Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,708
- 107,150
80s pia waliacha kuwa na njaa!Kwamba huyu co wewe huyu [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji1787]View attachment 1754108
Sent using Jamii Forums mobile app
80s pia waliacha kuwa na njaa!Kwamba huyu co wewe huyu [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji1787]View attachment 1754108
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekimbiaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]80s pia waliacha kuwa na njaa!
Yaani Hawa ni mapunga,ona nahii👇kumbe haikueleweka
huyu madam ruth ni mchungaji huko kenya, hapo anapigwa chanjo ya corona..began ana tatoo dah
View attachment 1754099
Bwahaha..nenda kaangalie darajaHaya niambie vitu gn hivyo mlivifanya 80s nasubiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wivu mzigo wallahi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji200][emoji200][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmepeana sababu yangu kwamba izo faili ziko hapo sababu magu alikua fala flani na mshamba wa kutupwa. Worst president of 21st century.kwani uliambiwa hizo file huwa zinatapakaa hapo kila siku....?
je unajua hizo file zilikuwa hapo kwa misingi gani...?..
acha kuwa na akili ya kunguru[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio screenshot tu na vid ukitaka unapata ka mkubwaAfadhali ukaamua kupindisha hvo hvo, nikikuuliza unilete screenshota ya hayo unayoyaongea km niliyasema wapi utaniletea au ni kujiropokea tu km kawaida yenu
We nae unaongea pumba tu, shame on you, sasa kuwa na files nyingi mezani au kuto kuwa na files nyingi, ndio mada ya kujadili.?😂😂 Mijitu mizima mengine bhana sijui michoko.?😂😂🏃🏃Nmepeana sababu yangu kwamba izo faili ziko hapo sababu magu alikua fala flani na mshamba wa kutupwa. Worst president of 21st century.
Wewe hujapeana sababu ya hizi faili kua hapo. Makende ya siafu
View attachment 1754155
We mjomba utakua unaliwa wew 😂😂😂, kwasababu haiwezekani eti unaishkia bango mada ya mafaili, hovyo kabisa wewe, mtu mzima hasidi weye, mtu mzima hovyo wew, fisadi kiwembe wew, hamnazo wewe 😂😂😂🏃🏃🏃, nenda ukafanye kazi uko upate hela ya ugali, njaa ndio inakusumbua wewNmepeana sababu yangu kwamba izo faili ziko hapo sababu magu alikua fala flani na mshamba wa kutupwa. Worst president of 21st century.
Wewe hujapeana sababu ya hizi faili kua hapo. Makende ya siafu
View attachment 1754155
Mbona unaangalia upande mmoja Peke yake? Kwa nini mtoto wa kike ndiye ajitunze tu? Na wa kiume je? Hii ndiyo mentality ya waafrika wengi! Kuwa mtoto wa kike ndiye yuko responsible “kujitunza” na huku watoto wenu wa kiume hamuwafundishi swala Hilo Hilo. Ukisoma post yangu hadi mwisho utaona jinsi nilivyo suggest kuwa ni muhimu kutoa elimu Kwa jinsia zote mbili! Na pia, huoni tatizo la wazazi wa kiafrika? Unasema mtoto ajitunze automatically bila kuelimishwa na mzazi wake? Wazazi wengi wa Kiafrika hawana uthubutu wa kuwapa watoto wao sex education Na Ndio Maana watoto wanajiongoza wenyewe na kupelekea kupata ujauzito. Na Mimba za utotoni Pia zinasababishwa na watu wazima! Ubakaji pia ni sababu watoto wa kike wanapata mimba wakiwa shule!Aya yako ya pili, hakuna haki bila wajibu. Unasema haki ya kikatiba, ni sahihi, lkn hiyo inaendana na wajibu wa mtoto wa kike kujitunza. Akishindwa hiyo haki hipotea.
Elimu ni haki ya kila mtoto, sasa we wajibu unaingiliaje hapo
Mbona unaangalia upande mmoja Peke yake? Kwa nini mtoto wa kike ndiye ajitunze tu? Na wa kiume je? Hii ndiyo mentality ya waafrika wengi! Kuwa mtoto wa kike ndiye yuko responsible “kujitunza” na huku watoto wenu wa kiume hamuwafundishi swala Hilo Hilo. Ukisoma post yangu hadi mwisho utaona jinsi nilivyo suggest kuwa ni muhimu kutoa elimu Kwa jinsia zote mbili! Na pia, huoni tatizo la wazazi wa kiafrika? Unasema mtoto ajitunze automatically bila kuelimishwa na mzazi wake? Wazazi wengi wa Kiafrika hawana uthubutu wa kuwapa watoto wao sex education Na Ndio Maana watoto wanajiongoza wenyewe na kupelekea kupata ujauzito. Na Mimba za utotoni Pia zinasababishwa na watu wazima! Ubakaji pia ni sababu watoto wa kike wanapata mimba wakiwa shule!
Hapa Ndio tatizo linapoonekana kwenye malezi na utamaduni wa waafrika/ watanzania kiujumla!Naomba nikujibu kama ifuatavyo, ishu hapo co tu kurudi shule bali anatakiwa aende jela miaka 30 kama ambavyo wa kiume anavyopelekwa jela, huwezi kuniambia eti ameshawishiwa na wa kiume kwn yeye akili hana? So hakuna kurudi shule kwa kijana wa kike aliyeanza mchezo mchafu shuleni na kama baba ake ake au mama ake anataka arudi shule hamna shida ampeleke private na sio arudi Govt akafundishe umalaya wenzie.
Na kama kutalazimika mabadiliko ya hiyo sheria basi iangalie pande zote mbili kwamba either wote wawili wa kiume na wakike waende jera miaka 30 au wote waachiwe waendelee na mambo yao lakini hili suala la kutetea wa kike arudi shule and at the same time wa kiume anaelekea jela ni double standard ya kiwango cha tembo.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaakili ndogo sana tena za panya,,,,Naomba sana yamkute mwanao
[emoji19][emoji23][emoji19][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hueleweki ...Nmepeana sababu yangu kwamba izo faili ziko hapo sababu magu alikua fala flani na mshamba wa kutupwa. Worst president of 21st century.
Wewe hujapeana sababu ya hizi faili kua hapo. Makende ya siafu
View attachment 1754155
[emoji41][emoji1787][emoji19][emoji19][emoji19] nimecheka kweli yaani hata haelewekiWe nae unaongea pumba tu, shame on you, sasa kuwa na files nyingi mezani au kuto kuwa na files nyingi, ndio mada ya kujadili.?[emoji23][emoji23] Mijitu mizima mengine bhana sijui michoko.?[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]