Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Naona Tanzania ni mwendo wa kula bata kila kona, alafu vipi mbone bado title ya "third world" country bado iko. Hapo hata Europe naona hawatoshi, Tz, huko kila kona ni shibe na hela mfukoni, au sio wazee! 🤣 🤣 🤣 🤣Sasa nimemaliza Task niliyokuwa nimejipatia.
Nawqrudia sasa wanaopiga kelele.
