ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Naona benz za kubumbwa 🤣🤣🤣🤣
Naona benz za kubumbwa 🤣🤣🤣🤣
Mkuu Venus Star nimekuvulia kofia. Uzalendo wa kweli unaenda sambamba na kuijua vema nchi yako. Big up.19. RUVUMA
Rvuma ni moja ya mikoa yenye historia kubwa hapa Tanzania katika kupigania Uhuru. Makao makuu ya Ruvuma ni Songea. Ruvuma umepakana na Mozambique, Ziwa Nyasa, Mtwara, Njombe
KILIMO CHA MAHARAGE RUVUMA
View attachment 1758082View attachment 1758083View attachment 1758084View attachment 1758085View attachment 1758086

UmepanicNaona benz za kubumbwa![]()
Naona benz za kubumbwa![]()

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hawa watu wana maisha ya kuigiza
Umepanic
Tena ile sufuria ya kwangu pakavu tia mchuzi🤣Hizi kweli Sufuria![]()
Ni projects 5. Lazima BRT phase III ni miongoni maana waliahidi kui-finance. Pia kuna ule mradi wa kujenga girls' high school kila mkoa ambao JPM alisema kwenye kampeni kuwa pesa itatolewa na WB. Pia kuna ile pesa ya kuendeleza hifadhi mpya za taifa ambayo WB iliahidi kutoa.Wakuu nasikia jana tumepewa 1.2 $ billion na WB, sijui za project ipi?
Hiyo "Tanzania bound buses" umeandika wewe, hata huna haya, yaonekana! 🤣 🤣 🤣
daah,mkuu nimelitamani ghafla zege hilo21. IRINGA
Iringa ni mkoa uliojariwa hali ya hewa nzuri. Mazao mbalimbali yanakubalika Iringa. Iringa umepakana na Njombe, Mbeya, Dodoma, Morogoro.
KILIMO CHA VIAZI MVIRINGO(IRISH POTATO) IRINGA
View attachment 1758096View attachment 1758097View attachment 1758098View attachment 1758099View attachment 1758100View attachment 1758101
Umejaribu ku edit, vikakushinda, kasome kwanza jinsi ya kuvifanya dadeki! 🤣 🤣 🤣 Hiyo font ibadilishe, imekuuza mchana! 🤣
This is the stuff I love to see. Bila shaka hawa watakuwa Dar Coach.
Mnyama wa "MARCOPOLO" umeu'edit 😂😂😂
Nani tena huyo, imekuwaje.