Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania, mnajua hii kitu? Ati 'oh mabasi ya mwendo kasi yanadumu, oh... Kumbe mchina kafanya yake tayari! 🤣 🤣 🤣 Poleni!! Dadeki!

View attachment 1760312
Mnajenga stand za BRT, jangwani???

View attachment 1760314

hizo stand mbadala wake zimeamishwa ubungo,
wivu ukizidi
IMG_1619081435.466878.jpg
 
Watanzania, mnajua hii kitu? 😂 😂 😂 Ati 'oh mabasi ya mwendo kasi yanadumu, oh... Kumbe mchina kafanya yake tayari! 🤣 🤣 🤣 Poleni!! Dadeki!

View attachment 1760312
Mnajenga stand za BRT, jangwani??? 😂 😂 😂 😂 😂

View attachment 1760314
After flooding is what ur posting 😀😀😀 au kwakua BRT nyinyi hamuna na mushajua hamutakua nayo


 
Alimuumiza nani kama sisi watanzania tunaona kua hatujaumizwa wewe mkenya inakuaje useme aliumiza watu wakat sisi watanzania tunaona hakuumiza watu na kafanya makubwa zaidi kuliko marais wote waliopita
JPM aliwanyanganya tonge mdomoni (mradi mkubwa wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania EACOP)

Unadhani watampenda!

Ukimjulisha stress na depression walizonazo!
 
After flooding is what ur posting 😀😀😀 au kwakua BRT nyinyi hamuna na mushajua hamutakua nayo



Hebu nijulishe BRT ngapi zimekufa huko so far? 😂
Alafu ujue hatuna haraka sisi, mwendo wa aste aste tu hapa. Huku kwetu tunasubiri Scania ama Isuzu walete mzigo. Nafikiri unalijua hilo tayari! 🤣 🤣 🤣
 
JPM aliwanyanganya tonge mdomoni (mradi mkubwa wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania EACOP)

Unadhani watampenda!

Ukimjulisha stress na depression walizonazo!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na kwenye tanzanite aliwabana makende kisawasawa
 
Hebu nijulishe BRT ngapi zimekufa huko so far? 😂
Alafu ujue hatuna haraka sisi, mwendo wa aste aste tu hapa. Huku kwetu tunasubiri Scania ama Isuzu walete mzigo. Nafikiri unalijua hilo tayari! 🤣 🤣 🤣
Nijulishe wewe ni ngapi zimekufa manake unaonekana unajua 😅😅😅 zinazokuja wame agiza zitakazotumia gas sasa endelea kujipa matumaini 😅😅😅😅😅

 
Hebu nijulishe BRT ngapi zimekufa huko so far? 😂
Alafu ujue hatuna haraka sisi, mwendo wa aste aste tu hapa. Huku kwetu tunasubiri Scania ama Isuzu walete mzigo. Nafikiri unalijua hilo tayari! 🤣 🤣 🤣
Hamuna haraka miaka mitatu mulichora ya nn sasa hii kama hamuna haraka 🤣🤣🤣
806BB90B-4A71-4E86-A635-A4A5429B89E2.jpeg
 
Alimuumiza nani kama sisi watanzania tunaona kua hatujaumizwa wewe mkenya inakuaje useme aliumiza watu wakat sisi watanzania tunaona hakuumiza watu na kafanya makubwa zaidi kuliko marais wote waliopita
Wewe sio mtanzania, wewe ni MATAGA
 
Nijulishe wewe ni ngapi zimekufa manake unaonekana unajua 😅😅😅 zinazokuja wame agiza zitakazotumia gas sasa endelea kujipa matumaini 😅😅😅😅😅

Wewe ndio ujipe matumaini, ona hapa, na usilie 😢😂 sababu sio mimi naandika ni wabongo wenzio waliochoshwa na hali tata ya BRT! 🤣
Kueni watulivu, msirukie rukie mambo tu! 🤣

Screenshot_20210422_115422.jpg


Screenshot_20210422_115145.jpg


Screenshot_20210422_115115.jpg


Screenshot_20210422_115043.jpg


Screenshot_20210422_115000.jpg


Screenshot_20210422_114936.jpg


Screenshot_20210422_114905.jpg


Screenshot_20210422_114841.jpg


Screenshot_20210422_114810.jpg


Screenshot_20210422_114617.jpg


Screenshot_20210422_114548.jpg
 
hello Tanzanians. hizi nyumba za wakuu wa mikoa na wilaya.. zinakuwa ni nyumba ya mkuu wa mkoa binafsi au zinakuwa za serikali?? yan kila mkuu wa mkoa anaekuja anakaa hapo?


afu hizi gharama sasa‍♂️
 
hello Tanzanians. hizi nyumba za wakuu wa mikoa na wilaya.. zinakuwa ni nyumba ya mkuu wa mkoa binafsi au zinakuwa za serikali?? yan kila mkuu wa mkoa anaekuja anakaa hapo?


afu hizi gharama sasa‍♂️

Na mimi nilikuwa najiuliza swali Hilo hilo. Hawa watakuwa wanajenga mansions. Lakini kuna allocations za pesa hazileti sense. TZS 360 million kwa ajili ya uzio na landscaping?
537A080A-167C-4C74-9ECF-8C904DFCA3D3.jpeg
 
Iringa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

View attachment 1760364
Urban planning Tanzania ni aibu!! Hii population inavyokua kwa kasi tunatengeneza hatari ya miji yetu kujaa slums. Na wizara ya ardhi Sijui inafanya kazi gani? Hii thread inatazamwa na watu wengi mno. Basi toeni suggestions za kupanga miji yetu. Huwezi jua hizi discussions zitakuwa wake up call kwa hii wizara!
 
Maisha ya kenya ni magumu kw wageni km nyie watz, mtanzania akija kenya atakufa njaa manake kila kity kitamshinda kuanzia bills mpka bidhaa na huduma zingine na wakaati mkenya wa kawaida akija tz ana mudu na kuwekewa heshima kitaani..

Stay to your lane please!!
Sio kwamba masikini wa Kenya ana afueni, nope bali masikini wa Tanzania ni tajiri wa Kenya,

Jaribu kuangalia hizi bongo movies sababu huwa lazima ziwe na scenes za uswahilini kwa watu wenye kipato cha chini na scenes za wa mboga 7, Jaribu kuangalia tofauti zao

Good example, em Angalia hii footage inayoonesha maisha na mazingira ya mlalahoi wa uswahilini na doni wa ushuani

Pia Angalia ndani mwa hizo slums mnazozifananishaga na kibera uone tofauti ya mbinguni na kuzimuni 😅😅😅

 
Back
Top Bottom