vanos
Member
- Oct 12, 2020
- 22
- 15
Good work, naona kiswanglish kimetuliantarudi hapaa...but for my little uzoefu na opinion Nai is far better than Jiji letu la makonda....
Good work, naona kiswanglish kimetuliantarudi hapaa...but for my little uzoefu na opinion Nai is far better than Jiji letu la makonda....
Yani nyinyi mutemgeneze body za benz ama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Body built by a kenyan company..
Umeumia kuona mercedes inaekwa route hku kenya
Sijambo mzee wa curfew 😆😆😆Hujambo mzwe wa kurura twitter kw vpn![]()
I'm not interested cause I know it's zero.Do you want to see my phone bar!?
Hizi treni za umeme kila siku tunahubiriwa kuwa zitakuja. Ila sasa dates zinavyokuwa postponed aisee... It makes me think that something has gone horribly wrong. At least hata watuonyeshe picha zake kama walivyokuwa wanaonyesha picha za ndege za ATCL wakati bado hazijakabidhiwa nchini.Came across this online. Why do governments have to lie really View attachment 1759534View attachment 1759534
View attachment 1759533
Tunaongelea utopolo wenyu wa kuandika msichokijua! 🤣Kwe kwe kwe 😂😂😂😂 mobius nani kanunua na imetemgeza profit kias gan ukipata nitag😁😁😁😁😁
Msaidie kuleta evidence kwa alioleta alaf umsifu sasa 😅😅😅😅Naona unadunga hawa watu sindano mzito kabisa. Endelea vivyo hivyo. Wajue Tanzania sio ligi ya Kenya. Wao bado wanacheza baby league.
Pwahahahaha.Thanks for TBT, Nairobi having more water than the day that article was published. I know you hate facts, the day Tanzania will be mentioned with Kenya in the same sentence pia usisahau kunitag tafadhali.
View attachment 1759554
www.voanews.com
Hehehe... Inauma najua. Pole mkuu, sio kupenda kwetu! 🤣 🤣 🤣Yani nyinyi mutemgeneze body za benz ama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Muda haujafika kuna techniques za kimaendeleo mzee tulia 🤣🤣🤣Hizi treni za umeme kila siku tunahubiriwa kuwa zitakuja. Ila sasa dates zinavyokuwa postponed aisee... It makes me think that something has gone horribly wrong. At least hata watuonyeshe picha zake kama walivyokuwa wanaonyesha picha za ndege za ATCL wakati bado hazijakabidhiwa nchini.
Nakuunga mkono, sis shughuli za ufukweni mwa bahari(bandari) ndixo za tupsisha jiji lionekane bombaHizi thread zinanipaga raha sana kusoma.. Kama mbongo nadhani facts ziwe facts.. Nairobi imetuzidi sana kimiundombinu haswa barabara na reli.. Watanzania waliofika ama kuishi Nairobi watakubaliana nami kwa hili. Cha msingi ni kuwa kwa sasa Dar nayo inajitahidi kukechi up ingawa naona kwa kiasi kikubwa ni majengo tu yanapanda lakini barabara na miundombinu mingine kama ya barabara (including public transport.. And yes najua kuhusu BRT), intaneti ya mwendo kasi N.K.vinasua sua sana..
Yani mm nisijue isuzu ni kampuni ya wapi?? Au unanichukuliaje ???Tunaongelea utopolo wenyu wa kuandika msichokijua! 🤣
Source from excel of your PCSiku Tanzania itakuwa juu ya Kenya ntajinyonga
View attachment 1759559
Source mama ngina 😂😂😂😂Siku Tanzania itakuwa juu ya Kenya ntajinyonga
View attachment 1759559
Wewe lazy guy, evidence yote hadi links ziko huko juu tayari, fanya kazi ya kusoma acha porojo na povu jingi! 🤣Msaidie kuleta evidence kwa alioleta alaf umsifu sasa 😅😅😅😅
Nimecheka sana leo kwamba kemya ndio mutemgeze body za benz 😂😂😂😂😂 naona mumeumia kuona huku benz zinatumiaka na ziko za kutoshaHehehe... Inauma najua. Pole mkuu, sio kupenda kwetu! 🤣 🤣 🤣
Hii ndio evidence ya zile porojo 🤣🤣🤣👇👇 unatafuta pakutokea hapa hutoki mzeee leta evidence kwa porojo zote ulizoongeaWewe lazy guy, evidence yote hadi links ziko huko juu tayari, fanya kazi ya kusoma acha porojo na povu jingi! 🤣
Na zingine source za mama nginaSource from excel of your PC
🤣 🤣🤣
Pwahahaha, basi ka wajua wasomesheni ndugu zenyu wamejaa 'poop' kwa ubongo. Wanadai Isuzu ni kampuni ya Kenya! 🤣 🤣 🤣Yani mm nisijue isuzu ni kampuni ya wapi?? Au unanichukuliaje ???