Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo sasa inatakiwa ujiulize mbona nchi ndogo lkn inawahemesha hvo mkiwa nchi mbili
Kenya ina mikoa nane 47m peopel iko na28 airports
Alafu tz kuna mikoa 20 ukiongezea zanzibar baada ya ku google nikapata mikoa 5 sasa sijui km ni ukweli, lkn wengine walikua wakitudangnya hapa km zanzibar ni city

Anyway, sasa inakuaje mikoa 25 katika nchi mbili iishinde ka nchi ka mikoa 8 tu kw airport tatu tu, huoni hyo ni aibu aisee
 
Hapo sasa inatakiwa ujiulize mbona nchi ndogo lkn inawahemesha hvo mkiwa nchi mbili
Kenya ina mikoa nane 47m peopel iko na28 airports
Alafu tz kuna mikoa 20 ukiongezea zanzibar baada ya ku google nikapata mikoa 5 sasa sijui km ni ukweli, lkn wengine walikua wakitudangnya hapa km zanzibar ni city

Anyway, sasa inakuaje mikoa 25 katika nchi mbili iishinde ka nchi ka mikoa 8 tu kw airport tatu tu, huoni hyo ni aibu aisee

na ile isiolo umeekelea hapo???View attachment 1758781
 
Hapo sasa inatakiwa ujiulize mbona nchi ndogo lkn inawahemesha hvo mkiwa nchi mbili
Kenya ina mikoa nane 47m peopel iko na28 airports
Alafu tz kuna mikoa 20 ukiongezea zanzibar baada ya ku google nikapata mikoa 5 sasa sijui km ni ukweli, lkn wengine walikua wakitudangnya hapa km zanzibar ni city

Anyway, sasa inakuaje mikoa 25 katika nchi mbili iishinde ka nchi ka mikoa 8 tu kw airport tatu tu, huoni hyo ni aibu aisee
Katika watu humu ndani ambao hata hawajui ni nini wanaongea basi ni wewe 😂😂 Yani punguani kabisa .. shame on you 😂😂
 
Screenshot_20210415-085104_1.jpg
Screenshot_20210414-153957_1.jpg

😂😂😂 Jirani bhana, eti na hii ni SGR ametengeneza mchina 😂😂😂😂😂😂 kwani mchina mwenyewe anasemaje.?😂😂, Mchina atamwambia nini Mungu siku ya malipo.?😂😂😂 . Wenyewe utawakuta wanajipiga kifua mbele kinouma, nina mashaka na kuvaa kwenu nguo na baadhi ya tabia za kibinaadamu hakuhalalishi kama ninyi ni binaadamu kamili
 
GDP ni nn kaka? Uliskia wapi imeandikwa gdp ndio maendeleo..
Maendeleo hupimwa na uongozi bora we bwege, emu rudi darasani.
GDP pia ina umuhimu wake katika nchi sio kila wakati mtu anapayuka tu wakati hujui lolote
Ninyi hamna maisha mazuri kuwazidi Namibia, Botswana, Eswatini, Angola na hata Rwanda lakini cha ajabu eti mpo juu yao how? Mimi kipimo changu cha maendeleo ni provisions of social services and common citizens well-being

Masikini wa mwisho kutoka hayo mataifa akija Kenya ni mtu mwenye kipato cha wastani

Miundombinu na huduma za jamii, urahisi wa maisha kutoka kwenye hayo mataifa ukilinganisha na nchi ya nairobi (sababu Kenya ni nairobi tu) ni mbinguni na kuzimuni

That's why mpo nafasi msiostahili kabisa especially kwa sisi tunayoijua Kenya ilivyo na maisha magumu
 
Hapo sasa inatakiwa ujiulize mbona nchi ndogo lkn inawahemesha hvo mkiwa nchi mbili
Kenya ina mikoa nane 47m peopel iko na28 airports
Alafu tz kuna mikoa 20 ukiongezea zanzibar baada ya ku google nikapata mikoa 5 sasa sijui km ni ukweli, lkn wengine walikua wakitudangnya hapa km zanzibar ni city

Anyway, sasa inakuaje mikoa 25 katika nchi mbili iishinde ka nchi ka mikoa 8 tu kw airport tatu tu, huoni hyo ni aibu aisee
Ninyi mna mikoa (regions) au counties?
 
Jamaa umetumia 1% ya akili mzee, matope kabisa yani..ingelikua biashara inaenda hvo basi we mzee kw fikra zako hzo ungelikua milionea
we 1% unaijua? lete model ya ile benzi iloandikwa greenline mbele ina vent ka za lr109
 
GDP ni nn kaka? Uliskia wapi imeandikwa gdp ndio maendeleo..
Maendeleo hupimwa na uongozi bora we bwege, emu rudi darasani.
GDP pia ina umuhimu wake katika nchi sio kila wakati mtu anapayuka tu wakati hujui lolote
Haya maneno uwaambie wakunya wenzako kwamba GDP sio maendeleo mana ndicho kitu mmebaki nacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1758785View attachment 1758786
Jirani bhana, eti na hii ni SGR ametengeneza mchina kwani mchina mwenyewe anasemaje.?, Mchina atamwambia nini Mungu siku ya malipo.? . Wenyewe utawakuta wanajipiga kifua mbele kinouma, nina mashaka na kuvaa kwenu nguo na baadhi ya tabia za kibinaadamu hakuhalalishi kama ninyi ni binaadamu kamili
hilo lingazi nalo la nini hapo juu,,,tena lakupachika hawa wakenya ni matope kabisa
 
Unajua tangu dunia iumbwe Tanzania ndio nchi pekee kuwahipoteza wanajeshi kwenye peace keeping mission?...sasa niambie mkiingia kwenye vita lasimi na magaidi itakuaje?
duuhh!!!! asante kwa taarifa .....
 
Haya maneno uwaambie wakunya wenzako kwamba GDP sio maendeleo mana ndicho kitu mmebaki nacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
GDP ndio kila kitu linapokuja swala la uchumi katika nchi, na ukumbuke nchi yenye uchumi imara kupata maendeleo haikawii bora mpate kiongzoi bora tu..

We unafikiria kenya bila ufisadi sai tungelikua wapi ki nchi licha ya skendo zote zile, yani ukanda huu ingelikua hamtugusi jomba wenzetu wangelikua akina sauzi sema tu viongozi wanatubwaga lkn hapo hapo ma lazy tunawagonga
 
Back
Top Bottom