Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


🤣

20210420_213448.jpg
 
16. DODOMA
Dodoma ndio makao makuu ya Tanzania. Dodoma umepakana na Morogoro, Manyara, Iringa, Singida

KILIMO CHA ZABIBU DODOMA
View attachment 1758038View attachment 1758039View attachment 1758040View attachment 1758041View attachment 1758042View attachment 1758043
Dodoma ni Jangwa, watu wanavuna zabibu na kutengeneza mvinyo watu tulewe *****,
Kuna nchi nyingine wanakufa njaa wanasingizia kuwa wana maeneo ya jangwa na wakati huohuo wanapokea misaada ya chakula toka nchi ambayo ni almost 100% jangwa,
Nani lilaani Kenya?
K.jpg
 
Haya mambo yanawatesa sana akina Mama Ngina na Kalonzo Msyoka.
Kiwanda cha kuunganisha Magari.

"Mkuu", 😁 hivi unataka sema viwanda vya ku assemble magari hatuna? 😂 😂 😂 Waulize kaka zenyu SA, watawapa majibu! 🤣
 
Jamaa kaweka wazi kuhusu mipango ya vigogo wa CCM kutaka kumnyima uenyekiti Rais Samia, kachana sana wazi wazi bila kificho mzee, itafute you tube ujionee, kuna sehemu anakwambia kama hawataki basi wewe kubali ila waambie unatoa kinga ya rais alafu tuanze kuwamulika mipango yao haramu nchini humu, itafute mzee jamaa kaongea mengi mnooo, atari atari kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samia hangoki ng'o
 
Kweli kabisa just imagine nchi kama Kenya ipo mbele kwenye Gdp, Gdp sio kipimo sahihi cha maendeleo, Kenya ipo hovyo kupitiliza
GDP ni nn kaka? Uliskia wapi imeandikwa gdp ndio maendeleo..
Maendeleo hupimwa na uongozi bora we bwege, emu rudi darasani.
GDP pia ina umuhimu wake katika nchi sio kila wakati mtu anapayuka tu wakati hujui lolote
 
Mzee mbona siku hizi mmekuwa watu wa kulaumu tu!? Hakuna kitu cha kutuonesha!? Mnapeana zamu.
Kw kometi hyo ya mwenzako mbona pumba, yani inamaana hajui lolote kuhusu biashara huyo bwege..
Mtu anayejielewa hawezi andika upupu kiasi hicho bana, eti kila sekata ijaze..nchi gani hyo
 
Back
Top Bottom