Naona Kisumu, Eldoret, Nakuru, Nairobi, Mombasa mpaka Lamu zipo well covered! Yaani hata walugaluga wa Kismayo wakikatiza kuja lamu tunawaona!Wakenya kwa sasa tunawachungulia kwa karibu mno
Radar hizi mpya tulizofunga siyo mchezo
View attachment 1756854
Mudude huo Tanzania TPDF wakiona haya wakenya wanajifungie ndani ya kibera Slums
Oh, kwahiyo kila Mtanzania anakula bata na hakuna shida yoyote sio? 😂 😂 😂
View attachment 1756787
View attachment 1756788
Picha toka KenyaOh, kwahiyo kila Mtanzania anakula bata na hakuna shida yoyote sio? 😂 😂 😂
View attachment 1756787
View attachment 1756788
Kumbe nyie familia moja? 😂 😂 😂Mmiliki ni mtu kutoka tanga na mama yake yuko tanga mpaka sasa hvu 😁😁😁 ulikua hujui
Hilo ni beast kiongozi wakunya haki yao kuogopa,binafsi siwalaumu
Jibu swali? Mnakula bata nyote? 😂Tanzania hamna uniform za hivyo,hizo picha zirudishe ulipoziiba
Mnachungulia waume zenyu, wakati hamwezi fanya kitu! 🤣Wakenya kwa sasa tunawachungulia kwa karibu mno
Radar hizi mpya tulizofunga siyo mchezo
View attachment 1756854
at least hope imerudi, Majaliwa aendelee hivhiv watu wasilalelale
huyu jamaa wa mwendokas asipotolewa leo, mganga atakuwa noma
GarissaHii battle mnafanya too general and easy
Kama una ubavu wa kupambana na Tanzania kweli kwenye usafiri wa mabus unachotakiwa kufanya ni kuleta luxury busses zinazofanya safari zake kutoka nairobi au Mombasa au Kisumu kwenda
1 Wajir
2 West Pokot
3 Turkana
4 Samburu
5 Isiolo
6 Mandera
7 Garissa
8 Lamu
Leta hapa luxury bound Buses zinazotoa huduma zake kwenye hayo maeneo kisha na wewe useme na sisi tulete luxury Buses zinazofanya safari kwenye masafa kama hayo kwa upande wa Tanzania
LamuHii battle mnafanya too general and easy
Kama una ubavu wa kupambana na Tanzania kweli kwenye usafiri wa mabus unachotakiwa kufanya ni kuleta luxury busses zinazofanya safari zake kutoka nairobi au Mombasa au Kisumu kwenda
1 Wajir
2 West Pokot
3 Turkana
4 Samburu
5 Isiolo
6 Mandera
7 Garissa
8 Lamu
Leta hapa luxury bound Buses zinazotoa huduma zake kwenye hayo maeneo kisha na wewe useme na sisi tulete luxury Buses zinazofanya safari kwenye masafa kama hayo kwa upande wa Tanzania
Anza na Turkana na mimi nianze na Kigoma sababu geographically Turkana kwa kenya ipo located as kigoma kwa Tanzania
Leta bus kutoka any of your major cities zenye standard kama hii kwenda Turkana
Note, hapo ni kigoma bus terminal hivyo na Turkana bus terminal iwe featured kwenye pictures zako ili twende sambamba
West Pokot, hiyo ya tatuHii battle mnafanya too general and easy
Kama una ubavu wa kupambana na Tanzania kweli kwenye usafiri wa mabus unachotakiwa kufanya ni kuleta luxury busses zinazofanya safari zake kutoka nairobi au Mombasa au Kisumu kwenda
1 Wajir
2 West Pokot
3 Turkana
4 Samburu
5 Isiolo
6 Mandera
7 Garissa
8 Lamu
Leta hapa luxury bound Buses zinazotoa huduma zake kwenye hayo maeneo kisha na wewe useme na sisi tulete luxury Buses zinazofanya safari kwenye masafa kama hayo kwa upande wa Tanzania
Kwenda Liwale kutokea wapi!? Tukuoneshe!?Tuonyeshe ya Kuenda Liwale