ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
👇👇👇👇👇👇chukua somo hapaAkili yako pumba sana, aliyesema ni ya kenya ni nani, wako na branch Kenya, eka hiyo kwa akili yako finyu. Alafu ujue wenye kampuni wakitaka kufungua pahali popote pale, hawana shida, hela ipo, kijana.
Hata wakichoka na Kenya watatoka na wengine kuchukua nafasi hiyo! 🤣
Kwani isuzu ni kampuni ya japan?? Hvi kuna sababu gani yakugungua tanzania wakat kenya ipo?? Na kenya ni pua na mdomo kwann waje tanzania mm nakwambi biashara ya isuzu kenya ilishafika kikomo 😅😅




