The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Si ajinyonge tu yanini kuteseka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na kuonesha namna gani alikua na nguvu na bado ana nguvu ni namna anavyowatesa while in 6 feet under, bado mnateseka na mtazidi kuteseka, hamtakaa mpate heshima hata theluthi ya JPM wala hamtakaa mpendwe na ulimwengu kama alivyopendwa JPM
Wewe choice variable unateseka kila siku na I'd kama million upo kama kichaa na inaonekana ni namna gani JPM anakutesa.
Uzuri ni kwamba Magufuli effects are very alive and active on all levels of government and public, huwezi kulikwepa hilo, legacy yake ni ya milele.
Sent using Jamii Forums mobile app