Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ninyi hamna maisha mazuri kuwazidi Namibia, Botswana, Eswatini, Angola na hata Rwanda lakini cha ajabu eti mpo juu yao how? Mimi kipimo changu cha maendeleo ni provisions of social services and common citizens well-being

Masikini wa mwisho kutoka hayo mataifa akija Kenya ni mtu mwenye kipato cha wastani

Miundombinu na huduma za jamii, urahisi wa maisha kutoka kwenye hayo mataifa ukilinganisha na nchi ya nairobi (sababu Kenya ni nairobi tu) ni mbinguni na kuzimuni

That's why mpo nafasi msiostahili kabisa especially kwa sisi tunayoijua Kenya ilivyo na maisha magumu
Maisha ya kenya ni magumu kw wageni km nyie watz, mtanzania akija kenya atakufa njaa manake kila kity kitamshinda kuanzia bills mpka bidhaa na huduma zingine na wakaati mkenya wa kawaida akija tz ana mudu na kuwekewa heshima kitaani..

Stay to your lane please!!
 
Aliyekwambia GDP ndiyo kila kitu itakuwa alijua kuwa wewe hupokea chochote usikiacho. India ina GDP kubwa kuliko Uingereza na Japan. Unadhani maisha ya hizo Jamii yanakaribiana? Nyie mnayo GDP kubwa ila maisha yenu magumu kuliko hata Wamalawi ambao ni LDC.
Elimu yenu mbovu sana, yani hata kusoma uelewe huwezi..we unafikiria india haina uwezo wa kujenga miundombinu km ya japan..
Uchumi wao ni mkubwa na una wawezesha, tatizo uongozi mbovu na mfumo wao no mbovu pia..

Yani unakuja kujibu kw point za kijinga sana
 
Olaa, nimerudi tena! Yule jamaa yenyu,(labda hata ni wewe) aliyenitumia hii mnyama ya benz, mbona alikuwa muongo alafu akili mbovu. Anadai ati 'la Bongo hilo' wakati nambandikiza ya KE original. Yeye yuko Google, kuiba picha za benz na kuzileta hapa bila kujua kuna wasee wa intelligence hapa, haha. Hebu ajitokeze aombe msamaha kabla hajakula kibiti!!! Kudadadeki zake!!! Utopolo wa hali ya juu!!!

A Mercedes-Benz Tourismo Coach (formerly designated as the Mercedes-Benz O 350) demonstrator, seen at the Bustival event, Havenstreet, Isle of Wight, celebrating the 80th anniversary of Southern Vectis. It's a 3rd generation version of M/2, since its initial(Tourismo) introduction in 1994.

View attachment 1759193
Ana edit picha anaandika "Utopolo"??? Mpaka plate unafuta, ndugu zetu vipi huko?
sjakuelewa ka vip screenshot iyo post twende sawa
 
Maisha ya kenya ni magumu kw wageni km nyie watz, mtanzania akija kenya atakufa njaa manake kila kity kitamshinda kuanzia bills mpka bidhaa na huduma zingine na wakaati mkenya wa kawaida akija tz ana mudu na kuwekewa heshima kitaani..

Stay to your lane please!!
alisikika mlevi mmoja akiongea

pumba.com
 
Inakaa kama chasis ya Ashok Leyland vile?


bloombergquint%2F2020-03%2F361ceda0-ce31-4cc8-8d51-e2a161549bdb%2Findia_truck_image.jpg



Maana Mercedes Benz coaches hukaa hivi
maxresdefault.jpg



True Mercedes Benz coach
Fikra za kichawi, sijaona wivu kiasi hichi walai
 
Well said comrade

Tunatakiwa Kuja na standard yenye mantiki kwenye kupima maendeleo ya nchi na sio gdp
Kwn uliambiwa GDP ndio maendeleo, nyie kweli mabwege..
GDP pia ina umihimu wake katika nchi, nyie km hamtaki tueni.
 
alisikika mlevi mmoja akiongea

pumba.com
Wenzenu wachuuzi wa gikomba kutoka tanzania wanaishi kw slums, madanguro yenu yaliyotokea hko yaniashi slum areas..

Narudia tena, mtanzania wa kawaida maisha ya kenya hayamudu hata kwa chembe we ukitaka lia sasa
 
GDP ndio kila kitu linapokuja swala la uchumi katika nchi, na ukumbuke nchi yenye uchumi imara kupata maendeleo haikawii bora mpate kiongzoi bora tu..

We unafikiria kenya bila ufisadi sai tungelikua wapi ki nchi licha ya skendo zote zile, yani ukanda huu ingelikua hamtugusi jomba wenzetu wangelikua akina sauzi sema tu viongozi wanatubwaga lkn hapo hapo ma lazy tunawagonga
What about the welfare of the citizens?
There are countries with largest GDP, but poor citizens wellbeing.
E.g Nigeria vs Botswana. USA vs Sweden etc
 
Elimu yenu mbovu sana, yani hata kusoma uelewe huwezi..we unafikiria india haina uwezo wa kujenga miundombinu km ya japan..
Uchumi wao ni mkubwa na una wawezesha, tatizo uongozi mbovu na mfumo wao no mbovu pia..

Yani unakuja kujibu kw point za kijinga sana
India inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya maskini duniani, Japan ina watu wenye kipato kikubwa kuwazidi Marekani

In short Japan population ni 126 million
Wakati India population ni 1.5 billion

Wewe mkenya ni kilaza kupindukia
 
Back
Top Bottom