 
Ww utakuwa takatak ya kwanza kumwita mtu fool alafu kutwa haishi kukaa kwa iyo choo yako...ww unafaa kuliwa kuboga sio kwa shobo hizi
 
Back
Top Bottom